Mchezaji apewa marufuku ya miaka 4
Kiungo wa kati wa klabu ya Dinamo Zagreb Arijan Ademi amepigwa marufuku ya miaka minne kwa kupatikana na dawa za kusisimu misuli
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Mchezaji ‘aliyechokozwa’ na Costa apewa marashi
9 years ago
BBCSwahili26 Sep
Gabriel apewa marufuku ya mechi moja
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Mchezaji wa miaka 48 aamua kuendelea kucheza
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Juma Said apigwa marufuku ya miaka 2
10 years ago
BBCSwahili23 Sep
CAF yaipiga JS Kabylie marufuku ya miaka 2
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Rita Jeptoo apigwa marufuku ya miaka 2
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
FIFA yampiga marufuku afisa kwa miaka 7
11 years ago
Habarileo03 Apr
Bodaboda, bajaj marufuku kubeba mtoto wa miaka 9
KANUNI mpya za uendeshaji usafiri wa pikipiki na bajaj maarufu bodaboda, zimeainishwa zikisisitiza waendeshaji wa vyombo hivyo, kutekeleza masharti, ikiwemo linalokataza kupakia mtoto mwenye umri wa miaka tisa na chini yake. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imesisitiza kutumiwa kwa kanuni hizo na kusema mtoto wa umri huo, anapaswa awe na mtu mzima aliyeongozana naye, ndipo apakiwe kwenye vyombo hivyo.
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
FIFA yampiga marufuku miaka 10 afisa wa Nepal