Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wayne Rooney atakosa mechi muhimu za Man Utd

2EE30E6000000578-0-image-m-26_1449229572661

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney atakosa mechi ya nyumbani dhidi ya West Ham Jumamosi na pia mechi muhimu Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Wolfbsurg kutokana na jeraha.

2EE30E6000000578-0-image-m-26_1449229572661

Rooney mwenye umri wa miaka 30 aliumia kataika mechi waliyotoka sare 1-1 ugenini na Leicester City wikendi iliyopita na atahitajika kusubiri muda zaidi kuchezea klabu hiyo mechi yake ya 500 kutokana na jeraha la kifundo cha mguu.

Louis van Gaal amesema tatizo hilo ni mbaya zaidi ya ilivyodhaniwa, United...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Rooney kukosa mechi muhimu Man Utd

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney hatacheza mechi ya nyumbani dhidi ya West Ham Jumamosi na pia mechi Ulaya dhidi ya Wolfbsurg kutokana na jeraha.

 

11 years ago

KwanzaJamii

Wayne Rooney named as Man Utd new captain

Manchester United have named Wayne Rooney as their new captain. The England international, 28, replaces Nemanja Vidic, who has left the club for Inter Milan , while Darren Fletcher has been named as vice-captain. Rooney will skipper United in the Premier League opener with Swansea at Old Trafford on 16 August. “It is a huge honour and a role I will perform with great pride,” said Rooney. “I am very grateful to the manager for the faith he has shown in me.” Rooney – confirmed as captain after...

 

5 years ago

Irish Mirror

Wayne Rooney 'compares Man Utd star Bruno Fernandes to Paul Scholes'

Wayne Rooney 'compares Man Utd star Bruno Fernandes to Paul Scholes'  Irish MirrorI Want To Win FA Cup With Manchester United – Odion Ighalo  Information NigeriaFerdinand: Ighalo has what Rashford, Martial lack  VanguardVideo: These Man United fans react to Wayne Rooney ‘slapping’ Andreas Pereira  CaughtOffsideThe Peoples Person's top ten articles of the week  The Peoples PersonView Full coverage on Google News

 

9 years ago

BBCSwahili

Man Utd kumkosa Rooney mechi ya Uefa

Rooney anauguza jeraha na hataweza kuchezea Manchester United dhidi ya PSV Eindhoven mechi ya Ligi ya Kilabu Bingwa Ulaya Jumanne.

 

9 years ago

BBCSwahili

Man Utd kucheza mechi kwa heshima ya Rooney

Klabu ya Manchester United imekubali kucheza mechi maalum kwa heshima ya nyota wake Wayne Rooney.

 

9 years ago

MillardAyo

Kauli ya Wayne Rooney kuhusu ajira ya Louis van Gaal na walichoamua wachezaji wa Man United …

Bado hali sio nzuri ndani ya klabu ya Man United, haikatishi siku bila mitandao ya kijamii, magazeti na tovuti kujadili juu ya kibarua cha kocha wa sasa wa Man United Louis van Gaal, mengi yameandikwa na kwakuwa Uingereza ndio Ligi inayopendwa na vyombo vya habari vya nchi hiyo vina nguvu, basi usishangae kuona nakuletea stori nyingine […]

The post Kauli ya Wayne Rooney kuhusu ajira ya Louis van Gaal na walichoamua wachezaji wa Man United … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je unamfahamu vyema Wayne Rooney?

Uingereza itamenyana na Uruguay usiku wa Leo. Matumini yako kwa Rooney , je ataweza?

 

10 years ago

BBCSwahili

Wayne Rooney aomba radhi

Golikipa wa timu ya Preston Thorsten Stuckmann ameeleza kuwa mshambuliaji Wayne Rooney alimuomba msamaha baada ya kuanguka katika eneo la hatari na kupata mkwaju wa penati.

 

9 years ago

GPL

WAYNE ROONEY AIFUNGIA ENGLAND GOLI LA 50

San Marino na England, mechi ya kufaulu -UEFA-EURO-2016 Slovenia vs England. Goli lingine la Wayne Rooneys kwa timu yake ya England.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani