Video ya msanii wa Diamond, Harmonize yashootiwa Afrika Kusini na imekamilika
Msanii anayesimamiwa na Diamond Platnumz kupitia label yake WCB, Hamonize anaendelea kuziona faida za kuwa chini ya msanii mkubwa mwenye connections nyingi. Harmonize licha ya kuwa ni msanii mpya lakini safari yake ya kimuziki imeanzia kwenye matawi ya juu ambayo kuna baadhi ya wasanii wakubwa hawajawahi kuyafikia. Harmonize amesema kuwa video ya single yake ya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DNRCvs-5-8Fy8hzvhZpgxUi*EWugFiKTa39Av6ShBQe7tGeMzA1egcHG*TwrUXrQkU634oKx59h5JRR3pEYgNsW90zRNZI6S/AMOUR2.jpg?width=650)
QS MHONDA J ENTERTAINMENT YAMPELEKA MSANII CHIPUKIZI KUFANYA VIDEO AFRIKA KUSINI
9 years ago
Bongo530 Nov
Diamond na AKA washoot video ya collabo yao Afrika Kusini
![AKA X Diamond](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/AKA-X-Diamond-300x194.jpg)
Rapper Kiernan Jarryd Forbes, maarufu kama AKA na staa wetu Nasibu Abdul aka Diamond Platnumz wameingia location kushoot video ya collabo yao.
Taarifa ya kufanyika kwa video hiyo imetolewa na AKA kupitia akaunti yake ya Twitter jana Jumapili.
In other news: Off to shoot this video for this AKA X @diamondplatnumz collaboration.
— AKA (@akaworldwide) November 29, 2015
Inavyoonekana video hiyo inashutiwa Afrika Kusini kwasababu Diamond Platnumz yuko huko toka wiki iliyopita.
AKA na Diamond...
10 years ago
Vijimambo09 Nov
PICHA ZA DIAMOND NA WAJE WAKISHUTI VIDEO YA COLLABO MJINI CAPE TOWN NCHINI AFRIKA KUSINI
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/wajee.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/diamond.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG-20141104-WA036.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG-20141104-WA009.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG-20141104-WA023.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/waje.jpg)
9 years ago
Bongo503 Dec
Video: Harmonize autafuta ustaa kwa njia alizopitia bosi wake Diamond?
![12317459_411872465678262_2113634085_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12317459_411872465678262_2113634085_n-300x194.jpg)
Tunajua kuwa Diamond ni msanii mwenye kipaji, anayejituma na nidhamu yake ya kazi inaweza kuhamisha milima, lakini hakuna anayeweza kubisha kuwa uhusiano wake na wasichana maarufu ulimsaidia kumpa jina.
Jacqueline Wolper, Wema Sepetu, Jokate, Zari na wengine ambao hatukuwahi kuthibitisha, wamelijenga zaidi jina lake, na of course, yeye pia amewapa fursa hiyo pia.
Inaonekana kuwa Harmonize anaanza kutumia njia za bosi wake pia kutafuta tobo.
Hivi karibuni muimbaji huyo wa Aiyola amekuwa...
9 years ago
MichuziMSANII WA WA AFRIKA KUSINI K.O ATUA DAR KWA ZIARA
9 years ago
VijimamboMSANII WA AFRIKA KUSINI K.O ATUA DAR KWA ZIARA YA KIMZIKI
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
MARK MUGA: Msanii aliyeishi Afrika Kusini miaka 15 bila mafanikio
WIMBO ulioimbwa na mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba, unaojulikana kwa jina la ‘Mark Muga’ ni maisha ya kweli ya mhusika aliyeimbwa. Hata hivyo Mark Muga mwenyewe...
10 years ago
Habarileo30 Jun
Kwenda Kusini raha tupu, Ndundu- Somanga imekamilika
WANANCHI wa Mikoa ya Lindi na Mtwara wataendelea kunufaika zaidi baada ya kukamilika kwa ujenzi wa kipande cha Barabara ya Ndundu-Somanga yenye urefu wa kilomita 60 kinachounganisha Mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara.
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Msanii Bobo Seretsane “Bo” wa Afrika kusini afagilia muziki wa Tanzania, apongeza tamasha Karibu Music!
Msanii nyota wa Afrika Kusini, Bo Denim “Bo” akitumbuiza jukwaani wakati wa tamasha la msimu wa pili la Karibu Music Festival..!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[BAGAMOYO-TANZANIA] Mwanamuziki nyota kutoka Afrika Kusini Bo Denim maarufu ‘Bo’ amewashukuru waandaji wa tamasha la Music Festival linalofanyika kila mwaka mjini hapa huku likihusisha vikundi na wanamuziki mbalimbali kutoka mataifaa tofauti ya Afrika nan je ya Afrikaa.
Bo ambaye usiku wa jana Novemba 7, aliweza kupiga shoo hiyo kwa...