Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Costa apigwa marufuku ya mechi tatu

Mchezaji wa Chelsea Diego Costa amepigwa marufuku ya mechi tatu kwa kumkanyaga makusudi mchezaji wa Liverpool Emre Can.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Neymar apigwa marufuku ya mechi nne

Mshambuliaji wa Brazil Neymar atakosa michuano yote ya kombe la Copa America baada ya kupigwa marufuku ya mechi nne.

 

10 years ago

GPL

MOURINHO: COSTA HAWEZI KUCHEZA MECHI TATU KWA WIKI

Mshambuliaji wa timu ya Chelsea, Diego Costa. Kocha wa timu ya Chelsea, José Mário dos Santos Mourinho Félix 'Jose Mourinho'. KOCHA Jose Mourinho amesema kwamba Diego Costa hawezi kucheza mechi tatu kwa wiki Chelsea kwa sababu ya maumivu ya nyama aliyoyapata akiitumikia timu yake ya taifa, Hispania. Costa, amefunga mabao saba katika mechi nne za awali Chelsea,… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Pardew apigwa marufuku na FA

Ya kutoshiriki katika mechi saba baada ya kupatikana na hatia ya kumpiga kwa kichwa mchezaji wa Hull City

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlinzi wa Liverpool apigwa marufuku

Mlinzi wa Liverpool Martin Skrtel atahudumia marufuku ya mechi tatu baada ya shirikisho la soka nchini Uingereza FA kumpata na hatia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Juma Said apigwa marufuku ya miaka 2

Nahodha wa Mbeya City, Juma Said amepigwa marufuku ya miaka miwili kwa 'tendo la dhuluma' dhidi ya mpinzani wake uwanjani

 

10 years ago

BBCSwahili

Rita Jeptoo apigwa marufuku ya miaka 2

Mshindi wa mbio za Boston na Chicago Marathon katika kipindi cha miaka miwili iliopita mkenya Rita Jeptoo amepigwa marufuku

 

9 years ago

BBCSwahili

Kocha apigwa marufuku na Caf kwa kutusi refa

Kocha wa Guinea-Bissau Paulo Torres amepigwa marufuku kwa mechi zilizosalia zaza Kombe la Taifa Bingwa Afrika 2017 kwa kumtusi refa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Gabriel apewa marufuku ya mechi moja

Beki wa Arsenal Gabriel Paulista amepewa marufuku ya mechi moja na kupigwa faini ya pauni 10,000 baada ya kukiri shtaka la shirikisho la soka nchini Uingereza FA la utovu wa nidhamu.

 

11 years ago

Mwananchi

Man U yapoteza mechi ya tatu

London, England. Klabu ya Manchester United imepoteza mechi ya tatu mfululizo baada ya juzi kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Sunderland katika mechi ya nusu fainali ya kwanza ya kombe la ligi (capital one) England.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani