Ridhiwan Kikwete aahidi kuleta maendeleo akichaguliwa
Mgombea ubunge katika jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama cha mapinduzi CCM Ridhiwan Kikwete amesema kwa kipindi cha mwaka mmoja alichotumikia ubunge amefanikiwa kutatua kero mbalimbali za kijamii katika jimbo hilo
Amesema pamoja na jitihada aliyofanya kwa kipindi cha mwaka mmoja bado kuna changamoto ambazo zinahitaji kumalizwa hivyo amewaomba wananchi wa jimbo la Chalinze kumwamini kwa kumpa kura ili kutimiza lengo la kuwaletea maendeleo.
Riziwani ameyasema hayo wakati akizindua...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA ALBINO TANZANIA AJITOSA UBUNGE KOROGWE VIJIJINI, AAHIDI KULETA MAENDELEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-D726agHEX2I/Vaobt2laofI/AAAAAAAAIRc/BitLNJox8Dw/s640/Ernest%2BKimaya%2Bna%2BMaria%2BChambanenge.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s72-c/pix%2Btum.jpg)
Maalim Seif aahidi kupandisha bei ya zao la mwani pindipo akichaguliwa kuwa Rais
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s640/pix%2Btum.jpg)
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wananchi wa Tumbe alipotembelea eneo hilo.
Na Khamis Haji , OMKR
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaahidi wakulima wa zao la mwani Zanzibar kuwa atapandisha bei ya zao hilo mara moja, iwap atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwezi ujao.
Maalim Seif alisema bei wanayolipwa wakulima ya shilingi 700 na 800 hivi sasa ni ndogo na hailingani na...
9 years ago
StarTV15 Sep
Lowassa ahidi kuwaletea wananchi maendeleo akichaguliwa
Mgombea urais kwa tiketi ya vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Edwar Lowassa amesema iwapo atapata fursa ya kuchaguliwa kuwa rais wa Tanzania atahakikisha anawaletea wananchi maendeleo kwakutumia fursa zilizopo ndani ya nchi.
Lowassa ametoa kauli hiyo wakati akiwahutubia wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya stendi Wilayani Kahama na kusema kuwa anauhakika wa kuwafanya watanzania kutoka katika hali ya umaskini kwa kuwaletea maendeleo ya...
9 years ago
Mwananchi22 Oct
Kortini kwa kumtusi Rais Kikwete,Ridhiwan
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tCSdI3l-WDw/XuD6j633UqI/AAAAAAALtZw/3pmQXkwwTQMWFYHKXt4eWU2SVm2lraYUQCLcBGAsYHQ/s72-c/da351-ridhiwani2bkikwete2beyopah.jpg)
RIDHIWAN KIKWETE ATAKA KUHAKISHIWA USALAMA WA MIFUGO KABLA YA KUPELEKWA MAHAKAMANI
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani Ridhiwan Kikwete ametaka ufafanuzi kuhusu usalama wa mifugo ambayo itakamatwa baada ya kuingia kwenye maeneo ya hifadhi kabla ya kesi kuanza Mahakamani.
Akizungumza leo Juni 10,2020,Bungeni Mjini Dodoma wakati wa kuchangia muswada wa marekebisha ya sheria mbalimbali ambao umewasilishwa bungeni hapo na moja marekebisho hayo inahusu Wanyamapori na Uhifadhi.
"Kwanza naomba nianze kwa kukupongeza Naibu Spika Dk.Tulia Acksoni...
9 years ago
MichuziMHE. RIDHIWAN KIKWETE AVUNJA UKIMYA, AZUNGUMZIA MAKONTENA NA MALI ANAZODAIWA KUMILIKI..
Ndugu zangu waandishi wa habari, nimeamua kuwaita ili kuzungumza nanyi kuhusu baadhi ya mambo yaliyokuwa yanasemwa katika vyombo vya habari kuhusu mimi.
Awali ya yote napenda kusema kuwa habari hizo ni UONGO mtupu, ni mambo yanayozushwa na waandishi wa habari hizo kwa nia ya kuchafua jina langu kwa sababu wanazozijua wanaoandika. UKWELI ni kwamba haya ni mambo yenye kufanywa kwa nia na dhamira mbaya dhidi yangu na hata familia yangu.
Hivi...
9 years ago
Dewji Blog25 Dec
Mbunge wa jimbo la Chalinze, Mh. Ridhiwan Kikwete avunja ukimya, afafanua ‘figisufigisu’ dhidi yake!!
![Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akizungumza alipokuwa akifanyiwa mahojiano maalumu na gazeti la Mwananchi, mjini Dodoma hivi karibuni. Picha na Edwin Mjwahuzi](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/Kikwete-pc.jpg)
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete. Picha ya Maktaba.
Ndugu zangu waandishi wa habari, nimeamua kuwaita ili kuzungumza nanyi kuhusu baadhi ya mambo yaliyokuwa yanasemwa katika vyombo vya habari kuhusu mimi.
Awali ya yote napenda kusema kuwa habari hizo ni UONGO mtupu, ni mambo yanayozushwa na waandishi wa habari hizo kwa nia ya kuchafua jina langu kwa sababu wanazozijua wanaoandika. UKWELI ni kwamba haya ni mambo yenye kufanywa kwa nia na dhamira mbaya dhidi yangu na hata familia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GykVw44HF_Y/XufiPYaL0TI/AAAAAAALt9w/C7WNEcIWcDkwxesEh48Z1p_2n0LKaYZXQCLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG.-NA.-1.jpg)
Dkt. Chaula aahidi kuleta mabadiliko Sekta ya Mawasiliano, asisitiza uwajibikaji na mahusiano bora kazini
![](https://1.bp.blogspot.com/-GykVw44HF_Y/XufiPYaL0TI/AAAAAAALt9w/C7WNEcIWcDkwxesEh48Z1p_2n0LKaYZXQCLcBGAsYHQ/s640/JPEG.-NA.-1.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula akizungumza na wafanyakazi wa Sekta yake katika kikao cha wafanyakazi kilichofanyika kwenye ukumbi wa TBA, Dodoma. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Jim Yonazi na kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utumishi na Rasilimali Watu, Kitolina Kippa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JPEG.-NA.-2.jpg)
Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Mawasiliano, Bi Laurencia Masigo, akiwasilisha hoja za wafanyakazi kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na...
10 years ago
Habarileo09 Dec
Kijiko: Kipaumbele changu Arusha ni kuleta maendeleo
MKUU wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda Kijiko, amewahakikishia wakazi wa Arusha kuwa atafanyakazi kwa kushirikiana nao bega kwa bega.