Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man U yapoteza mechi ya tatu

London, England. Klabu ya Manchester United imepoteza mechi ya tatu mfululizo baada ya juzi kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Sunderland katika mechi ya nusu fainali ya kwanza ya kombe la ligi (capital one) England.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Costa apigwa marufuku ya mechi tatu

Mchezaji wa Chelsea Diego Costa amepigwa marufuku ya mechi tatu kwa kumkanyaga makusudi mchezaji wa Liverpool Emre Can.

 

11 years ago

GPL

MOURINHO: COSTA HAWEZI KUCHEZA MECHI TATU KWA WIKI

Mshambuliaji wa timu ya Chelsea, Diego Costa. Kocha wa timu ya Chelsea, José Mário dos Santos Mourinho Félix 'Jose Mourinho'. KOCHA Jose Mourinho amesema kwamba Diego Costa hawezi kucheza mechi tatu kwa wiki Chelsea kwa sababu ya maumivu ya nyama aliyoyapata akiitumikia timu yake ya taifa, Hispania. Costa, amefunga mabao saba katika mechi nne za awali Chelsea,… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U yakwea nafasi ya tatu

Manchester United ilikwea hadi nafasi ya tatuLigi Kuu ya England baada ya kuwaadhibu wapinzani wao Southampton magoli 2 - 1.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rooney kukosa mechi muhimu Man Utd

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney hatacheza mechi ya nyumbani dhidi ya West Ham Jumamosi na pia mechi Ulaya dhidi ya Wolfbsurg kutokana na jeraha.

 

11 years ago

BBCSwahili

UEFA kuamua mechi ya Man City na CSKA

Kilabu ya soka nchini Uingereza Manchester City kubaini siku ya ijumaa kuhusu mechi ya yake na CSKA Moscow

 

10 years ago

BBCSwahili

Man Utd kumkosa Rooney mechi ya Uefa

Rooney anauguza jeraha na hataweza kuchezea Manchester United dhidi ya PSV Eindhoven mechi ya Ligi ya Kilabu Bingwa Ulaya Jumanne.

 

9 years ago

Bongo5

Wayne Rooney atakosa mechi muhimu za Man Utd

2EE30E6000000578-0-image-m-26_1449229572661

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney atakosa mechi ya nyumbani dhidi ya West Ham Jumamosi na pia mechi muhimu Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Wolfbsurg kutokana na jeraha.

2EE30E6000000578-0-image-m-26_1449229572661

Rooney mwenye umri wa miaka 30 aliumia kataika mechi waliyotoka sare 1-1 ugenini na Leicester City wikendi iliyopita na atahitajika kusubiri muda zaidi kuchezea klabu hiyo mechi yake ya 500 kutokana na jeraha la kifundo cha mguu.

Louis van Gaal amesema tatizo hilo ni mbaya zaidi ya ilivyodhaniwa, United...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man Utd kucheza mechi kwa heshima ya Rooney

Klabu ya Manchester United imekubali kucheza mechi maalum kwa heshima ya nyota wake Wayne Rooney.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani