Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gabriel apewa marufuku ya mechi moja

Beki wa Arsenal Gabriel Paulista amepewa marufuku ya mechi moja na kupigwa faini ya pauni 10,000 baada ya kukiri shtaka la shirikisho la soka nchini Uingereza FA la utovu wa nidhamu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho apewa adhabu kukosa mechi moja

Shirikisho la soka barani Ulaya, limempa adhabu Meneja wa Chelsea Mourinho ya kuikosa mechi moja na kutakiwa kulipa faini ya pauni elfu 40 za uingereza.

 

9 years ago

BBCSwahili

RIPOTI ZA MOJA KWA MOJA ZA MECHI ZA LIGI KUU YA UINGEREZA

Idhaa yako ya bbcswahili inakuletea ripoti za moja kwa moja za mechi za ligi kuu ya Uingereza Wkiendi hii

 

9 years ago

BBCSwahili

MOJA KWA MOJA EPL: MECHI ZA JUMAMOSI

Chelsea leo wako nyumbani dhidi ya Liverpool katika Ligi ya Premia kwenye mechi ambayo wengi wanaamini huenda ikaamua hatima ya Meneja wa Chelsea Jose Mourinho.

 

9 years ago

BBCSwahili

MOJA KWA MOJA: MECHI ZA EPL JUMAMOSI

Klabu ya Chelsea leo imo ugenini West Ham ikijaribu kufufua kampeni yake Ligi ya Premia msimu huu baada ya kuandikisha matokeo yasiyo ya kuridhisha tangu mwanzo wa msimu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Phiri apewa mechi mbili

WAKATI Benchi la Ufundi la klabu ya Simba likipewa mechi mbili kubadilisha matokeo ya timu hiyo, wachezaji ambao wamesimamishwa kwa tuhuma za kuhujumu timu na ukosefu wa nidhamu, wanatarajia kukutana...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mchezaji apewa marufuku ya miaka 4

Kiungo wa kati wa klabu ya Dinamo Zagreb Arijan Ademi amepigwa marufuku ya miaka minne kwa kupatikana na dawa za kusisimu misuli

 

10 years ago

GPL

Phiri apewa mechi tano Simba

Kocha mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri. Na Nicodemus Jonas
ALIYEWAHI kuwa Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Simba, Joseph Itang’are ‘Mzee Kinesi’, ameibuka na kuwataka wanachama na mashabiki kutokata tamaa kuhusu mwenendo wa kikosi chao, huku akitoa mechi tano ndipo waanze kujadili ubora wa kikosi chao. Simba imeanza ligi kwa kusuasua huku ikiwa haijashinda mechi yoyote, zaidi ya kuambulia sare katika michezo...

 

10 years ago

GPL

Phiri apewa mechi mbili Simba SC

Kocha mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri. Goodluck Ngai na Wilbert Molandi
UONGOZI wa Klabu ya Simba chini ya kamati ya utendaji, umelipa benchi la ufundi la kikosi chao mechi mbili za kubadili mwenendo wa matokeo ya timu na kuhakikisha timu inapata ushindi na kucheza mpira unaovutia. Tangu kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu huu, Simba imekuwa ikipata matokeo yasiyovutia huku ikicheza michezo mitano na kuambulia pointi tano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani