Gabriel apewa marufuku ya mechi moja
Beki wa Arsenal Gabriel Paulista amepewa marufuku ya mechi moja na kupigwa faini ya pauni 10,000 baada ya kukiri shtaka la shirikisho la soka nchini Uingereza FA la utovu wa nidhamu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Mourinho apewa adhabu kukosa mechi moja
Shirikisho la soka barani Ulaya, limempa adhabu Meneja wa Chelsea Mourinho ya kuikosa mechi moja na kutakiwa kulipa faini ya pauni elfu 40 za uingereza.
9 years ago
BBCSwahili15 Aug
RIPOTI ZA MOJA KWA MOJA ZA MECHI ZA LIGI KUU YA UINGEREZA
Idhaa yako ya bbcswahili inakuletea ripoti za moja kwa moja za mechi za ligi kuu ya Uingereza Wkiendi hii
11 years ago
Michuzi9 years ago
BBCSwahili31 Oct
MOJA KWA MOJA EPL: MECHI ZA JUMAMOSI
Chelsea leo wako nyumbani dhidi ya Liverpool katika Ligi ya Premia kwenye mechi ambayo wengi wanaamini huenda ikaamua hatima ya Meneja wa Chelsea Jose Mourinho.
9 years ago
BBCSwahili24 Oct
MOJA KWA MOJA: MECHI ZA EPL JUMAMOSI
Klabu ya Chelsea leo imo ugenini West Ham ikijaribu kufufua kampeni yake Ligi ya Premia msimu huu baada ya kuandikisha matokeo yasiyo ya kuridhisha tangu mwanzo wa msimu.
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Phiri apewa mechi mbili
WAKATI Benchi la Ufundi la klabu ya Simba likipewa mechi mbili kubadilisha matokeo ya timu hiyo, wachezaji ambao wamesimamishwa kwa tuhuma za kuhujumu timu na ukosefu wa nidhamu, wanatarajia kukutana...
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Mchezaji apewa marufuku ya miaka 4
Kiungo wa kati wa klabu ya Dinamo Zagreb Arijan Ademi amepigwa marufuku ya miaka minne kwa kupatikana na dawa za kusisimu misuli
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yC7AOXGJlPXF6wGPmSENxAI3VZ5Fop-euvElPS6L1mSu8ZxStNMUohBWjSaX-eq9SvGiL5ZyLu2NqsuPZX7g0ySSvDn4v6a6/phili.jpg)
Phiri apewa mechi tano Simba
Kocha mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri. Na Nicodemus Jonas
ALIYEWAHI kuwa Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Simba, Joseph Itang’are ‘Mzee Kinesi’, ameibuka na kuwataka wanachama na mashabiki kutokata tamaa kuhusu mwenendo wa kikosi chao, huku akitoa mechi tano ndipo waanze kujadili ubora wa kikosi chao. Simba imeanza ligi kwa kusuasua huku ikiwa haijashinda mechi yoyote, zaidi ya kuambulia sare katika michezo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMN4fi0k3VOsXqxNhESRB9JqEykxgihkykacbQ-dqeknQUqzbotgJ4z00XYQnsksyhCz2xRZHk3s6VBtmyvLVBuC/phili.jpg)
Phiri apewa mechi mbili Simba SC
Kocha mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri. Goodluck Ngai na Wilbert Molandi
UONGOZI wa Klabu ya Simba chini ya kamati ya utendaji, umelipa benchi la ufundi la kikosi chao mechi mbili za kubadili mwenendo wa matokeo ya timu na kuhakikisha timu inapata ushindi na kucheza mpira unaovutia. Tangu kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu huu, Simba imekuwa ikipata matokeo yasiyovutia huku ikicheza michezo mitano na kuambulia pointi tano...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania