Jamii yatakiwa kuwa na nidhamu na usimamizi mzuri katika shughuli za kujiletea maendelo
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ffs4QgV-gWc/VVrtD_RDUcI/AAAAAAAHYL8/qY7kgShK6QU/s72-c/TUND%2B1.jpg)
Jamii imetakiwa kuwa na nidhamu ikiwa ni pamoja na kuwa na usimamizi mzuri katika shughuli za kujiletea maendelo.
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo kwa wajasiriamali vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bw. Manfred Hyera amesema chanzo cha mafanikio katika ujasiriamali nikuwa na nidhamu kwa jamii inayowazunguka kwani kwa kufanya hivyo kutawawezesha kuwaongezea kipato.
Bw.Hyera amesema kitendo cha baadhi ya wajasiriamali kutumia lugha chafu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog13 May
Semina ya uhabarisho wa shughuli za mamlaka ya usimamizi wa sekta ya hifadhi ya jamii katika picha.
Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi,akifungua semina ya uhabarisho juu ya shughuli za mamlaka ya usimamizi na uthibiti wa sekta ya hifadhi ya jamii (SSRA).wa kwanza kushoto ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassani. na kulia ni mjumbe wa menejimenti na mkuu wa ununuzi wa SSRA,Emmanuel Urembo.
Mjumbe wa menejimenti na ununuzi wa mamlaka ya usimamizi na uthibiti wa sekta ya hifadhi ya jamii (SSRA),Emmanuel Urembo akitoa mada yake ya uhabarisho juu wa SSRA kwa wadau wa mkoa wa Singida...
11 years ago
Michuzi03 Mar
SSRA YAPONGEZWA KWA USIMAMIZI MZURI WA SEKTA YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII NCHINI
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0851.jpg)
REDIO ZA JAMII NCHINI ZIMETAKIWA KUWA MAKINI NA UANDAAJI WA VIPINDI PAMOJA NA HABARI, KATIKA KUEPUSHA UIBUAJI WA MIGOGORO KATIKA JAMII ZINAZOWAZUNGUKA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3yT1PeYSyWA/XvXgcB0jf5I/AAAAAAALvg4/16UXGgFd-0wIxAtcs8adE8Xse7Vc5ppAwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-4.jpg)
Jamii yatakiwa Kuwa na Utamaduni wa Kusoma Vitabu ili kuongeza Maarifa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3yT1PeYSyWA/XvXgcB0jf5I/AAAAAAALvg4/16UXGgFd-0wIxAtcs8adE8Xse7Vc5ppAwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-4.jpg)
Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt.Emmanuel Temu akizungumza kwa niaba ya Mhe Dkt. Harrison Mwakyembe Waziri wa Wizara hiyo katika hafla ya uzinduzi wa Kitabu kinachoitwa “Rais Magufuli na Serikali yake walivyobomoa Hekalu na kulijenga upya”kilichoandikwa na Mw.Projestus Vedasto Kabagambe uliofanyika jana Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PIX-2-3.jpg)
11 years ago
Michuzi10 Feb
UMOJA WA MATAIFA WASISITIZA UMUHIMU WA KUWA NA UTAMADUNI MZURI WA KUENZI WANAWAKE WANAOLETA MABADILIKO KWENYE JAMII
![DSC_0017](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0017.jpg)
Shirika la Ufaransa la Alliance Francaise de Dar es Salaam liliandaa safari ya maonyesho iliyopewa jina “women in Resistance by the talented French photo-journalist...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0017.jpg)
UMOJA WA MATAIFA WASISITIZA UMUHIMU WA KUWA NA UTAMADUNI MZURI WA KUENZI WANAWAKE WANAOLETA MABADILIKO KWENYE JAMII
9 years ago
MichuziUDHAIFU WA USIMAMIZI WA MIRADI MBALIMBALI NI CHANGAMOTO KATIKA KULETA KASI YA MAENDELEO NDANI YA JAMII
Katika sekta ya elimu, ongezeko kubwa la shule kuanzia ngazi ya awali hadi chuo kikuu limeshuhudiwa. Hii ni moja ya hatua kubwa kuwahi kufikiwa...
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAENDELO YA JAMII PINDI CHANA APOKELEWA KWA KISHINDO WILAYANI RUDEWA.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10