JOKATE AGAWA SABUNI YA KUOGEA YA MO BEAUTY KWA WAKAZI WA DAR
![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO74C8bI3HfsfwXYj6KCa2SpWWVY8Vg*TBM1UliEnBpbKtJ2Z4XEJI1WXfG*CMx7Ir0XY7dXyDW0aTEMArqvKeAf/JOKATE2.jpg?width=650)
Wakazi wa Tegeta jijini Dar wakipokea sabuni ya Mo Beauty kutoka kwa mwanamtindo,Jokate Mwegelo 'Kidoti' BALOZI wa sabuni mpya ya kuogea ya Mo…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zs7KdFGDCC8/VnA68NnOn7I/AAAAAAAIMo0/uccYfCINMuI/s72-c/02.jpg)
Kutoka Ocean Road hadi Muhimbili kuagwa sabuni za kuogea za kufulia, miswaki na dawa za meno kwa watoto wenye matatizo ya kansa waliolazwa hapo na wazazi .
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Sauti Sol, Skylight Band na Yamoto Band wapagawisha wakazi wa Dar BEAUTY and MUSIC Night!
Kundi la muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol waking’ara kwenye Red Carpet mwishoni mwa juma kwenye BEAUTY and MUSIC Night uliofanyika kwenye fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar.
Petit Man (katikati) akishow love na wasanii wa bongo flava waliotumbuiza kwenye usiku huo maalum Kulia ni Mirror na Kushoto ni msanii wa bongo flava Jordan.
Mwanadada mrembo akishow love mbele ya camera yetu.
Petit Man Wakuache aking’ara kwenye Red Carpet.
Mirror na msanii mwenzake Jordan wakishow love...
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Diamond agawa zawadi kwa watoto Dar Live!
Diamond Platinumz akiwasalimia mashabiki wake waliofika Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live kusherehekea sikukuu ya X-Mass.
Maasai Warriors wakifanya yao
Watoto wakijhiachia kuogelea.
Dogo akiimba wimbo mpya wa Diamond ” Utanipenda?” nakushinda zawadi ya sh. 10,000 aliyopewa na Diamond.
Diamond akipanda jukwaani.
Diamond akiwaburudisha watoto.
…akiendelea kuwaburudisha watoto.
.Dogo akionesha ujuzi wa kucheza nyimbo za Diamond jukwaani
Diamond akimkabidhi mtoto yule zawadi ya sh. 10,000 mara...
11 years ago
GPLMR CHAMPIONI, AGAWA MAKOTI YA MVUA KWA WAUZAJI WA MAGAZETI JIJINI DAR
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vqU7FTLqiKY/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz
Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vqU7FTLqiKY/default.jpg)
10 years ago
GPLMR. UWAZI AGAWA SUKARI KWA WASOMAJI WA ‘UWAZI MIZENGWE’ DAR