HAKUNA ADHABU NYINGINE ZAIDI YA KUMKATALIA FARAGHA?- 2
Uhali gani msomaji wangu? Bila shaka kwa uwezo wa Mungu uko poa na unaendelea vizuri na majukumu yako ya kila siku. Ni Ijumaa nyingine tunapokutana kwenye uwanja wetu huu mzuri.Wiki iliyopita tulianza kujadili mada ya baadhi ya wanawake kuwanyima tendo la ndoa waume zao kila wanapowaudhi.
Nikushukuru wewe msomaji wangu uliyetuma ujumbe mfupi wa maandishi kuelezea mtazamo wako. Kimsingi nimejifunza kitu kwamba kumbe tatizo ni kubwa kuliko hata nilivyokuwa nafikiri.
WENGI WANATESEKA
Wanaume wengi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DeYbG7ZOSR2JCcrW4C9pwUEqdSTY244LLsxcxrb0*4xqlrA1FjDj-tSQmyGc02x-rLB5kpRbUMssrCa1gWHzJFq/Love.jpg)
HAKUNA ADHABU NYINGINE ZAIDI YA KUMKATALIA FARAGHA?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2TyBv*ws2OH8avPL6NNbQh6BBGwMA2ZGSN3yOHKiV2MJeXUakptNUPWw3LENosEM12DaQ0XfhmzKOleNGoWIfHN/Love.jpg)
HAKUNA ADHABUNYINGINE ZAIDI YA KUMKATALIA FARAGHA?- 2
9 years ago
Bongo508 Sep
Bongo Movies: Hakuna story nyingine zaidi ya mapenzi na ushirikina?
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Mambo ya Ndani: Wafungwa hakuna faragha
11 years ago
Habarileo20 May
Migiro: Hakuna mpango wa kutoa adhabu ya kifo
SERIKALI imesema inaamini sheria zilizopo za uhujumu uchumi na wezi ni kali vya kutosha, na kwa sasa haina mpango wa kutunga sheria inayotoa adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa wahusika.
9 years ago
Bongo508 Sep
BASATA ladai adhabu kwa Shilole ipo pale pale, yadai inakusanya ushahidi kumtwanga nyundo nyingine
9 years ago
VijimamboBASATA YADAI ADHABU KWA SHILOLE IPO PALE PALE, YASEMA INAKUSANYA USHAHIDI KUMTWANGA NYUNDO NYINGINE
Katibu Mtendaji wa baraza la sanaa la taifa, BASATA, Geofrey Mngereza ameiambia Radio 5 ya Arusha kuwa adhabu aliyopewa Shilole ya kufungiwa kutojihusisha kwenye masuala ya sanaa kwa mwaka mmoja haijafutwa.Mngereza alidai kuwa adhabu iliyotolewa kwa Shilole imetokana na sheria na kanuni zilizotokana na bunge na kwamba kwa sasa wanakusanya ushahidi ili kuchukua...
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
IAAF yataka adhabu zaidi kwa Rita Jeptoo
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Ajali nyingine ya Ndege yaua zaidi ya 40