Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBINU ZA KUWA MTU MAARUFU KATIKA JAMII-4

Tajiri William Henry "Bill" Gates III. Mpenzi msomaji wangu, wiki ya nne ya darasa zuri inamalizika leo, kwa kuangali baadhi ya vipengele muhimu vinavyoweza kusaidia mtu kuwa na umaarufu kwenye jamii. Soma kwa umakini mkubwa kuanzia pale tulipoishia wiki iliyopita. Wachagulie watu kitu kitakachokunufaisha
Ulaghai mzuri zaidi ni ule unaoonekana kuwapa watu wengine chaguo la jambo la kufanya.  Maadui zako watahisi wako huru...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

REDIO ZA JAMII NCHINI ZIMETAKIWA KUWA MAKINI NA UANDAAJI WA VIPINDI PAMOJA NA HABARI, KATIKA KUEPUSHA UIBUAJI WA MIGOGORO KATIKA JAMII ZINAZOWAZUNGUKA‏

Mwezeshaji wa warsha hiyo ambaye pia ni Mkufunzi wa Redio za Jamii kutoka Unesco, Mama Rose Haji Mwalimu, akitoa utambulisho kwa waendesha warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kutoka Shirika la Search for Common Grounds (SFCG), yanayoendelea mjini Dodoma. Meneja Mradi wa SFCG wilaya ya Tarime, Bwana Jacob Mulikuza, akielezea maudhui ya warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kwa washiriki ambao ni waandishi...

 

10 years ago

Mwananchi

Tabia inaweza kumjengea mtu uwezo wa kuaminiwa katika jamii anayoishi

Watu wengi bado hawajajua nini maana ya uaminifu. Wengi wetu tunadhani kwamba kupeleka fedha ulizoombwa kuzifikisha ni uaminifu, lakini siyo kumfikisha salama mke wa mtu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Inawezekana kuwa na thamani katika jamii

KATIKA maisha, vijana wengi tunatamani kuwa na kiu ya mafanikio au  kuleta mabadiliko pale tulipo. Lakini ni wachache ambao wameweza kufanikisha malengo yao na kuleta mabadiliko chanya katika jamii. Japokuwa...

 

10 years ago

Michuzi

Jamii yatakiwa kuwa na nidhamu na usimamizi mzuri katika shughuli za kujiletea maendelo

Jamii imetakiwa kuwa na nidhamu ikiwa ni pamoja na kuwa na usimamizi mzuri katika shughuli za kujiletea maendelo.
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo kwa wajasiriamali vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bw. Manfred Hyera amesema chanzo cha mafanikio katika ujasiriamali nikuwa na nidhamu kwa jamii inayowazunguka kwani kwa kufanya hivyo kutawawezesha kuwaongezea kipato.
Bw.Hyera amesema kitendo cha baadhi ya wajasiriamali kutumia lugha chafu...

 

9 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford: Natamani Kuolewa na Mtu Ambaye Si Maarufu

Muigizaji wa filamu za Bongo, Shamsa Ford ameweka wazi hisia zake za kutaka kuingia kwenye ndoa.

Shamsa ambaye kwa miezi kadhaa iliyopita amekuwa akikanusha kuwa na uhusiano na Nay Wa Mitego licha ya kuwepo kwa dalili nyingi zinazoashiria kuwa ni wapenzi, amesema sasa umefika muda anatamani kuolewa.

Muigizaji huyo wa ‘Chausiku’ ambaye ni mama wa mtoto mmoja, ameongeza kuwa licha ya kutamani kuwa mke wa mtu lakini nafasi hiyo hawezi kumpa mtu maarufu, kwa lugha nyingine hawezi kuolewa na...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AWAELEZA WAKAZI WA MAGU HAKUNA MTU MAARUFU ZAIDI YA CCM

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kujaza maji kwenye madumu mara baada ya kutembelea mradi wa kusambaza maji Magu mjini,Pichani kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa Mulongo.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Vijana wa Boda Boda Magu mjini wakati wa uzinduzi wa shina la Wajasiriamali la waendesha Boda Boda wa UVCCM Magu Mjini,Katibu Mkuu wa CCM aliwapongeza vijana hao kwa uamuzi wa kuanzisha umoja wao na kuwataka kufanya kazi kwa bidii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani