Rita Jeptoo apigwa marufuku ya miaka 2
Mshindi wa mbio za Boston na Chicago Marathon katika kipindi cha miaka miwili iliopita mkenya Rita Jeptoo amepigwa marufuku
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Juma Said apigwa marufuku ya miaka 2
Nahodha wa Mbeya City, Juma Said amepigwa marufuku ya miaka miwili kwa 'tendo la dhuluma' dhidi ya mpinzani wake uwanjani
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Kesi ya Rita Jeptoo yaanza kusikilizwa
Kesi ya matumizi ya dawa za kuongeza nguvu ya bingwa mara tatu wa Boston Marathon Rita Jeptoo wa Kenya imeanza leo hii mjini Nairobi lakini chama cha riadha kimesema hakitatangaza hukumu ya Jeptoo hadi wiki ijayo.
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
IAAF yataka adhabu zaidi kwa Rita Jeptoo
Shirikisho la IAAF limeitaka mahakama ya michezo (CAS) imwongezee adhabu Rita Jeptoo kwa kosa analotumikia
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Pardew apigwa marufuku na FA
Ya kutoshiriki katika mechi saba baada ya kupatikana na hatia ya kumpiga kwa kichwa mchezaji wa Hull City
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Mlinzi wa Liverpool apigwa marufuku
Mlinzi wa Liverpool Martin Skrtel atahudumia marufuku ya mechi tatu baada ya shirikisho la soka nchini Uingereza FA kumpata na hatia.
10 years ago
BBCSwahili20 Jun
Neymar apigwa marufuku ya mechi nne
Mshambuliaji wa Brazil Neymar atakosa michuano yote ya kombe la Copa America baada ya kupigwa marufuku ya mechi nne.
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Costa apigwa marufuku ya mechi tatu
Mchezaji wa Chelsea Diego Costa amepigwa marufuku ya mechi tatu kwa kumkanyaga makusudi mchezaji wa Liverpool Emre Can.
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Kocha apigwa marufuku na Caf kwa kutusi refa
Kocha wa Guinea-Bissau Paulo Torres amepigwa marufuku kwa mechi zilizosalia zaza Kombe la Taifa Bingwa Afrika 2017 kwa kumtusi refa.
10 years ago
Bongo506 Dec
Madam Rita kuja na kipindi cha TV ‘Rita Paulsen Show’
Mkurugenzi Mtendaji wa Benchmark Productions aliyejipatia umaarufu kwa kuanzisha mashindano ya Bongo Star Search, Rita Paulsen anatarajia kuja na kipindi chake cha runinga. Kipindi hicho kinaitwa ‘Rita Paulsen Show’. Rita ameshare habari hiyo njema kwenye akaunti yake ya Instagram na kwenye picha kuandika: The biggest revenge in this world is success#hard work.” Hadi sasa bado […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania