Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GWAJIMA KAULI YAKO HAIKUWA YA KICHUNGAJI

KWAKO Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Pole sana kwa masaibu yaliyokupata na bila shaka, Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, atakujaalia afya njema hivi karibuni.
Binafsi mimi mwananchi wa kawaida  nisiyekuwa na cheo chochote cha dini wala siasa, ni mzima wa afya na ninaendelea na shughuli zangu za kila siku likiwemo hili la kukuandikia wewe barua. Kama ulikuwa hufahamu, kupitia hii barua...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

PROF. KABUDI: KAULI YA RAIS DK. MAGUFULI KUHIMIZA WATANZANIA KUSALI ILI TAIFA LIONDOKANE NA COVID 19 HAIKUWA IKIMAANISHA KUPUUZA KANUNI ZA KISAYASI KATIKA KUKABILIANA NA UGONJWA HUO

DAR ES SALAAM, TanzaniaTanzania imeitaka dunia na Jumuiya za Kimataifa kutambua kuwa kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kuwahimiza Watanzania kusali na kuliombea Taifa kuondokana na maradhi ya COVID 19 kamwe haikuwa kauli ya kupuuza kanuni za kisayansi za mapambano dhidi ya ugonjwa huo.

Akitoa salam za Shukrani kwa Mungu na watanzania kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni hitimisho la siku tatu za...

 

11 years ago

BBCSwahili

Siku ya Valentine? Kauli yako

Wengi wanasema siku ya leo ndio siku ya kuonyeshana mapenzi 'Moto Moto': Uhusiano wako na mpenzi wako unauzungumzia vipi?

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazishi ya Mandela: Kauli yako

Haya ni matukio kama yanavyojiri kwenye mazishi ya hayati Nelson Mandela. Na wewe una fursa ya kutoa kauli yako kuhusu matuiko haya

 

11 years ago

BBCSwahili

Kauli yako: Nini kinakufurahisha zaidi?

Leo ni siku ya kimataifa ya furaha duniani...ulikijua hicho? unathamini nini zaidi maishani mwako?

 

11 years ago

BBCSwahili

Kauli yako: Katiba ndio suluhu Misri?

Wananchi wa Misri leo wanapigia kura katiba mpya . Je unadhani ndio itakuwa suluhu la kisiasa kwa nchi hiyo inayoyumba kisiasa?

 

11 years ago

BBCSwahili

Kauli yako:Vipi ndege imetoweka isijulikane iliko?

Katika Dira ya Dunia Redio, tunatathmini tukio la Ndege ya Malysia kutoweka na tunauliza ni vipi ndege kubwa itoweke katika enzi hii ya teknolojia ya kisasa?

 

11 years ago

BBCSwahili

Kauli yako kuhusu kifo cha Ariel Sharon

Mitandao ya kijamii imefurika ujumbe kuhusu taarifa za kifo cha Ariel Sharon. Nini kauli yako? facebook bbcswahili

 

9 years ago

Bongo Movies

Nini maoni yako juu ya kauli hii ya Ray kuhusu yeye kuikimbia Team Mabadiliko?

Huku vuguvuga la uchaguzi likiendelea, leo mwigizaji maarufu nchini Vicenti Kigosi aliyekuwa anaongoza mapambano ya mabadiliko ndani ya UKAWA kabla ya kuhamia CCM ameandika ujumbe ufuatao kwa mashabiki wake..

“..Kwanza kabisa ningependa kuwaambia wafuata mkumbo mpende kupanua akili zenu na si kupenda kupanua vidole 2.

Nashangazwa sana na wapinzani kusimama mbele ya adhara na kusema kuwa tangia tumepata uhuru miaka 50 iliyopita serikali haijafanya chochote na wewe unashangalia tena...

 

11 years ago

TZToday

UJUMBE WA KICHUNGAJI WA PASAKA 2014 KWA WAAMINI NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA

UJUMBE WA KICHUNGAJI WA PASAKA 2014

KWA WAAMINI NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA


“Sote tuwe na Umoja” (rej. Yn 17:21)
UTANGULIZI:
Ndugu wapendwa, tunapohitimisha kipindi cha Kwaresima kilichokuwa na ujumbe: “Ukweli utawaweka huru” (Yn. 8: 32), tunawaletea ujumbe wa “Umoja” ili kuongeza msisitizo kwenye ujumbe wetu wa Kwaresma. Tunaitwa kukubali kuwa umoja ni ukweli msingi wa kila mafanikio ya jumuiya ya mwanadamu.

Ufufuko ni Pasaka inayomaanisha kivuko au kupita kwa Wayahudi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani