Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JOKATE AGAWA SABUNI YA KUOGEA YA MO BEAUTY KWA WAKAZI WA DAR

Wakazi wa Tegeta jijini Dar wakipokea sabuni ya Mo Beauty kutoka kwa mwanamtindo,Jokate Mwegelo 'Kidoti' BALOZI wa sabuni mpya ya kuogea ya Mo…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Kutoka Ocean Road hadi Muhimbili kuagwa sabuni za kuogea za kufulia, miswaki na dawa za meno kwa watoto wenye matatizo ya kansa waliolazwa hapo na wazazi .

wanafunzi waliosoma zamani shule za St Joseph's Convent School na Forodhani Secondary School (St Josephs and Forodhani ALUMNI) washerehekea tarehe12 December kwa kuwapelekea wagonjwa 360 wa kansa hospitali za Ocean Road na Muhimbili sabuni za kufulia na kuogea, miswaki na dawa za kusafishia meno. Mkuu wa msafara Collins Rutenge, amesema tarehe 9 Disemba walikuwa wakifanya usafi kila mmoja alipo.  Kama kukindi waliamua kupeleka vifaa vya usafi kwa wagonjwa wa kansa waliolazwa hospitali za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sauti Sol, Skylight Band na Yamoto Band wapagawisha wakazi wa Dar BEAUTY and MUSIC Night!

DSC_0437

Kundi la muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol waking’ara kwenye Red Carpet mwishoni mwa juma kwenye BEAUTY and MUSIC Night uliofanyika kwenye fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar.

DSC_0429

Petit Man (katikati) akishow love na wasanii wa bongo flava waliotumbuiza kwenye usiku huo maalum Kulia ni Mirror na Kushoto ni msanii wa bongo flava Jordan.

DSC_0424

Mwanadada mrembo akishow love mbele ya camera yetu.

DSC_0427

Petit Man Wakuache aking’ara kwenye Red Carpet.

DSC_0434

 Mirror na msanii mwenzake Jordan wakishow love...

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond agawa zawadi kwa watoto Dar Live!

????????????????????????????????????Diamond Platinumz akiwasalimia mashabiki wake waliofika Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live kusherehekea sikukuu ya X-Mass.

????????????????????????????????????Maasai Warriors wakifanya yao????????????????????????????????????Watoto wakijhiachia kuogelea.????????????????????????????????????Dogo akiimba wimbo mpya wa Diamond ” Utanipenda?” nakushinda zawadi ya sh. 10,000 aliyopewa na Diamond.????????????????????????????????????Diamond akipanda jukwaani.????????????????????????????????????Diamond akiwaburudisha watoto.????????????????????????????????????…akiendelea kuwaburudisha watoto.

.????????????????????????????????????Dogo akionesha ujuzi wa kucheza nyimbo za Diamond jukwaani????????????????????????????????????Diamond akimkabidhi mtoto yule zawadi ya sh. 10,000 mara...

 

11 years ago

GPL

MR CHAMPIONI, AGAWA MAKOTI YA MVUA KWA WAUZAJI WA MAGAZETI JIJINI DAR

Wauzaji  wa magazeti(waliosimama) wakiwa wamevaa makoti ya mvua baada ya kupewa na Mr Championi(hayupo pichani), waliochuchumaa ni wafanyakazi wa Global Publishers. Mr Championi(kushoto) akiwakabidhi makoti ya mvua wauza magazeti katika  kituo cha Ubungo jijini Dar, Shinda Mahela na Championi.…

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu

Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.

Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz

Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...

 

10 years ago

GPL

MR. UWAZI AGAWA SUKARI KWA WASOMAJI WA ‘UWAZI MIZENGWE’ DAR

Msomaji wa Uwazi Mizengwe akipokea zawadi ya mfuko wa sukari eneo la stendi ya daladala ya Makumbusho, Kijitonyama. Mteja wa Uwazi Mizengwe (kushoto mwenye mkoba) kabla ya kununua gazeti katika meza ya muuza magazeti eneo la Mwenge.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani