Diamond na AKA washoot video ya collabo yao Afrika Kusini
Rapper Kiernan Jarryd Forbes, maarufu kama AKA na staa wetu Nasibu Abdul aka Diamond Platnumz wameingia location kushoot video ya collabo yao.
Taarifa ya kufanyika kwa video hiyo imetolewa na AKA kupitia akaunti yake ya Twitter jana Jumapili.
In other news: Off to shoot this video for this AKA X @diamondplatnumz collaboration.
— AKA (@akaworldwide) November 29, 2015
Inavyoonekana video hiyo inashutiwa Afrika Kusini kwasababu Diamond Platnumz yuko huko toka wiki iliyopita.
AKA na Diamond...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo527 Nov
Video: Alikiba na Sauti Sol washoot video ya collabo yao
![12142150_1495334807428324_1398203255_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12142150_1495334807428324_1398203255_n-300x194.jpg)
Wimbo wa Sauti Sol waliomshirikisha Alikiba haupo kwenye album yao ‘Live and Die in Afrika’ lakini huenda video yake ikatoka mapema.
Kiba ameshare kipande kifupi cha video kikiwaonesha wakiwa kwenye chumba kinachoonekana kama sehemu ya kufanyia video.
“It’s Coming @sautisol #KujuaKaziRahaSana #KingKiba,” ameandika.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali...
10 years ago
Vijimambo09 Nov
PICHA ZA DIAMOND NA WAJE WAKISHUTI VIDEO YA COLLABO MJINI CAPE TOWN NCHINI AFRIKA KUSINI
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/wajee.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/diamond.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG-20141104-WA036.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG-20141104-WA009.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG-20141104-WA023.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/waje.jpg)
9 years ago
Bongo525 Aug
Weusi washoot video 2 mpya na Justin Campos, Afrika Kusini. Moja ni ya Joh Makini na nyingine ya G-Nako
9 years ago
Bongo527 Nov
Mafikizolo na Diamond kushoot video ya collabo yao December 10
![4X7A0037](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/4X7A0037-300x194.jpg)
Kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini limethibitisha kuwa video ya wimbo waliomshirikisha Diamond itafanyika December 10 mwaka huu.
Taarifa hiyo imetolewa na member wa kundi hilo, Nhlanhla Nciza kupitia Instagram baada ya kumjibu shabiki wa Diamond aliyeuliza sababu ya kuchelewa kwa wimbo huo.
“We are shooting a video with @diamondplatnumz on the 10th of December boss we know you guys have been waiting, one love.”
Wimbo huo ulifanyika mwaka jana.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge...
9 years ago
Bongo530 Oct
Diamond na Mafikizolo kushoot video ya collabo yao ya 2014, mwezi ujao
![mondi na mafikizolo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/mondi-na-mafikizolo-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo529 Oct
Video ya collabo ya Diamond na Ne-Yo kufanyika Marekani na Afrika
9 years ago
Bongo519 Nov
Rapper AKA atoa somo kwa wanaodhani collabo ya kimataifa ni mpaka awe msanii wa nje ya Afrika
Wapo baadhi ya wasanii wa Tanzania ambao wameshafanya collabo na wasanii wa nchi za jirani kama Kenya na Uganda, lakini bado huwa wanakutana na maswali ya lini wataanza kufanya collabo za Kimataifa.
Hali hiyo imemkuta pia rapper wa Afrika Kusini, Kiernan Jarryd Forbes, maarufu kama AKA, ambaye licha ya kufanya kazi na wasanii wa Afrika lakini bado amekuwa akiulizwa na mashabiki ni lini atafanya kazi na msanii wa ‘KIMATAIFA’.
Kinachoonekana ni kwamba tafsiri ya mashabiki wengi kuhusu...
9 years ago
Bongo530 Sep
Vanessa Mdee kutumbuiza jukwaa moja na mastaa wa Afrika akiwemo Wizkid, Davido, AKA, K.O kwenye tamasha la ‘AMC 2015′ Afrika Kusini
9 years ago
Bongo521 Oct
Video ya msanii wa Diamond, Harmonize yashootiwa Afrika Kusini na imekamilika