UMOJA WA MATAIFA WASISITIZA UMUHIMU WA KUWA NA UTAMADUNI MZURI WA KUENZI WANAWAKE WANAOLETA MABADILIKO KWENYE JAMII
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0017.jpg)
Picha juu na chini ni Mwandishi wa habari na mpiga picha kutoka Ufaransa, Pierre-Yves Ginet akizungumza na wanafunzi wa shule za sekondari mbalimbali za jijini Dar es Salaam na kuwaonyesha picha na kuwapa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ambayo wakinamama wamekuwa wakifanya kwa mustakabali kwa kuleta usawa na haki za wanawake duniani.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi10 Feb
UMOJA WA MATAIFA WASISITIZA UMUHIMU WA KUWA NA UTAMADUNI MZURI WA KUENZI WANAWAKE WANAOLETA MABADILIKO KWENYE JAMII
![DSC_0017](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0017.jpg)
Shirika la Ufaransa la Alliance Francaise de Dar es Salaam liliandaa safari ya maonyesho iliyopewa jina “women in Resistance by the talented French photo-journalist...
9 years ago
Habarileo02 Dec
Pinda aitaka jamii kuenzi utamaduni
KITUO cha Utamaduni wa China kimefunguliwa nchini huku Watanzania wakitakiwa kudumisha utamaduni wao ili uwe na manufaa kwa vizazi vijavyo. Akizindua kituo hicho jana Dar es Salaam, Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (pichani) alisema utamaduni ni kitu muhimu sana kwa Watanzania hivyo ni vyema kuudumisha na kuendeleza ili Taifa liwe na nembo muhimu kwa upande wa utamaduni.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWeTAEf8NCJfSwYfMdf5H1k1cb3bkCJRvdK2xyz0sidyWokEqqCeidjGd6LMiyLUwI7s4dORHH-vUnTCbZkqcaDx/jk3.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AREJEA NCHINI KUTOKA MAREKANI KWENYE MKUTANO WA 69 WA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_01781.jpg)
UMOJA WA MATAIFA WAIBUKA KIDEDEA KATIKA UHABARISHAJI NA UTOAJI ELIMU KWENYE TUZO ZA MAONYESHO YA 39 YA SABASABA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ffs4QgV-gWc/VVrtD_RDUcI/AAAAAAAHYL8/qY7kgShK6QU/s72-c/TUND%2B1.jpg)
Jamii yatakiwa kuwa na nidhamu na usimamizi mzuri katika shughuli za kujiletea maendelo
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo kwa wajasiriamali vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bw. Manfred Hyera amesema chanzo cha mafanikio katika ujasiriamali nikuwa na nidhamu kwa jamii inayowazunguka kwani kwa kufanya hivyo kutawawezesha kuwaongezea kipato.
Bw.Hyera amesema kitendo cha baadhi ya wajasiriamali kutumia lugha chafu...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tOA0NzDXlTA/UxjoZ1ZKDUI/AAAAAAAFRmA/eUrb2P2Fr60/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Umoja wa Mataifa wainua wanawake Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-tOA0NzDXlTA/UxjoZ1ZKDUI/AAAAAAAFRmA/eUrb2P2Fr60/s1600/unnamed+(10).jpg)
Dunia ikiwa inaelekea kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Umoja wa Mataifa uko mstari wa mbele kuwawezesha wanawake katika maeneo mbalimbali ikiwamo afya ya uzazi, mazingira na hata kuwajengea uwezo wa kujiamini.
Nchini Tanzania Umoja huo kupitia chama cha umoja wa Mataifa cha vijana YUNA umejikita katika kutoa elimu na miongonimwa walionufaika ni Chantal Mwango'nda ambaye amemweleza Joseph Msami wa idhaa hii katika mahojino maalum nmna YUNA ilivyomjengea...
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Tamko la asasi za kiraia kuhusu Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya tabianchi utakaofanyika New York
Asasi Nne zisizo za kiserikali zinazojishughulisha na kupambana na mabadiliko ya tabianchi nchini ForumCC, CAN, YouthCAN na Oxfam Tanzania zimetoa tamko la pamoja kuhusiana na Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika huko New York-Marekani tarehe 23/09/2014.
Katika tamko hilo ambalo pia limewasilishwa kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira, Dr. Eng. Binilith Mahenge, mambo matano yamependekezwa kuzingatiwa wakati wa mkutano huo ambao Rais wa...
10 years ago
MichuziTamko la asasi za kiraia kuhusu Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika huko New York-Marekani Septemba 23
Katika tamko hilo ambalo pia limewasilishwa kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira, Dr. Eng. Binilith Mahenge, mambo matano yamependekezwa kuzingatiwa wakati wa mkutano huo ambao Rais wa...
10 years ago
MichuziAsasi za kiraia zafanya matembezi huru kusisitizia tamko lao juu ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi
Maandamano hayo yamewahusisha pia wanafunzi wa shule za sekondari za Jitegemee, Kinyamwezi, Ilala, Chanika na Maji ya...