Mambo ya Ndani: Wafungwa hakuna faragha
Wizara ya Mambo ya Ndani imeendeleza msimamo wake kuwa, Tanzania bado haina sheria ya kuwaruhusu wafungwa gerezani kukutana faragha na wenza wao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fDyOt12On5Y/U6dKTNkm56I/AAAAAAAFsVg/1-Ddsi_Ddno/s72-c/image_3.jpeg)
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AZINDUA "MAGEREZA DUTY FREE SHOP" PAMOJA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZA MABAKULI YA WAFUNGWA GEREZA UKONGA, JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-fDyOt12On5Y/U6dKTNkm56I/AAAAAAAFsVg/1-Ddsi_Ddno/s1600/image_3.jpeg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2TyBv*ws2OH8avPL6NNbQh6BBGwMA2ZGSN3yOHKiV2MJeXUakptNUPWw3LENosEM12DaQ0XfhmzKOleNGoWIfHN/Love.jpg)
HAKUNA ADHABUNYINGINE ZAIDI YA KUMKATALIA FARAGHA?- 2
Uhali gani msomaji wangu? Bila shaka kwa uwezo wa Mungu uko poa na unaendelea vizuri na majukumu yako ya kila siku. Ni Ijumaa nyingine tunapokutana kwenye uwanja wetu huu mzuri.Wiki iliyopita tulianza kujadili mada ya baadhi ya wanawake kuwanyima tendo la ndoa waume zao kila wanapowaudhi. Nikushukuru wewe msomaji wangu uliyetuma ujumbe mfupi wa maandishi kuelezea mtazamo wako. Kimsingi nimejifunza kitu kwamba kumbe tatizo ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DeYbG7ZOSR2JCcrW4C9pwUEqdSTY244LLsxcxrb0*4xqlrA1FjDj-tSQmyGc02x-rLB5kpRbUMssrCa1gWHzJFq/Love.jpg)
HAKUNA ADHABU NYINGINE ZAIDI YA KUMKATALIA FARAGHA?
Nisiku nyingine nzuri ya Ijumaa tunapokutana kwenye zulia zuri la mahaba, tukijuzana, kubadilishana mawazo na kuelimishana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Ni matumaini yangu kwamba kwa uwezo wa Mungu uko poa kabisa, leo nataka tujadiliane kuhusu mada hii nyeti na muhimu kama inavyojieleza; hakuna adhabu nyingine ya kumpa mwenzi wako anapokukosea zaidi ya kumkatalia kuwa naye faragha? Nimesukumwa kuandika mada hii...
10 years ago
Vijimambo23 Jan
HAKUNA ADHABU NYINGINE ZAIDI YA KUMKATALIA FARAGHA?- 2
![](http://api.ning.com/files/V7mcip*tK2SoXJgVKgAcpCyTtuPWNsISNJZxy2yDiXR5kTrh-8bOTrWISDEhJs-kDFGS5c70jR94CWr7YpvqprukpRHLXSL0/how_to_deal_with_a_bad_break_up.jpg?width=650)
Nikushukuru wewe msomaji wangu uliyetuma ujumbe mfupi wa maandishi kuelezea mtazamo wako. Kimsingi nimejifunza kitu kwamba kumbe tatizo ni kubwa kuliko hata nilivyokuwa nafikiri.
WENGI WANATESEKA
Wanaume wengi...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MAMBO YA NDANI AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
10 years ago
Michuzikatibu mkuu wizara ya mambo ya ndani awatembelea wajumbe wa kikao kazi cha mambo ya ndani mjini morogoro
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Relationships-Happy-Couple-1.jpg?width=650)
MAMBO YANAYOFURAHISHA FARAGHA
ASANTE Mwenyezi Mungu kwa Jumatatu hii murua. Baada ya vuta nikuvute ya uchaguzi mkuu, hatimaye jana Watanzania tumetumia haki yetu ya kimsingi na kikatiba kumchagua kiongozi tumtakaye atakayeiongoza Tanzania kwa awamu ya tano. Tukiachana na siasa, tunakutana tena katika kilinge chetu hiki kama ilivyo ada, bado tunaendelea kujifunza namna mbalimbali ya kufanya tunapokuwa faragha na wenza wetu. Kwa kifupi mada hii ya faragha...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TOO9OoVIDNtvJY7S-ktkrPBxSc5TuG-8Tt7r7V5OjQn*UGHWhU5No3JfjHEFGrkh1DwNyK6raet0X0VLMA8gOG9/042514HealthHappyCouplesCuddleatNight.jpg)
MAMBO YANAYOFURAHISHA FARAGHA-2
KWANZA nianze kwa kuwashukuru wafuasi na wasio wafuasi wa vyama vya siasa nchini kwa kumaliza uchaguzi mkuu kwa amani. Kwa uchaguzi huu nimejifunza kitu kuwa kumbe Watanzania tunu yetu kubwa tuliyojaliwa na Mungu ni amani, amani ndiyo imenifanya leo uweze kusoma mada hii ya mambo yanayofaa faragha Wiki iliyopita tulizungumzia kipengele kimoja cha sauti za kubembeleza leo nitaendelea na mambo mengine mazuri mnapokuwa faragha;...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania