Wakazi aeleza kwanini haikuwa rahisi kufanya collabo na kina Wiz Khalifa, Kanye West na Diddy alipokutana nao
Wakazi ni msanii wa Hip Hop wa Tanzania aliyepata nafasi ya kukutana na kupiga picha na mastaa wengi wakubwa wa Marekani. Wakazi na Wiz Khalifa Kutokana na kuonekana akiwa amepiga picha na mastaa kama Wiz Khalifa, Kanye West, Diddy na wengine, amekuwa akiulizwa kama alifanikiwa kufanya collabo hata na mmoja wa mastaa hao. Wakazi na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo505 Oct
Nimewasamehe Wiz Khalifa na Kanye West kwa matusi waliyonitukana — Amber Rose
10 years ago
Bongo512 Mar
Diddy kutengeneza ngoma za Kanye West na wasanii wengine
9 years ago
Bongo520 Nov
Nay Wa Mitego aeleza sababu za kwanini hajaitoa collabo yake na Runtown wa Nigeria
![nay true boy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nay-true-boy-300x194.jpg)
Kuna kipindi Nay Wa Mitego alitangaza kuwa ana mpango wa kuanza kujitambulisha kwenye soko la kimataifa, kwa kufanya collabo na wasanii wa nje pamoja na kushoot video nje ya Tanzania pia.
Katika mahojiano ya siku za nyuma na Bongo5, Nay alisema tayari amekamilisha collabo na msanii wa Nigeria, Runtown, na alikuwa kwenye mipango ya kutafuta uwezekano wa kufanya kazi na Wizkid an D’Banj.
Wiki hii Nay Wa Mitego ameachia wimbo mpya unaoitwa ‘Nyumbani Kwetu’, hata kama hujausikia sina haja ya...
9 years ago
Bongo502 Dec
Joh Makini ataja ma-rapper wanne wa kimataifa anaotamani kufanya nao collabo
![weusi1 (1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/weusi1-1-300x194.jpg)
‘Don’t Bother’ imetimiza moja ya ndoto alizokuwa nazo rapa wa Weusi, Joh Makini za kuja kufanya collabo na rapa wa Afrika Kusini Kiernan Jarryd Forbes a.k.a AKA.
Joh Makini amewataja ma-rapper aliokuwa, na ambao bado anatamani kuja kufanya nao collabo pindi fursa hiyo itakapojitokeza, akiwemo AKA ambaye tayari amefanikiwa kufanya naye ‘Don’t Bother’ inayofanya vizuri kwa sasa.
“Unajuaga kunakuwaga na watu wako flani ambao unawaskilizaga pia na unapenda wanachokifanya kwamba siku ikitokea ...
10 years ago
Bongo Movies06 Jun
Kallage Aeleza Kwanini Ameacha Kufanya Video za Muziki
Mtayarishaji video za muziki na filamu anayeshikilia rekodi ya kushinda tuzo mbili za filamu za TAFA 2015, John Kallaghe amefunguka juu ya sababu za kuacha kufanya video za muziki, kubwa ikiwa ni mabadiliko ya soko na kupungua kwa wawezeshaji katika soko hilo.
Kallaghe ameiambia eNewz ya EATV kuwa soko la utayarishaji video linabadilika kwa kasi kinguvu kazi na kiteknolojia likihitaji vipaji vipya na mtu aliye tayari kwenda kwa kasi hiyo, pili ikiwa ni kuanza kupotea kwa wadau ambao...
9 years ago
Bongo527 Oct
Kanye West kufanya wimbo wa pamoja na mkewe Kim Kardashian?
10 years ago
Bongo504 Sep
Nay Wa Mitego atoa sababu za kwanini halipishi msanii anayetaka kufanya nae collabo
9 years ago
Bongo526 Oct
Man Walter aeleza kwanini wasanii wakongwe wanashindwa kufanya vizuri
11 years ago
Mwananchi13 Mar
‘Kutunga Kanuni haikuwa rahisi’