Iran:upasuaji ndio suluhu ya ubikira
Wanawake nchini Iran wamegundua njia mpya ya kuonekana mabikira kabla ya ndo,walio wengi hukimbilia upasuaji mdogo ili waonekane wana wari.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 Jun
Iran;Saudia na Qatar ndio wachochezi
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Kauli yako: Katiba ndio suluhu Misri?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t-JQsfU4D3Y/XrEM6xF507I/AAAAAAALpKc/FzoO0pOygcgjlzThCoijbVtdAshwndhZACLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
CHANGAMOTO YA MABADILIKO YA TABIANCHI UKANDA WA EAC MFUKO WA PAMOJA NDIO SULUHU YA KUKABILIANA NAYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-t-JQsfU4D3Y/XrEM6xF507I/AAAAAAALpKc/FzoO0pOygcgjlzThCoijbVtdAshwndhZACLcBGAsYHQ/s320/index.png)
Na Ahmed Mahmoud, Arusha.
Imeelezwa kuwa changamoto ya utoaji wa fedha za fidia kwa nchi zenye kuleta athari ya mabadiliko ya Tabianchi duniani kwa kiwango kikubwa imekuwa ni Tatizo hivyo inahitajika mjadala mpana kuokoa hali ya athari za mabadiliko ya Tabianchi kwa nchi changa duniani.
Hayo yamebainishwa kwenye mjadala wa kamati ya Kilimo Maliasili na Utalii ya bunge la Afrika mashariki na mbunge wa bunge hilo Josephine Lemoyan wakati alipokuwa akiongea na vyombo vya habari Mara baada...
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotoka nje ndio suluhu ya corona
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Je sabuni inaweza kurejesha ubikira?
11 years ago
Habarileo04 Feb
‘Sabuni za kurudisha ubikira balaa'
WANAWAKE wameshauriwa kuacha kutumia sabuni za kunawia sehemu za siri ambazo hudaiwa kurejesha ubikira kwani zina madhara makubwa ikiwemo kusababisha kansa ya shingo ya kizazi. Mkaguzi wa Dawa na Mfamasia wa Manispaa ya Dodoma Daria Mwanuka alisema hayo mwishoni mwa wiki katika mahojiano na mwandishi wa habari hizi wakati wa uteketezaji dawa, vipodozi na vyakula visivyofaa kwa matumizi ya binadamu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfCb7eu7rScs47q2l5uEsWaXTHle2v7S863ZCnwFcZAEB9g-PF5VEbH28pZIJqkI5OtXFS6nbyVIoPa5K3Twz84u/11117149_839040246170134_891223704_n.jpg?width=650)
MAMA MTOTO: NILITOLEWA UBIKIRA NA WIZKID
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Ajitolea kutoa ubikira siku ya wanawake
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qbp6vk3ilR4/VZOIcFbr-ZI/AAAAAAAAwzY/Jhbi2n0Q7Fo/s72-c/NguzaMwanawe.jpg)
Muda wa Jakaya Ndio Umeisha, Babu Seya Ndio Basi Tena?
![](http://1.bp.blogspot.com/-qbp6vk3ilR4/VZOIcFbr-ZI/AAAAAAAAwzY/Jhbi2n0Q7Fo/s640/NguzaMwanawe.jpg)
Wanamuziki Nguza Viking na Papii Kocha wanaotumikia kifungo cha maisha jela, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya.Nguza na mwanaye Papii walitoa ombi hilo kupitia wimbo wakati wakitumbuiza katika maadhimisho ya Siku ya Magereza yaliyofanyika Chuo cha Magereza Ukonga jijini Dar es Salaam.
Ombi hilo waliliwasilisha kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe aliyekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo ambapo Nguza maarufu Babu Seya na mwanawe, Johnson...