Inawezekana kuwa na thamani katika jamii
KATIKA maisha, vijana wengi tunatamani kuwa na kiu ya mafanikio au kuleta mabadiliko pale tulipo. Lakini ni wachache ambao wameweza kufanikisha malengo yao na kuleta mabadiliko chanya katika jamii. Japokuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0851.jpg)
REDIO ZA JAMII NCHINI ZIMETAKIWA KUWA MAKINI NA UANDAAJI WA VIPINDI PAMOJA NA HABARI, KATIKA KUEPUSHA UIBUAJI WA MIGOGORO KATIKA JAMII ZINAZOWAZUNGUKA
Mwezeshaji wa warsha hiyo ambaye pia ni Mkufunzi wa Redio za Jamii kutoka Unesco, Mama Rose Haji Mwalimu, akitoa utambulisho kwa waendesha warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kutoka Shirika la Search for Common Grounds (SFCG), yanayoendelea mjini Dodoma. Meneja Mradi wa SFCG wilaya ya Tarime, Bwana Jacob Mulikuza, akielezea maudhui ya warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kwa washiriki ambao ni waandishi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4S4DUD84Vb7rWRWLUl-HndoPjP-Ndgjgny6ECYqT52DbJ*RQ7c7s2bD6PieNzA32a847PUN-8G0bCpxW7ln7llGFzAQDuI3R/bill.jpg?width=650)
MBINU ZA KUWA MTU MAARUFU KATIKA JAMII-4
Tajiri William Henry "Bill" Gates III. Mpenzi msomaji wangu, wiki ya nne ya darasa zuri inamalizika leo, kwa kuangali baadhi ya vipengele muhimu vinavyoweza kusaidia mtu kuwa na umaarufu kwenye jamii. Soma kwa umakini mkubwa kuanzia pale tulipoishia wiki iliyopita. Wachagulie watu kitu kitakachokunufaisha
Ulaghai mzuri zaidi ni ule unaoonekana kuwapa watu wengine chaguo la jambo la kufanya. Maadui zako watahisi wako huru...
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Je inawezekana kuwa na kiswahili sanifu?
Changamoto za kuwa na kiswahili sanifu .Je Inawezekana kuwa na kiswahili sanifu kwa mataifa yote ya Afrika mashariki?
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ffs4QgV-gWc/VVrtD_RDUcI/AAAAAAAHYL8/qY7kgShK6QU/s72-c/TUND%2B1.jpg)
Jamii yatakiwa kuwa na nidhamu na usimamizi mzuri katika shughuli za kujiletea maendelo
Jamii imetakiwa kuwa na nidhamu ikiwa ni pamoja na kuwa na usimamizi mzuri katika shughuli za kujiletea maendelo.
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo kwa wajasiriamali vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bw. Manfred Hyera amesema chanzo cha mafanikio katika ujasiriamali nikuwa na nidhamu kwa jamii inayowazunguka kwani kwa kufanya hivyo kutawawezesha kuwaongezea kipato.
Bw.Hyera amesema kitendo cha baadhi ya wajasiriamali kutumia lugha chafu...
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo kwa wajasiriamali vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bw. Manfred Hyera amesema chanzo cha mafanikio katika ujasiriamali nikuwa na nidhamu kwa jamii inayowazunguka kwani kwa kufanya hivyo kutawawezesha kuwaongezea kipato.
Bw.Hyera amesema kitendo cha baadhi ya wajasiriamali kutumia lugha chafu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6X5qd6HDmDg/Xo4vJVwxyMI/AAAAAAAEGqE/K9YDhnPXiNQlIVD5qOKG8vEkigOlCoJbQCLcBGAsYHQ/s72-c/70ea1231-6985-4c09-801d-e73b458da653.jpg)
Katikati ya janga la COVID-19, Dunia imejifunza kuwa inawezekana kutuajiri bila kututoa nyumbani
![](https://1.bp.blogspot.com/-6X5qd6HDmDg/Xo4vJVwxyMI/AAAAAAAEGqE/K9YDhnPXiNQlIVD5qOKG8vEkigOlCoJbQCLcBGAsYHQ/s400/70ea1231-6985-4c09-801d-e73b458da653.jpg)
Kwa tathmini yangu ya haraka, kwa sasa takribani 80% ya rafiki zangu katika "corporate world" wanafanyia kazi nyumbani. Miaka michache iliyopita hata kabla ya COVID-19 takwimu za New York Times zilikuwa zinaonyesha kwamba idadi ya watu wanaofanya kazi zao nje ya ofisi (nyumbani, katika migahawa nk) kwa lugha ya kitaalam "remote workers" ilikuwa ni 3% tu. Lakini idadi hiyo ilikuwa imekuwa kwa ongezeko la 80%. Sina takwimu za sasa baada ya janga la COVID-19 lakini...
11 years ago
Michuzi13 Feb
WAANDISHI WA HABARI WA REDIO ZA JAMII WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA TAALUMA KATIKA KUITUMIKIA JAMII
![DSC_0046](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0046.jpg)
![DSC_0012](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_00121.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0046.jpg)
WAANDISHI WA HABARI WA REDIO ZA JAMII WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA TAALUMA KATIKA KUITUMIKIA JAMII
Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) Bi. Usia Nkhoma Ledama, akitoa mafunzo ya maadili na jinsia kwa waandishi wa habari na watangazaji wa Redio za Jamii nchini yanayolenga kuwajengea uwezo katika utendaji wa kazi zao kwenye vituo vyao.Mafunzo hayo ya siku tano yamefadhiliwa na Shirika la UNESCO kupitia mradi wa Demokrasia na Amani kuelekea uchaguzi 2015. Mkufunzi wa Redio za Jamii kutoka Unesco Mama...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Ifanye ndoa yako kuwa ya thamani
HABARI msomaji wa safu ya Urafiki na Mahusiano inayokujia kila Jumamosi. Matumaini yangu umzima. Nami nakukaribisha ili tuweze kwenda sambamba katika suala la maisha ya ndoa. Kila ndoa ina muda...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania