Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchezaji apewa marufuku ya miaka 4

Kiungo wa kati wa klabu ya Dinamo Zagreb Arijan Ademi amepigwa marufuku ya miaka minne kwa kupatikana na dawa za kusisimu misuli

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mchezaji ‘aliyechokozwa’ na Costa apewa marashi

Mchezaji aliyeonekana kuchokozwa na mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa ameahidiwa manukato ya kumtosha mwaka mmoja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Gabriel apewa marufuku ya mechi moja

Beki wa Arsenal Gabriel Paulista amepewa marufuku ya mechi moja na kupigwa faini ya pauni 10,000 baada ya kukiri shtaka la shirikisho la soka nchini Uingereza FA la utovu wa nidhamu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa miaka 48 aamua kuendelea kucheza

Mchezaji mwenye umri wa miaka 48 ametia saini mkataba wa kuendelea kuchezea klabu ya Yokohama FC nchini Japan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Juma Said apigwa marufuku ya miaka 2

Nahodha wa Mbeya City, Juma Said amepigwa marufuku ya miaka miwili kwa 'tendo la dhuluma' dhidi ya mpinzani wake uwanjani

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF yaipiga JS Kabylie marufuku ya miaka 2

CAF imeipiga marufuku JS Kabylie kwa miaka 2 baada ya kuuawa kwa mshambulizi wa Cameroon Albert Ebosse

 

10 years ago

BBCSwahili

Rita Jeptoo apigwa marufuku ya miaka 2

Mshindi wa mbio za Boston na Chicago Marathon katika kipindi cha miaka miwili iliopita mkenya Rita Jeptoo amepigwa marufuku

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA yampiga marufuku afisa kwa miaka 7

Afisa wa FIFA aliyesimamia jopo la kutathmini uwenyeji wa kombe la dunia la mwaka wa 2018 na 2022 amepigwa marufuku ya miaka 7

 

11 years ago

Habarileo

Bodaboda, bajaj marufuku kubeba mtoto wa miaka 9

KANUNI mpya za uendeshaji usafiri wa pikipiki na bajaj maarufu bodaboda, zimeainishwa zikisisitiza waendeshaji wa vyombo hivyo, kutekeleza masharti, ikiwemo linalokataza kupakia mtoto mwenye umri wa miaka tisa na chini yake. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imesisitiza kutumiwa kwa kanuni hizo na kusema mtoto wa umri huo, anapaswa awe na mtu mzima aliyeongozana naye, ndipo apakiwe kwenye vyombo hivyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

FIFA yampiga marufuku miaka 10 afisa wa Nepal

Mmoja wa maafisa wenye ushawishi mkubwa zaidi katika soka ya bara Asia amepigwa marufuku na FIFA ya miaka kumi kwa tuhuma za ufisadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani