Kauli yako: Katiba ndio suluhu Misri?
Wananchi wa Misri leo wanapigia kura katiba mpya . Je unadhani ndio itakuwa suluhu la kisiasa kwa nchi hiyo inayoyumba kisiasa?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Siku ya Valentine? Kauli yako
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mazishi ya Mandela: Kauli yako
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Kauli yako: Nini kinakufurahisha zaidi?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3BUwwLuJMnQN6*qZYDUp*DATD0WqWwjMDoa*PwyyeuHc0ynmGqHeYGBdui4I8o1af5bl0JPl4tnVmILfAFeQ25Kk3XsJYfff/150000080.jpg)
GWAJIMA KAULI YAKO HAIKUWA YA KICHUNGAJI
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Iran:upasuaji ndio suluhu ya ubikira
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Kauli yako:Vipi ndege imetoweka isijulikane iliko?
11 years ago
BBCSwahili11 Jan
Kauli yako kuhusu kifo cha Ariel Sharon
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t-JQsfU4D3Y/XrEM6xF507I/AAAAAAALpKc/FzoO0pOygcgjlzThCoijbVtdAshwndhZACLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
CHANGAMOTO YA MABADILIKO YA TABIANCHI UKANDA WA EAC MFUKO WA PAMOJA NDIO SULUHU YA KUKABILIANA NAYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-t-JQsfU4D3Y/XrEM6xF507I/AAAAAAALpKc/FzoO0pOygcgjlzThCoijbVtdAshwndhZACLcBGAsYHQ/s320/index.png)
Na Ahmed Mahmoud, Arusha.
Imeelezwa kuwa changamoto ya utoaji wa fedha za fidia kwa nchi zenye kuleta athari ya mabadiliko ya Tabianchi duniani kwa kiwango kikubwa imekuwa ni Tatizo hivyo inahitajika mjadala mpana kuokoa hali ya athari za mabadiliko ya Tabianchi kwa nchi changa duniani.
Hayo yamebainishwa kwenye mjadala wa kamati ya Kilimo Maliasili na Utalii ya bunge la Afrika mashariki na mbunge wa bunge hilo Josephine Lemoyan wakati alipokuwa akiongea na vyombo vya habari Mara baada...
9 years ago
Bongo Movies04 Oct
Nini maoni yako juu ya kauli hii ya Ray kuhusu yeye kuikimbia Team Mabadiliko?
Huku vuguvuga la uchaguzi likiendelea, leo mwigizaji maarufu nchini Vicenti Kigosi aliyekuwa anaongoza mapambano ya mabadiliko ndani ya UKAWA kabla ya kuhamia CCM ameandika ujumbe ufuatao kwa mashabiki wake..
“..Kwanza kabisa ningependa kuwaambia wafuata mkumbo mpende kupanua akili zenu na si kupenda kupanua vidole 2.
Nashangazwa sana na wapinzani kusimama mbele ya adhara na kusema kuwa tangia tumepata uhuru miaka 50 iliyopita serikali haijafanya chochote na wewe unashangalia tena...