Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IAAF yataka adhabu zaidi kwa Rita Jeptoo

Shirikisho la IAAF limeitaka mahakama ya michezo (CAS) imwongezee adhabu Rita Jeptoo kwa kosa analotumikia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

IAAF wants to double Jeptoo drugs ban

Kenya's Rita Jeptoo, winner of the Boston and Chicago marathons, is banned for two years after failing a drugs test.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Rita Jeptoo yaanza kusikilizwa

Kesi ya matumizi ya dawa za kuongeza nguvu ya bingwa mara tatu wa Boston Marathon Rita Jeptoo wa Kenya imeanza leo hii mjini Nairobi lakini chama cha riadha kimesema hakitatangaza hukumu ya Jeptoo hadi wiki ijayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rita Jeptoo apigwa marufuku ya miaka 2

Mshindi wa mbio za Boston na Chicago Marathon katika kipindi cha miaka miwili iliopita mkenya Rita Jeptoo amepigwa marufuku

 

10 years ago

Dewji Blog

UN yataka kuwezeshwa zaidi kwa serikali za mitaa

IMG_0984

Balozi wa Spain nchini, Mh. Luis Cuesta Civis (kushoto) na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) wakikagua mitaala ya kufundishia kwenye ofisi za walimu katika shule ya msingi Yombo ambayo imejengwa na mradi wa awamu ya pili wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) iliyopo katika kijiji cha  Chasimba, wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani, wakati wa kukagua miradi inayofadhiliwa na...

 

10 years ago

GPL

UN YATAKA KUWEZESHWA ZAIDI KWA SERIKALI ZA MITAA‏

Balozi wa Spain nchini, Mh. Luis Cuesta Civis (kushoto) na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) wakikagua mitaala ya kufundishia kwenye ofisi za walimu katika shule ya msingi Yombo ambayo imejengwa na mradi wa awamu ya pili wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) iliyopo katika kijiji cha Chasimba, wilayani...

 

10 years ago

GPL

HAKUNA ADHABU NYINGINE ZAIDI YA KUMKATALIA FARAGHA?

Nisiku nyingine nzuri ya Ijumaa tunapokutana kwenye zulia zuri la mahaba, tukijuzana, kubadilishana mawazo na kuelimishana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Ni matumaini yangu kwamba kwa uwezo wa Mungu uko poa kabisa, leo nataka tujadiliane kuhusu mada hii nyeti na muhimu kama inavyojieleza; hakuna adhabu nyingine ya kumpa mwenzi wako anapokukosea zaidi ya kumkatalia kuwa naye faragha? Nimesukumwa kuandika mada hii...

 

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA ADHABU NYINGINE ZAIDI YA KUMKATALIA FARAGHA?- 2

Uhali gani msomaji wangu? Bila shaka kwa uwezo wa Mungu uko poa na unaendelea vizuri na majukumu yako ya kila siku. Ni Ijumaa nyingine tunapokutana kwenye uwanja wetu huu mzuri.Wiki iliyopita tulianza kujadili mada ya baadhi ya wanawake kuwanyima tendo la ndoa waume zao kila wanapowaudhi.

Nikushukuru wewe msomaji wangu uliyetuma ujumbe mfupi wa maandishi kuelezea mtazamo wako. Kimsingi nimejifunza kitu kwamba kumbe tatizo ni kubwa kuliko hata nilivyokuwa nafikiri.

WENGI WANATESEKA
Wanaume wengi...

 

10 years ago

GPL

RITA: MADUDU YA KINA SITTI MKIENDELEA KUYAFUMBIA MACHO TUTEGEMEE AIBU ZAIDI! KWENU

Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), bila shaka mko vizuri mnaendelea kusimamia jukumu zito katika taifa letu.Usajili, Ufilisi na Udhamini siyo kazi ndogo. Ni kazi inayohitaji umakini wa hali ya juu maana matokeo ya ufanisi wenu ndiyo majibu ya shughuli nyingi katika nchi. Watu wakitaka kusafiri, kutambulika katika maeneo mbalimbali nyinyi lazima mhusike kutatua.
Mkitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima. Namshukuru...

 

10 years ago

Dewji Blog

UN yataka juhudi zaidi kukabili mauaji ya Albino

DSC_0233

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na binti wa miaka 19 ambaye ni mlemavu wa ngozi na kutosikia, Masalu Masuka ambaye  anaishi katika kituo cha watoto walemavu cha Buhangija baada ya kukimbia kwao Bariadi kukwepa wauaji wa albino. Binti huyo alijifungua mtoto wake akiwa kituoni hapo bila msaada wa muuguzi. 

Na Mwandishi wetu

MRATIBU wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini, na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani