KINANA AWAELEZA WAKAZI WA MAGU HAKUNA MTU MAARUFU ZAIDI YA CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-9FHUkKOOVas/VY1-KYLIF_I/AAAAAAAAfyM/Jv2ePmNpGv4/s72-c/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kujaza maji kwenye madumu mara baada ya kutembelea mradi wa kusambaza maji Magu mjini,Pichani kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa Mulongo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Vijana wa Boda Boda Magu mjini wakati wa uzinduzi wa shina la Wajasiriamali la waendesha Boda Boda wa UVCCM Magu Mjini,Katibu Mkuu wa CCM aliwapongeza vijana hao kwa uamuzi wa kuanzisha umoja wao na kuwataka kufanya kazi kwa bidii...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
Komredi Kinana asababisha wapinzani lukuki kuhamia CCM Magu
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipokea kadi za vyma vya upinzani kutoka kwa watu waliovihama vyama hivyo na kujiunga na CCM, katika mkutano wa hadhara akatika Mji wa Kisesa, wilayani Magu, mkoani Mwanza leo,wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.Kushoto ni Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Miraji Mtaturu. Zaidi ya wapinzani 50 walijiunga papo hapo.
Katibu Mkuu wa CCM,...
10 years ago
GPLKOMREDI KINANA ASABABISHA WAPINZANI LUKUKI KUHAMIA CCM MAGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W2rH3lodSiBhNIDAnIx3K49wIQOX1D1tZgAlYkC-Jsqj8nVr4GoRuVOvdeOuBKLWvEh1l3aQX6Niydh1NSZGeF8/LIMbu.jpg?width=650)
MAGU: INAPAKANA NA ZIWA VICTORIA LAKINI MAJI HAKUNA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2OO6O520aAc/Uz3QChmlnOI/AAAAAAACeC4/p13zXLk8jsY/s72-c/21.jpg)
WAKAZI WA SUMBAWANGA VIJIJIJINI WAVUTIWA NA UTENDAJI KAZI WA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-2OO6O520aAc/Uz3QChmlnOI/AAAAAAACeC4/p13zXLk8jsY/s1600/21.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ulwtZ2ml4MM/Uz3P-yWXYgI/AAAAAAACeCk/8Ps53dZxIOw/s1600/19.jpg)
9 years ago
StarTV02 Sep
Wakazi Magu waombwa kuchagua viongozi watakao tatua changamoto ya maji.
Wakazi wa Magu mkoani Mwanza wameelezwa kuwa njia pekee ya kutatua matatizo ya kijamii ikiwemo ukosefu wa maji katika jimbo hilo ni kuchagua viongozi wanaokerwa na matatizo yanayoikumba jamii nzima na sio tatizo la mtu mmojammoja.
Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza Miraji Mtaturu amesema jimbo la Magu linakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo tatizo la maji ambalo linahitaji ufumbuzi wa haraka pamoja na changamoto mbalimbali zinazo ikabili jamii..
Katika ufunguzi wa kampeni katika jimbo la Magu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kACAq4_o9tc/VKq9jegC9-I/AAAAAAAAVSo/NYpz3w1-qaw/s72-c/26.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASHUKURU WAKAZI WA TANGA KWA KUFANYA VYEMA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kACAq4_o9tc/VKq9jegC9-I/AAAAAAAAVSo/NYpz3w1-qaw/s1600/26.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wq6Ei-z0cnI/VKrBrRJu6ZI/AAAAAAAG7iQ/S4CNOzGyaL8/s1600/10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0FdqA3e87og/VKrByYEUoeI/AAAAAAAG7is/ZKg312JSdis/s1600/14.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4S4DUD84Vb7rWRWLUl-HndoPjP-Ndgjgny6ECYqT52DbJ*RQ7c7s2bD6PieNzA32a847PUN-8G0bCpxW7ln7llGFzAQDuI3R/bill.jpg?width=650)
MBINU ZA KUWA MTU MAARUFU KATIKA JAMII-4
9 years ago
Bongo Movies14 Aug
Shamsa Ford: Natamani Kuolewa na Mtu Ambaye Si Maarufu
Muigizaji wa filamu za Bongo, Shamsa Ford ameweka wazi hisia zake za kutaka kuingia kwenye ndoa.
Shamsa ambaye kwa miezi kadhaa iliyopita amekuwa akikanusha kuwa na uhusiano na Nay Wa Mitego licha ya kuwepo kwa dalili nyingi zinazoashiria kuwa ni wapenzi, amesema sasa umefika muda anatamani kuolewa.
Muigizaji huyo wa ‘Chausiku’ ambaye ni mama wa mtoto mmoja, ameongeza kuwa licha ya kutamani kuwa mke wa mtu lakini nafasi hiyo hawezi kumpa mtu maarufu, kwa lugha nyingine hawezi kuolewa na...