GLOBAL TV ONLINE: KAULI YA ERIC SHIGONGO KUHUSU MABADILIKO YANAYOAHIDIWA NA WANASIASA
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqwuiLynzLaAxgBZb7E3ai*4qX4o1ENtkA24DhI9V*8qrduiD2KcKnshhbLWCH6gxRNUy9cnK9iR07WiWGPXSJkq/SHIGONGONAWAFANYAKAZI1.jpg?width=650)
ERIC SHIGONGO AONGEA NA WAFANYAKAZI WA GLOBAL, AWAPA MBINU ZA UJASIRIAMALI
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/chopa.jpg)
ERIC SHIGONGO: NENDA KAMANDA WANGU DEO
9 years ago
Bongo Movies04 Oct
Nini maoni yako juu ya kauli hii ya Ray kuhusu yeye kuikimbia Team Mabadiliko?
Huku vuguvuga la uchaguzi likiendelea, leo mwigizaji maarufu nchini Vicenti Kigosi aliyekuwa anaongoza mapambano ya mabadiliko ndani ya UKAWA kabla ya kuhamia CCM ameandika ujumbe ufuatao kwa mashabiki wake..
“..Kwanza kabisa ningependa kuwaambia wafuata mkumbo mpende kupanua akili zenu na si kupenda kupanua vidole 2.
Nashangazwa sana na wapinzani kusimama mbele ya adhara na kusema kuwa tangia tumepata uhuru miaka 50 iliyopita serikali haijafanya chochote na wewe unashangalia tena...
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
ERIC SHIGONGO: Nenda Kamanda wangu Deo Filikunjombe!
Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa kwa tiketi ya CCM, Deogratias Filikunjombe, enzi za uhai wake akipanda chopa yake.
Nakupenda Deo
Nimesikitishwa sana na kifo chako. Kweli kifo kipo na kila mmoja wetu atakipitia lakini cha aina hii, cha kijana aliyekuwa akipigania watu wake kiasi hiki? Kinaumiza sana, hata hivyo, hatuna budi zaidi ya kukubali kuwa Deo Filikunjombe, jembe la mkono limeondoka.
Chopa iliyosababsha kifo cha Filikunjombe, Capt. William Silaa na watu wengine wawili.
Nasema kutoka ndani...
10 years ago
Michuzi02 Oct
ERIC SHIGONGO SPEAKS ON VOA'S STRAIGHT TALK AFRICA
![](http://api.ning.com/files/jPvKO*I18G*Q*Qu4oTHsNGPH*xIrJZFaVBcs*rdgT8ofFITo0R4SHEw*9v*-WkZCpWpYoGO412rp4rOUTwvbbNVKrUcbdHVS/GetInline.jpg)
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Eric Shigongo James: Barua Kwa waheshimiwa wabunge!
Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Nawasalimu nyote katika jina la nchi yetu Tanzania,
Mimi ndugu yenu sijambo, naendelea kusukuma mbele gurudumu la maendeleo kujenga nchi yetu. Nawapongezeni sana kwa ushindi mkubwa mlioupata
ambao leo umewawezesha kutuwakilisha Watanzania wote katika Bunge la Jamhuri ya Muungano, muhimili namba mbili katika nchi yetu.
Najua mmepita katika safari ndefu, wengi wenu mna majeraha, hayo yote yamepita, sasa ni kazi moja tu; kuwawakilisha vyema wananchi waliowatuma ili
...
10 years ago
GPL27 Nov
ERIC SHIGONGO IN AN EXCLUSIVE INTERVIEW WITH PAUL NDIHO FROM VOA
10 years ago
GPL10 years ago
GPL02 Oct
ERIC SHIGONGO SPEAKS ON VOA'S STRAIGHT TALK AFRICA