Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAKUNA ADHABUNYINGINE ZAIDI YA KUMKATALIA FARAGHA?- 2

Uhali gani msomaji wangu? Bila shaka kwa uwezo wa Mungu uko poa na unaendelea vizuri na majukumu yako ya kila siku. Ni Ijumaa nyingine tunapokutana kwenye uwanja wetu huu mzuri.Wiki iliyopita tulianza kujadili mada ya baadhi ya wanawake kuwanyima tendo la ndoa waume zao kila wanapowaudhi. Nikushukuru wewe msomaji wangu uliyetuma ujumbe mfupi wa maandishi kuelezea mtazamo wako. Kimsingi nimejifunza kitu kwamba kumbe tatizo ni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HAKUNA ADHABU NYINGINE ZAIDI YA KUMKATALIA FARAGHA?

Nisiku nyingine nzuri ya Ijumaa tunapokutana kwenye zulia zuri la mahaba, tukijuzana, kubadilishana mawazo na kuelimishana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Ni matumaini yangu kwamba kwa uwezo wa Mungu uko poa kabisa, leo nataka tujadiliane kuhusu mada hii nyeti na muhimu kama inavyojieleza; hakuna adhabu nyingine ya kumpa mwenzi wako anapokukosea zaidi ya kumkatalia kuwa naye faragha? Nimesukumwa kuandika mada hii...

 

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA ADHABU NYINGINE ZAIDI YA KUMKATALIA FARAGHA?- 2

Uhali gani msomaji wangu? Bila shaka kwa uwezo wa Mungu uko poa na unaendelea vizuri na majukumu yako ya kila siku. Ni Ijumaa nyingine tunapokutana kwenye uwanja wetu huu mzuri.Wiki iliyopita tulianza kujadili mada ya baadhi ya wanawake kuwanyima tendo la ndoa waume zao kila wanapowaudhi.

Nikushukuru wewe msomaji wangu uliyetuma ujumbe mfupi wa maandishi kuelezea mtazamo wako. Kimsingi nimejifunza kitu kwamba kumbe tatizo ni kubwa kuliko hata nilivyokuwa nafikiri.

WENGI WANATESEKA
Wanaume wengi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo ya Ndani: Wafungwa hakuna faragha

Wizara ya Mambo ya Ndani imeendeleza msimamo wake kuwa, Tanzania bado haina sheria ya kuwaruhusu wafungwa gerezani kukutana faragha na wenza wao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamwaga: Hakuna fundi zaidi Simba

KATIBU Mkuu wa Klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga, amesema hakuna nyota tegemeo zaidi ya wengine katika kikosi na ndiyo maana katika safari ya Bukoba waliwaacha baadhi yao na kuondoka nao...

 

9 years ago

Bongo5

Bongo Movies: Hakuna story nyingine zaidi ya mapenzi na ushirikina?

Kama wewe ni mtazamaji wa filamu za hapa Bongo utagundua filamu hizi nyingi ni za mapenzi na uchawi. Nikisema nyingi, inamaanisha asilimia kubwa ya filamu za Bongo zimekaa huko na maeneo mengine yakiwa yamezorota au kusahaulika kabisa. Haina Shida kuwa nazo hizo nyingi lakini mbona kuna ufanano fulani wa story? Inawezaka  nimeangalia vibaya au kuna […]

 

9 years ago

Bongo5

Hakuna mtoto wa staa mwenye mvuto zaidi ya Tanzanite — H.Baba

H.Baba amejigamba kwa kusema kuwa hakuna staa wa Tanzania mwenye mtoto mwenye mvuto kumzidi mwanae Tanzanite!!!!??? H.Baba ameiambia Bongo5 kuwa tayari mtoto wake huyo amepata tangazo la kimataifa nchini Kenya. “Mwezi ujao mama yake ana safari naye kwenda Kenya kufanya tangazo,” amesema muimbaji huyo. “Sema tunashindwa kuweka wazi mambo yetu kwa sasabu kuwa watu wanapiga […]

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AWAELEZA WAKAZI WA MAGU HAKUNA MTU MAARUFU ZAIDI YA CCM

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kujaza maji kwenye madumu mara baada ya kutembelea mradi wa kusambaza maji Magu mjini,Pichani kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa Mulongo.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Vijana wa Boda Boda Magu mjini wakati wa uzinduzi wa shina la Wajasiriamali la waendesha Boda Boda wa UVCCM Magu Mjini,Katibu Mkuu wa CCM aliwapongeza vijana hao kwa uamuzi wa kuanzisha umoja wao na kuwataka kufanya kazi kwa bidii...

 

9 years ago

Bongo5

Hakuna msanii Bongo anayefanya show nyingi zaidi yangu — Christian Bella

Mfalme wa masauti, Christian Bella aka Obama amejigamba kuwa hakuna msanii hapa Tanzania anayefanya show nyingi kuliko yeye. Bella ameiambia Bongo5 kuwa kama akiamua kufuata mahitaji ya watu wanaomwitaji hawezi kupata muda wa kupunzika. “Unajua nyimbo zangu zimefanya watu wanihitaji sana,” amesema muimbaji huyo. “Hakuna msanii anayefanya show nyingi hapa Bongo kunizidi mimi. Yaani napigiwa […]

 

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA SHULE, KAZI WALA NDEGE KURUKA NEW YORK ZAIDI YA NDEGE 6,000 CANCELS HADI JUMATANO

Hapa ni Times Square New York kimya kabisa wakati siyo kawaida yake tishio la barafu
inayoendelea kushuka kama imeagizwa vile yasababisha shule kufungwa hadi jumatano kazi na usafiri wa chini na anga stop kwa siku mbili.
New York ni nyumbani kwa vikwangua anga lakini kama unavyoona ni ukungu mzito na barafu ikinyesha. Dada akiwahi nyumbani kabla akujawa kubaya zaidi watu wameambiwa kukaa ndani na kuchoma mahindi nje ni shida
Hapa ni Penn station Kituo kikubwa cha train za kuelekea nje ya New...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani