Chama kingine cha siasa chasajiliwa
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), jana kilikabidhiwa cheti cha usajili wa kudumu na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Jan
Chama cha mawakala wa pesa za simu chasajiliwa
CHAMA cha mawakala wa huduma za pesa za simu za mkononi kimekamilisha usajili wa chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari leo msemaji wa chama hicho, Stanford Mbengane alisema kuwa usajili wa chama hicho umekamilika tangu Januari 10 mwaka huu.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Kuandikwa na kufutwa uanachama chama cha siasa
HATUA ya kufutiwa uanachama huwa haieleweki vizuri kwa watu wengi. Kuna mambo mengi ya kufanya pale unapofutiwa uanachama. Unaweza kukaa kimya. Ukakubali kuondoka katika chama na hata ukaanzisha chama chako...
9 years ago
GPLCHAMA KIPYA CHA SIASA CHAZINDULIWA DAR
9 years ago
Michuzi23 Oct
HATUTOKIBEBA WALA KUKIVUMILIA CHAMA CHOHCOTE CHA SIASA- POLISI
![Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles Mkumbo](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/aPl2SfMT18NSrApzfK0Na-CBxBfoHrj10HxFg-jJ3sAgKM_3ogD5P4x_JHpe17rmrdfRL3tudWibYx2oYHVgt1jeJWaKNPOnrAIOadJZ44DtecjLsuEU0zLOfh5eM2KbwEzhEwk4-BE=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Charles-Mkumbo-620x309.png)
JESHI la Polisi mkoani Mwanza, limesema halipo tayari kukipendelea chama chochote kile cha siasa katika kipindi hiki cha uchaguzi utakaofanya Oktoba 25 mwaka huu.Kauli hiyo imetolewa jana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles Mkumbo, wakati akizungumza na wanahabari.
Mkumbo amesema kuwa katika kipindi hiki, jeshi halitakuwa tayari kukipendelea chama cha siasa kwani lipo kwa ajili ya kutenda haki na...
9 years ago
Bongo502 Sep
Lulu atoa sababu kwanini hafungamani na chama cha siasa
9 years ago
Mtanzania28 Aug
NURU THE LIGHT: Hakuna tatizo msanii kushabikia chama cha siasa
NA JULIET MORI, (Tudarco)
MSANII wa Bongo Fleva anayefanyia shughuli zake za kimuziki nchini Sweeden, Nuru Magram ‘Nuru the Light’, amesema haoni ubaya kwa wasanii kuweka wazi ushabiki wao kwenye vyama vya siasa kwa kuwa kila mtu ana chama anachokipenda.
Nuru aliweka wazi hilo jana baada ya kutumbuiza na wafanyakazi wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd ikiwa ni ishara ya kukubali mchango wa kazi zinazofanywa na wafanyakazi wa kampuni hiyo kupitia magazeti yake matano ya Mtanzania, Bingwa,...
5 years ago
BBCSwahili15 May
Siasa za Kenya: Fukuto ndani ya chama cha Jubilee, nani anayelengwa?
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1.2.jpg)
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATOA TAMKO KUHUSU CHAMA CHA TPP