Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iran:upasuaji ndio suluhu ya ubikira

Wanawake nchini Iran wamegundua njia mpya ya kuonekana mabikira kabla ya ndo,walio wengi hukimbilia upasuaji mdogo ili waonekane wana wari.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Iran;Saudia na Qatar ndio wachochezi

Rais wa Iran Hassan Rouhani ameyashtumu mataifa yenye utajiri mkubwa wa mafuta katika eneo la mashriki ya kati.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kauli yako: Katiba ndio suluhu Misri?

Wananchi wa Misri leo wanapigia kura katiba mpya . Je unadhani ndio itakuwa suluhu la kisiasa kwa nchi hiyo inayoyumba kisiasa?

 

5 years ago

Michuzi

CHANGAMOTO YA MABADILIKO YA TABIANCHI UKANDA WA EAC MFUKO WA PAMOJA NDIO SULUHU YA KUKABILIANA NAYO


Na Ahmed Mahmoud, Arusha.
Imeelezwa kuwa changamoto ya utoaji wa fedha za fidia kwa nchi zenye kuleta athari ya mabadiliko ya Tabianchi duniani kwa kiwango kikubwa imekuwa ni Tatizo hivyo inahitajika mjadala mpana kuokoa hali ya athari za mabadiliko ya Tabianchi kwa nchi changa duniani.
Hayo yamebainishwa kwenye mjadala wa kamati ya Kilimo Maliasili na Utalii ya bunge la Afrika mashariki na mbunge wa bunge hilo Josephine Lemoyan wakati alipokuwa akiongea na vyombo vya habari Mara baada...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotoka nje ndio suluhu ya corona

Mataifa mengi barani Afrika wameweka marufuku ya watu kutoka nje, shule kufungwa na shughuli mbalimbali kusimama.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je sabuni inaweza kurejesha ubikira?

Baadhi ya wanawake na wasichana huko nchini Kenya wanatumia sabuni inayodaiwa kurejesha usichana yaani 'ubikra'.

 

11 years ago

Habarileo

‘Sabuni za kurudisha ubikira balaa'

WANAWAKE wameshauriwa kuacha kutumia sabuni za kunawia sehemu za siri ambazo hudaiwa kurejesha ubikira kwani zina madhara makubwa ikiwemo kusababisha kansa ya shingo ya kizazi. Mkaguzi wa Dawa na Mfamasia wa Manispaa ya Dodoma Daria Mwanuka alisema hayo mwishoni mwa wiki katika mahojiano na mwandishi wa habari hizi wakati wa uteketezaji dawa, vipodozi na vyakula visivyofaa kwa matumizi ya binadamu.

 

10 years ago

GPL

MAMA MTOTO: NILITOLEWA UBIKIRA NA WIZKID

MAMA wa mtoto wa  mwanamuziki Wizkid wa Nigeria aitwaye, Sola Ogudugu, amefichua kwamba mara yake ya kwanza kufanya mapenzi ni pale alipokutana na mwanamuziki huyo. Sola Ogudugu akiwa na mwanaye. Ogudugu alifichua hilo akiongea na gazeti la Ynaija hivi karibuni, ambapo aliendelea kusema kwamba baada ya kufanya naye mapenzi mara moja hakufahamu kwamba tayari alikuwa na ujauzito ambao haukuufahamu hadi miezi kadhaa ilipopita....

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajitolea kutoa ubikira siku ya wanawake

Mwanamume mmoja amejitolea kutoa ubikira wake wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake.

 

10 years ago

Vijimambo

Muda wa Jakaya Ndio Umeisha, Babu Seya Ndio Basi Tena?


Wanamuziki Nguza Viking na Papii Kocha wanaotumikia kifungo cha maisha jela, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya.Nguza na mwanaye Papii walitoa ombi hilo kupitia wimbo wakati wakitumbuiza katika maadhimisho ya Siku ya Magereza yaliyofanyika Chuo cha Magereza Ukonga jijini Dar es Salaam.
Ombi hilo waliliwasilisha kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe aliyekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo ambapo Nguza maarufu Babu Seya na mwanawe, Johnson...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani