‘Kutunga Kanuni haikuwa rahisi’
Mjumbe wa Kamati ya Kanuni ya Bunge Maalumu ya Katiba, Amos Mpanju amesema mabishano ndani ya kamati hiyo yalikuwa makubwa kuliko wananchi walivyoyaona na kuyasikia kupitia luninga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Jul
Mwinyi: Haikuwa kazi rahisi Dodoma
Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi amesema kuwa shughuli ya kupata mgombea urais kwa tiketi ya CCM haikuwa rahisi na akashukuru kwamba imemalizika kwa amani.
10 years ago
Bongo508 May
Wakazi aeleza kwanini haikuwa rahisi kufanya collabo na kina Wiz Khalifa, Kanye West na Diddy alipokutana nao
Wakazi ni msanii wa Hip Hop wa Tanzania aliyepata nafasi ya kukutana na kupiga picha na mastaa wengi wakubwa wa Marekani. Wakazi na Wiz Khalifa Kutokana na kuonekana akiwa amepiga picha na mastaa kama Wiz Khalifa, Kanye West, Diddy na wengine, amekuwa akiulizwa kama alifanikiwa kufanya collabo hata na mmoja wa mastaa hao. Wakazi na […]
5 years ago
CCM Blog24 May
PROF. KABUDI: KAULI YA RAIS DK. MAGUFULI KUHIMIZA WATANZANIA KUSALI ILI TAIFA LIONDOKANE NA COVID 19 HAIKUWA IKIMAANISHA KUPUUZA KANUNI ZA KISAYASI KATIKA KUKABILIANA NA UGONJWA HUO
DAR ES SALAAM, TanzaniaTanzania imeitaka dunia na Jumuiya za Kimataifa kutambua kuwa kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kuwahimiza Watanzania kusali na kuliombea Taifa kuondokana na maradhi ya COVID 19 kamwe haikuwa kauli ya kupuuza kanuni za kisayansi za mapambano dhidi ya ugonjwa huo.
Akitoa salam za Shukrani kwa Mungu na watanzania kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni hitimisho la siku tatu za...
Akitoa salam za Shukrani kwa Mungu na watanzania kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni hitimisho la siku tatu za...
11 years ago
Michuzi05 Aug
10 years ago
Raia Mwema15 Jul
Kwa nini haikuwa Jaji Ramadhani?
KUNA swali linahitaji kujibiwa na ninaamini linastahili kujibiwa.
Lula wa Ndali Mwananzela
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3BUwwLuJMnQN6*qZYDUp*DATD0WqWwjMDoa*PwyyeuHc0ynmGqHeYGBdui4I8o1af5bl0JPl4tnVmILfAFeQ25Kk3XsJYfff/150000080.jpg)
GWAJIMA KAULI YAKO HAIKUWA YA KICHUNGAJI
KWAKO Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Pole sana kwa masaibu yaliyokupata na bila shaka, Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, atakujaalia afya njema hivi karibuni.
Binafsi mimi mwananchi wa kawaida nisiyekuwa na cheo chochote cha dini wala siasa, ni mzima wa afya na ninaendelea na shughuli zangu za kila siku likiwemo hili la kukuandikia wewe barua. Kama ulikuwa hufahamu, kupitia hii barua...
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi
MIMBA inayotungia nje ya mfuko wa uzazi kwa kitaalamu inafahamika kama ectopic pregnancy. Hii mimba inayotungia nje ya mfuko wa kizazi huwa inakaa ndani ya mirija ya uzazi. Mimba kama...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FiztFdiPwCpqmDYQToF9EbYorcWmgQLm0AvifqVRbrg2zB41Fly9ACfJuNa3-Hdbg5qoELbPG71WFJBxsM5G5A5o1KlowDK5/mimba2.png?width=650)
MIMBA KUTUNGA NJE YA MFUKO WA KIZAZI- 3
KARIBU msomaji katika makala haya, wiki mbili zilizopita tulikuwa tunaangalia tatizo la mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi. Na tuliangalia maeneo ambayo mimba hizo hutungwa. Leo ningependa tuangalie sababu za tatizo hili na dalili za mwanamke mwenye tatizo hili.
Nini husababisha mimba kutunga nje ya kizazi?
Katika mimba nyingi zinazotunga nje ya uterus, chanzo chake huwa hakijulikani. Hata hivyo kuna vihatarishi ambavyo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania