Kamwaga: Hakuna fundi zaidi Simba
KATIBU Mkuu wa Klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga, amesema hakuna nyota tegemeo zaidi ya wengine katika kikosi na ndiyo maana katika safari ya Bukoba waliwaacha baadhi yao na kuondoka nao...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Kamwaga akimbia ofisi za Simba
Fukuto la uchaguzi linaloendelea ndani ya klabu ya Simba limemfanya Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Ezekiel Kamwaga kuiona ofisi yake chungu kama shubiri.
Kamwaga hajaingia ofisini kwa muda wa wiki moja sasa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf1bPR6qUl1fTu*ZvhkWMvtR8w0jQ5bMWsLB8JnAA5rtJPm0ywFAVlpRfYNYsfVUCtHUQGOW4rZuXWWYfFnAPLjl/1EzekielKamwaga.jpg?width=650)
KAMWAGA, MUHAJI WALA SHAVU SIMBA SC
Katibu Mkuu mpya wa Simba, Ezekiel Kamwaga. ALIYEKUWA Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa timu hiyo akichukua nafasi ya Evodius Mtawala aliyeajiriwa TFF akiwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanachama na Sheria. Simba imemteua pia Mwandishi Mkongwe wa habari za michezo, Asha Muhaji kuwa Ofisa Habari mpya wa klabu hiyo. ...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Kamwaga aahidi uwanja Simba baada ya siku 100
>Katibu Mkuu wa Simba, Ezekiel Kamwaga, amejitwisha zigo baada ya kutamka kwamba atahahakikisha timu yake inapata uwanja wa kufanyia mazoezi ndani ya siku 100.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2TyBv*ws2OH8avPL6NNbQh6BBGwMA2ZGSN3yOHKiV2MJeXUakptNUPWw3LENosEM12DaQ0XfhmzKOleNGoWIfHN/Love.jpg)
HAKUNA ADHABUNYINGINE ZAIDI YA KUMKATALIA FARAGHA?- 2
Uhali gani msomaji wangu? Bila shaka kwa uwezo wa Mungu uko poa na unaendelea vizuri na majukumu yako ya kila siku. Ni Ijumaa nyingine tunapokutana kwenye uwanja wetu huu mzuri.Wiki iliyopita tulianza kujadili mada ya baadhi ya wanawake kuwanyima tendo la ndoa waume zao kila wanapowaudhi. Nikushukuru wewe msomaji wangu uliyetuma ujumbe mfupi wa maandishi kuelezea mtazamo wako. Kimsingi nimejifunza kitu kwamba kumbe tatizo ni...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s72-c/Simba-vs-Yanga-pic.png)
YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s640/Simba-vs-Yanga-pic.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DeYbG7ZOSR2JCcrW4C9pwUEqdSTY244LLsxcxrb0*4xqlrA1FjDj-tSQmyGc02x-rLB5kpRbUMssrCa1gWHzJFq/Love.jpg)
HAKUNA ADHABU NYINGINE ZAIDI YA KUMKATALIA FARAGHA?
Nisiku nyingine nzuri ya Ijumaa tunapokutana kwenye zulia zuri la mahaba, tukijuzana, kubadilishana mawazo na kuelimishana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Ni matumaini yangu kwamba kwa uwezo wa Mungu uko poa kabisa, leo nataka tujadiliane kuhusu mada hii nyeti na muhimu kama inavyojieleza; hakuna adhabu nyingine ya kumpa mwenzi wako anapokukosea zaidi ya kumkatalia kuwa naye faragha? Nimesukumwa kuandika mada hii...
10 years ago
Vijimambo23 Jan
HAKUNA ADHABU NYINGINE ZAIDI YA KUMKATALIA FARAGHA?- 2
![](http://api.ning.com/files/V7mcip*tK2SoXJgVKgAcpCyTtuPWNsISNJZxy2yDiXR5kTrh-8bOTrWISDEhJs-kDFGS5c70jR94CWr7YpvqprukpRHLXSL0/how_to_deal_with_a_bad_break_up.jpg?width=650)
Nikushukuru wewe msomaji wangu uliyetuma ujumbe mfupi wa maandishi kuelezea mtazamo wako. Kimsingi nimejifunza kitu kwamba kumbe tatizo ni kubwa kuliko hata nilivyokuwa nafikiri.
WENGI WANATESEKA
Wanaume wengi...
10 years ago
Mwananchi08 Dec
‘Simba, Yanga hakuna jipya’
Wakati homa ya pambano la Nani Mtani Jembe baina ya Yanga na Simba ikizidi kupamba moto, baadhi ya makocha nchini wamegoma kuzungumzia mechi hiyo kwa madai kuwa miamba hiyo ya soka nchini haina jipya.
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Kerr: Hakuna Staa Simba
Kocha wa Simba, Dylan Kerr ametamba kuwa hakuna mchezaji staa ndani ya kikosi chake na hatosita kumweka benchi au kumtimua kabisa mchezaji yeyote ambaye hatofuata kile alichoelekezwa na benchi la ufundi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania