Nini maoni yako juu ya kauli hii ya Ray kuhusu yeye kuikimbia Team Mabadiliko?
Huku vuguvuga la uchaguzi likiendelea, leo mwigizaji maarufu nchini Vicenti Kigosi aliyekuwa anaongoza mapambano ya mabadiliko ndani ya UKAWA kabla ya kuhamia CCM ameandika ujumbe ufuatao kwa mashabiki wake..
“..Kwanza kabisa ningependa kuwaambia wafuata mkumbo mpende kupanua akili zenu na si kupenda kupanua vidole 2.
Nashangazwa sana na wapinzani kusimama mbele ya adhara na kusema kuwa tangia tumepata uhuru miaka 50 iliyopita serikali haijafanya chochote na wewe unashangalia tena...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies06 Mar
Una nini cha kusema kuhusu kauli hii ya Sintah juu ya Shilole na Nuh Mziwanda?
“Jamani jamani mnaosema ooh umasikini mmbaya kwanini Shilole anamdhalilisha bwana yake, jamani kwani huyo ‘so calle’ Nuh or ‘whatever’ his name is kalazimishwa?? unajua siku hizi mapenzi yamemekuwa ‘free’ sana yaani ukiona mtu anakupa vitasa mara humuelewi yanini kun'ga'gania ‘as if’ umezaliwa naye, mtu uliyemjua ukubwani nae akupe shida ‘BIG NO i would rather stay single for the rest of my life’, kwanza sio adhabu kuwa ‘single’ kuliko kuwa katika ‘unhealthy relationship’ ...
Mnaomuonea...
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Kauli yako: Nini kinakufurahisha zaidi?
9 years ago
Vijimambo01 Oct
Nini maoni yako?
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12088066_1332001230147625_4740552547672793593_n.png?oh=07c3bfbd91ae14ca2b96545478fd8b88&oe=56897DFD)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva, amesema kura zote za urais, ubunge na udiwani, zitahesabiwa katika vituo vya kupigia kura na matokeo yote kutangazwa hapo hapo na ni marufuku kusafirisha masanduku ya kura kama ilivyokuwa zamani.
11 years ago
BBCSwahili11 Jan
Kauli yako kuhusu kifo cha Ariel Sharon
10 years ago
Vijimambo![](https://lh6.googleusercontent.com/-AqsQY5O5aHU/VDMeDCnepQI/AAAAAAAAC6M/6PtfyESd60w/s72-c/Fid-Q-na-Stamina.jpg%20cursor:%20pointer;)
HII NDO KAULI YA 'FID Q' JUU YA 'STAMINA'
![](https://lh6.googleusercontent.com/-AqsQY5O5aHU/VDMeDCnepQI/AAAAAAAAC6M/6PtfyESd60w/Fid-Q-na-Stamina.jpg%20cursor:%20pointer;)
“Kwenye ukweli huwa nasema ukweli hiyo ndio Hip Hop, reality au uhalisia. Unajua tunasemaga tunawalisha...
9 years ago
GPL07 Sep
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-D-mKZFiGTg/default.jpg)
10 years ago
GPLTOA MAONI YAKO KUHUSU TOVUTI MPYA YA GLOBAL PUBLISHERS
10 years ago
Bongo Movies18 May
Maoni:Unamshauri Nini Aunt Ezekiel Kuhusu Ugomvi na Wema?
Kwa kuangalia historia ya Wema Sepetu na Aunt Ezekiel ni zaidi ya marafiki ambao walikuwa maswahiba walioshibana kiasi kwamba hakuna mtu anaeweza kujua kama leo watakuwa maadui. Na urafiki huu ulikomaa zaidi pale Madame Wema alipokuwa amerudiana na Diamond Platinumz kiasi kwamba hata safari za nje za Wema na Diamond na Aunt nae alikuwa anasafiri na hatukujua alikuwa anasafiri kwa gharama ya nani.
Kwa ukaribu huu wa Wema na Diamond kulimfanya Dogo wetu Moses Iyobo kupata bahati ya mtende...