Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je sabuni inaweza kurejesha ubikira?

Baadhi ya wanawake na wasichana huko nchini Kenya wanatumia sabuni inayodaiwa kurejesha usichana yaani 'ubikra'.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

‘Sabuni za kurudisha ubikira balaa'

WANAWAKE wameshauriwa kuacha kutumia sabuni za kunawia sehemu za siri ambazo hudaiwa kurejesha ubikira kwani zina madhara makubwa ikiwemo kusababisha kansa ya shingo ya kizazi. Mkaguzi wa Dawa na Mfamasia wa Manispaa ya Dodoma Daria Mwanuka alisema hayo mwishoni mwa wiki katika mahojiano na mwandishi wa habari hizi wakati wa uteketezaji dawa, vipodozi na vyakula visivyofaa kwa matumizi ya binadamu.

 

11 years ago

GPL

UKICHEPUKA MARA MOJA, INAWEZA KUYAGHARIMU MAISHA YAKO YOTE KUREJESHA UPENDO WAKE KWAKO BILA MAFANIKIO...

Tukiendelea na mada yetu kutoka pale tulipoishia wiki iliyopita, suala la kuchepuka ni la kupiga vita. Anayekuja kwako na vishawishi vya hapa na pale ndiye adui yako pale mambo yanapogeuka. Ukichepuka utamuumiza sana mwenzio, kisha nawe utaumia. Hii ni kwa sababu mateso ya mwenzi wako hayawezi kukupa ahueni. Kwa walio kwenye mapenzi ya dhati ni kwamba mwenzi wako anapoteseka, na wewe pia unakuwa kwenye mateso makali. Maana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran:upasuaji ndio suluhu ya ubikira

Wanawake nchini Iran wamegundua njia mpya ya kuonekana mabikira kabla ya ndo,walio wengi hukimbilia upasuaji mdogo ili waonekane wana wari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajitolea kutoa ubikira siku ya wanawake

Mwanamume mmoja amejitolea kutoa ubikira wake wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake.

 

10 years ago

GPL

MAMA MTOTO: NILITOLEWA UBIKIRA NA WIZKID

MAMA wa mtoto wa  mwanamuziki Wizkid wa Nigeria aitwaye, Sola Ogudugu, amefichua kwamba mara yake ya kwanza kufanya mapenzi ni pale alipokutana na mwanamuziki huyo. Sola Ogudugu akiwa na mwanaye. Ogudugu alifichua hilo akiongea na gazeti la Ynaija hivi karibuni, ambapo aliendelea kusema kwamba baada ya kufanya naye mapenzi mara moja hakufahamu kwamba tayari alikuwa na ujauzito ambao haukuufahamu hadi miezi kadhaa ilipopita....

 

11 years ago

Habarileo

Mafunzo kwa wajasiriamali wa sabuni yasitishwa

WAKALA wa Mkemia Mkuu wa Serikali imezuia kwa muda mafunzo yaliyokuwa yakitolea na makampuni mbalimbali kwa wajasiriamali wa kutengeneza sabuni nchini.

 

11 years ago

GPL

MJASIRIAMALI WA SABUNI ZA MAJI ATIMKA NA MILIONI 30 ZA VODACOM‏

Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu(katikati)akishuhudiwa na Msimamizi wa bodi ya  Michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Humudi Abdulhussein(kushoto)wakati akimpigia mshindi wa droo kubwa ya mwezi ya promosheni ya  Timka na Bodaboda Bi.Jovita Mosha(44)mkazi wa Ubungo external jijini Dar es Salaam aliyeibuka na kitita cha shilingi Milioni 30.kulia ni Mkuu wa kitengo cha Mtandao  na huduma za ziada wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Uhaba wa sabuni za kunawa mikono washuhudiwa Kenya

Wakenya wamininika kwa wingi katika maduka ya jumla kununua bidhaa za kuua vijidudu vya kuua viini

 

11 years ago

GPL

JOKATE AGAWA SABUNI YA KUOGEA YA MO BEAUTY KWA WAKAZI WA DAR

Wakazi wa Tegeta jijini Dar wakipokea sabuni ya Mo Beauty kutoka kwa mwanamtindo,Jokate Mwegelo 'Kidoti' BALOZI wa sabuni mpya ya kuogea ya Mo…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani