Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video ya msanii wa Diamond, Harmonize yashootiwa Afrika Kusini na imekamilika

Msanii anayesimamiwa na Diamond Platnumz kupitia label yake WCB, Hamonize anaendelea kuziona faida za kuwa chini ya msanii mkubwa mwenye connections nyingi. Harmonize licha ya kuwa ni msanii mpya lakini safari yake ya kimuziki imeanzia kwenye matawi ya juu ambayo kuna baadhi ya wasanii wakubwa hawajawahi kuyafikia. Harmonize amesema kuwa video ya single yake ya […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

QS MHONDA J ENTERTAINMENT YAMPELEKA MSANII CHIPUKIZI KUFANYA VIDEO AFRIKA KUSINI

Mwanamuziki Amour Genius. QS Mhonda J Entertainment imempeleka msanii wake chipukizi aitwaye AMOUR GENIUS nchini Afrika Kusini kufanya video ya wimbo wake mpya uitwao WANIMALIZA ambao amemshirikisha ‘hit maker’ wa wimbo wa MAUMIVU – KADJA NITO. Meneja wa kampuni hiyo, Fredy Felix, amethibitisha hayo ambapo alisema mashabiki wakae mkao wa kupokea video nzuri kutoka kwa AMOUR. Pia Fredy aliongeza kuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond na AKA washoot video ya collabo yao Afrika Kusini

AKA X Diamond

Rapper Kiernan Jarryd Forbes, maarufu kama AKA na staa wetu Nasibu Abdul aka Diamond Platnumz wameingia location kushoot video ya collabo yao.

AKA X Diamond

Taarifa ya kufanyika kwa video hiyo imetolewa na AKA kupitia akaunti yake ya Twitter jana Jumapili.

In other news: Off to shoot this video for this AKA X @diamondplatnumz collaboration. 🎥💎

— AKA (@akaworldwide) November 29, 2015

Inavyoonekana video hiyo inashutiwa Afrika Kusini kwasababu Diamond Platnumz yuko huko toka wiki iliyopita.

AKA na Diamond...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZA DIAMOND NA WAJE WAKISHUTI VIDEO YA COLLABO MJINI CAPE TOWN NCHINI AFRIKA KUSINI

Diamond Platnumz ameamua kusafiri hadi jijini Cape Town, Afrika Kusini kimya kimya kwenda kushoot video ya wimbo alioshirikishwa na msanii wa Nigeria, Waje.Diamond na Waje Video hiyo imefanyika kwenye fukwe za bahari ya Atlantic jijini Cape Town.Diamond alipost picha hii kwenye Instagram bila kusema chochote ni wapi alipoipigiaDiamond na Waje wakiwa locationPicha hii iliweka Instagram na Jesse Ebuka Okoli aliyeandika:On set yesterday with the ever amazing @officialwaje ft diamond #Coco baby...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Harmonize autafuta ustaa kwa njia alizopitia bosi wake Diamond?

12317459_411872465678262_2113634085_n

Tunajua kuwa Diamond ni msanii mwenye kipaji, anayejituma na nidhamu yake ya kazi inaweza kuhamisha milima, lakini hakuna anayeweza kubisha kuwa uhusiano wake na wasichana maarufu ulimsaidia kumpa jina.

11939678_1015510408471958_1941126011_n

Jacqueline Wolper, Wema Sepetu, Jokate, Zari na wengine ambao hatukuwahi kuthibitisha, wamelijenga zaidi jina lake, na of course, yeye pia amewapa fursa hiyo pia.

Inaonekana kuwa Harmonize anaanza kutumia njia za bosi wake pia kutafuta tobo.

12317459_411872465678262_2113634085_n

Hivi karibuni muimbaji huyo wa Aiyola amekuwa...

 

9 years ago

Michuzi

MSANII WA WA AFRIKA KUSINI K.O ATUA DAR KWA ZIARA

  Msanii maarufu nchini Afrika Kusini, K.O akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya ziara ya ktembelea vyombo mbalimbali vya habari hasa Televisheni na Redio na kuangalia mziki wa hapa nchini katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.
 Msanii maarufu nchini Afrika Kusini,K.O (Katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya ziara yake nchini leo jijini Dar es Salaam,Kushoto ni...

 

9 years ago

Vijimambo

MSANII WA AFRIKA KUSINI K.O ATUA DAR KWA ZIARA YA KIMZIKI

Msanii maarufu nchini Afrika Kusini, K.O akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya ziara ya kutembelea vyombo mbalimbali vya habari hasa Televisheni na Redio na kuangalia mziki wa hapa nchini katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.Thabiso Khati ambaye ni msimamizi wa msaniii K.O akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MARK MUGA: Msanii aliyeishi Afrika Kusini miaka 15 bila mafanikio

WIMBO ulioimbwa na mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, unaojulikana kwa jina la ‘Mark Muga’ ni maisha ya kweli ya mhusika aliyeimbwa. Hata hivyo Mark Muga mwenyewe...

 

10 years ago

Habarileo

Kwenda Kusini raha tupu, Ndundu- Somanga imekamilika

WANANCHI wa Mikoa ya Lindi na Mtwara wataendelea kunufaika zaidi baada ya kukamilika kwa ujenzi wa kipande cha Barabara ya Ndundu-Somanga yenye urefu wa kilomita 60 kinachounganisha Mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara.

 

9 years ago

Dewji Blog

Msanii Bobo Seretsane “Bo” wa Afrika kusini afagilia muziki wa Tanzania, apongeza tamasha Karibu Music!

DSC_0896

Msanii nyota wa Afrika Kusini, Bo Denim “Bo” akitumbuiza jukwaani wakati wa tamasha la msimu wa pili la Karibu Music Festival..!

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[BAGAMOYO-TANZANIA]  Mwanamuziki  nyota kutoka Afrika Kusini  Bo Denim maarufu ‘Bo’ amewashukuru waandaji wa tamasha la Music Festival linalofanyika kila mwaka mjini hapa huku likihusisha vikundi na wanamuziki mbalimbali kutoka mataifaa tofauti ya Afrika nan je ya Afrikaa.

Bo ambaye usiku wa jana Novemba 7, aliweza kupiga shoo hiyo kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani