ERIC SHIGONGO: Nenda Kamanda wangu Deo Filikunjombe!
Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa kwa tiketi ya CCM, Deogratias Filikunjombe, enzi za uhai wake akipanda chopa yake.
Nakupenda Deo
Nimesikitishwa sana na kifo chako. Kweli kifo kipo na kila mmoja wetu atakipitia lakini cha aina hii, cha kijana aliyekuwa akipigania watu wake kiasi hiki? Kinaumiza sana, hata hivyo, hatuna budi zaidi ya kukubali kuwa Deo Filikunjombe, jembe la mkono limeondoka.
Chopa iliyosababsha kifo cha Filikunjombe, Capt. William Silaa na watu wengine wawili.
Nasema kutoka ndani...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/chopa.jpg)
ERIC SHIGONGO: NENDA KAMANDA WANGU DEO
10 years ago
Michuzi02 Oct
ERIC SHIGONGO SPEAKS ON VOA'S STRAIGHT TALK AFRICA
![](http://api.ning.com/files/jPvKO*I18G*Q*Qu4oTHsNGPH*xIrJZFaVBcs*rdgT8ofFITo0R4SHEw*9v*-WkZCpWpYoGO412rp4rOUTwvbbNVKrUcbdHVS/GetInline.jpg)
10 years ago
GPL27 Nov
ERIC SHIGONGO IN AN EXCLUSIVE INTERVIEW WITH PAUL NDIHO FROM VOA
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Eric Shigongo James: Barua Kwa waheshimiwa wabunge!
Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Nawasalimu nyote katika jina la nchi yetu Tanzania,
Mimi ndugu yenu sijambo, naendelea kusukuma mbele gurudumu la maendeleo kujenga nchi yetu. Nawapongezeni sana kwa ushindi mkubwa mlioupata
ambao leo umewawezesha kutuwakilisha Watanzania wote katika Bunge la Jamhuri ya Muungano, muhimili namba mbili katika nchi yetu.
Najua mmepita katika safari ndefu, wengi wenu mna majeraha, hayo yote yamepita, sasa ni kazi moja tu; kuwawakilisha vyema wananchi waliowatuma ili
...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqwuiLynzLaAxgBZb7E3ai*4qX4o1ENtkA24DhI9V*8qrduiD2KcKnshhbLWCH6gxRNUy9cnK9iR07WiWGPXSJkq/SHIGONGONAWAFANYAKAZI1.jpg?width=650)
ERIC SHIGONGO AONGEA NA WAFANYAKAZI WA GLOBAL, AWAPA MBINU ZA UJASIRIAMALI
10 years ago
GPL10 years ago
GPL02 Oct
ERIC SHIGONGO SPEAKS ON VOA'S STRAIGHT TALK AFRICA
9 years ago
Dewji Blog16 Oct
Deo Filikunjombe hatunaye tena!
Aliyekuwa mgombea Ubunge wa jimbo Ludewa, Mh Deo Filikunjombe akiwapungia wafuasi wake enzi za uhai.
Aliyekuwa mgombea Mbunge wa jimbo la Ludewa mkoani Njombe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ), Mh Deo Filikunjombe amefariki dunia.
Mh Deo Filikunjombe amefikwa na umauti baada ya helkopta aliyokuwa amepanda kutoka jijini Dar es Salaam kuelekea jimboni kwake kuanguka usiku wa kuamkia leo katika mbuga ya wanyama ya Selous.
Katika helkopta walikuwa watu wanne pamoja na rubani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2hkzs5*WzMF8gNoJa4aFRGlpUMQmknE46pN9NGW63x47pjRNRoZXx8to24R4cPKQG6M8ajA2KXqSk9IimqDM4yg/1SHIGONGOALPHAHEPATITISB8.jpg?width=650)
ERIC SHIGONGO APELEKA KAMPENI YA HOMA YA INI ALPHA HIGH SCHOOL