Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond agawa zawadi kwa watoto Dar Live!

????????????????????????????????????Diamond Platinumz akiwasalimia mashabiki wake waliofika Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live kusherehekea sikukuu ya X-Mass.

????????????????????????????????????Maasai Warriors wakifanya yao????????????????????????????????????Watoto wakijhiachia kuogelea.????????????????????????????????????Dogo akiimba wimbo mpya wa Diamond ” Utanipenda?” nakushinda zawadi ya sh. 10,000 aliyopewa na Diamond.????????????????????????????????????Diamond akipanda jukwaani.????????????????????????????????????Diamond akiwaburudisha watoto.????????????????????????????????????…akiendelea kuwaburudisha watoto.

.????????????????????????????????????Dogo akionesha ujuzi wa kucheza nyimbo za Diamond jukwaani????????????????????????????????????Diamond akimkabidhi mtoto yule zawadi ya sh. 10,000 mara...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MR UWAZI AGAWA ZAWADI DAR

Mr Uwazi akimkabidhi zawadi msomaji wa Gazeti la Uwazi Mizengwe eneo la Kituo cha Daladala cha Kigogo Freshi-Chanika. Msomaji wa Gazeti la Uwazi Mizengwe akipozi na Mr Uwazi kabla ya kukabidhiwa zawadi yake eneo la Chanika Mwisho. Wasomaji wa Gazeti la Uwazi Mizengwe sambamba na Gazeti la Ijumaa, wakiwa katika picha ya pamoja na Mr Uwazi katika Kituo cha Chanika.… ...

 

9 years ago

GPL

MR. UWAZI AGAWA ZAWADI KWA WASOMAJI WAKE BAGAMOYO

Mr.Uwazi alipotua stendi ya Bagamoyo kugawa zawadi kwa wasomaji wake. Msomaji wa Gazeti la Uwazi Mizengwe akipozi na Mr.Uwazi huku akisoma gazeti lake kabla ya upatiwa zawadi.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Alex Msama amwaga zawadi za Krismas kwa vituo vya watoto yatima jijini Dar

1

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Bi. Honorata wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Honorata kilichopo Temeke jijini Dar es salaam leo wakati alipokabidhi msaada wa vyakula kwa vituo mbalimbali vya jijini Dar es salaam ikiwa ni zawadi yake ya sikukuu ya Krismas kwa vituo hivyo, Bw. Alex Msama amesema pia katika Tamasha la Pasaka litakalofanyika kesho wakati wa sikukuu ya Krismas mkoani Mbeya, kiasi cha fedha zitakazopatikana...

 

10 years ago

Michuzi

ALEX MSAMA AMWAGA ZAWADI ZA KRISMAS KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR ES SALAAM

1Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Bi. Honorata wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Honorata kilichopo Temeke jijini Dar es salaam leo wakati alipokabidhi msaada wa vyakula kwa vituo mbalimbali vya jijini Dar es salaam ikiwa ni zawadi yake ya sikukuu ya Krismas kwa vituo hivyo, Bw. Alex Msama amesema pia katika Tamasha la Pasaka litakalofanyika kesho wakati wa sikukuu ya Krismas mkoani Mbeya, kiasi cha fedha zitakazopatikana ...

 

11 years ago

GPL

‘MR UWAZI’ AGAWA ZAWADI SABA SABA KWA WASOMAJI

Mr. Uwazi akimkabidhi zawadi msomaji wa gazeti la Uwazi. Msomaji akinunua gazeti na kupiga picha na Mr. Uwazi…

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA MSAMA PROMOTIONS YAGAWA ZAWADI ZA EIDD EL FITR KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR


 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akimkabidhi sehemu ya msaada wa vitu mbalimbali kwa mtoto Sophia Said wa kituo cha Yatima cha Maunga cha Kinondoni jijini Dar es Salaam ikiwa ni masandalizi ya Sikukuu ya Idd El Fitr.Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akiwakabidhi sehemu ya msaada wa vitu mbalimbali watoto, Gatson Edward na Bonny Mayanga wa kituo cha Yatima cha Tuwakomboe cha Temeke jijini Dar es Salaam ikiwa ni masandalizi ya Sikukuu ya Idd El Fitir....

 

10 years ago

GPL

WATOTO WASHEREHEKEA SIKUKUU YA MWAKA MPYA KWA AINA YAKE DAR LIVE

Watoto wakijiachia katika bwawa la kuogelea ndani ya Dar Live leo katika kusherehekea Mwaka Mpya 2015. Watoto wakiburudika katika bembea la Dar Live leo.…

 

9 years ago

GPL

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU MR. CHAMPIONI AGAWA ZAWADI

Mr.Championi akizidi kumwaga zawadi ya sukari kwa wasomaji wa gazeti la Championi waliokutwa wakisoma gazeti hilo eneo la kituo cha daladala cha Tegeta. Ofisa Usambazaji wa Global Publishers, Yohana Mkanda (wapili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wasomaji wa gazeti la Championi.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani