Costa apigwa marufuku ya mechi tatu
Mchezaji wa Chelsea Diego Costa amepigwa marufuku ya mechi tatu kwa kumkanyaga makusudi mchezaji wa Liverpool Emre Can.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Jun
Neymar apigwa marufuku ya mechi nne
Mshambuliaji wa Brazil Neymar atakosa michuano yote ya kombe la Copa America baada ya kupigwa marufuku ya mechi nne.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqapTh0JLcS0VJN0hpn502Av-2Qz23ylV*3XdYspj6MHr-DJfJr1r11sP8JEqykgVSNQhtcS23diXCEP8x32SaoDu/DiegoCostachelseanvo.jpg?width=650)
MOURINHO: COSTA HAWEZI KUCHEZA MECHI TATU KWA WIKI
Mshambuliaji wa timu ya Chelsea, Diego Costa. Kocha wa timu ya Chelsea, José Mário dos Santos Mourinho Félix 'Jose Mourinho'. KOCHA Jose Mourinho amesema kwamba Diego Costa hawezi kucheza mechi tatu kwa wiki Chelsea kwa sababu ya maumivu ya nyama aliyoyapata akiitumikia timu yake ya taifa, Hispania. Costa, amefunga mabao saba katika mechi nne za awali Chelsea,… ...
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Pardew apigwa marufuku na FA
Ya kutoshiriki katika mechi saba baada ya kupatikana na hatia ya kumpiga kwa kichwa mchezaji wa Hull City
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Mlinzi wa Liverpool apigwa marufuku
Mlinzi wa Liverpool Martin Skrtel atahudumia marufuku ya mechi tatu baada ya shirikisho la soka nchini Uingereza FA kumpata na hatia.
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Juma Said apigwa marufuku ya miaka 2
Nahodha wa Mbeya City, Juma Said amepigwa marufuku ya miaka miwili kwa 'tendo la dhuluma' dhidi ya mpinzani wake uwanjani
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Rita Jeptoo apigwa marufuku ya miaka 2
Mshindi wa mbio za Boston na Chicago Marathon katika kipindi cha miaka miwili iliopita mkenya Rita Jeptoo amepigwa marufuku
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Kocha apigwa marufuku na Caf kwa kutusi refa
Kocha wa Guinea-Bissau Paulo Torres amepigwa marufuku kwa mechi zilizosalia zaza Kombe la Taifa Bingwa Afrika 2017 kwa kumtusi refa.
9 years ago
BBCSwahili26 Sep
Gabriel apewa marufuku ya mechi moja
Beki wa Arsenal Gabriel Paulista amepewa marufuku ya mechi moja na kupigwa faini ya pauni 10,000 baada ya kukiri shtaka la shirikisho la soka nchini Uingereza FA la utovu wa nidhamu.
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Man U yapoteza mechi ya tatu
London, England. Klabu ya Manchester United imepoteza mechi ya tatu mfululizo baada ya juzi kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Sunderland katika mechi ya nusu fainali ya kwanza ya kombe la ligi (capital one) England.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania