Rooney kukosa mechi muhimu Man Utd
Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney hatacheza mechi ya nyumbani dhidi ya West Ham Jumamosi na pia mechi Ulaya dhidi ya Wolfbsurg kutokana na jeraha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo505 Dec
Wayne Rooney atakosa mechi muhimu za Man Utd
![2EE30E6000000578-0-image-m-26_1449229572661](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2EE30E6000000578-0-image-m-26_1449229572661-300x194.jpg)
Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney atakosa mechi ya nyumbani dhidi ya West Ham Jumamosi na pia mechi muhimu Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Wolfbsurg kutokana na jeraha.
Rooney mwenye umri wa miaka 30 aliumia kataika mechi waliyotoka sare 1-1 ugenini na Leicester City wikendi iliyopita na atahitajika kusubiri muda zaidi kuchezea klabu hiyo mechi yake ya 500 kutokana na jeraha la kifundo cha mguu.
Louis van Gaal amesema tatizo hilo ni mbaya zaidi ya ilivyodhaniwa, United...
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Man Utd kumkosa Rooney mechi ya Uefa
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Man Utd kucheza mechi kwa heshima ya Rooney
11 years ago
KwanzaJamii13 Aug
Wayne Rooney named as Man Utd new captain
5 years ago
Irish Mirror09 Mar
Wayne Rooney 'compares Man Utd star Bruno Fernandes to Paul Scholes'
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzQIqqfnYnqgFXEc0XAoZNfLDKCMz29J6xKyihHA-VHnkxTaCpdntJEJGdLf26w3EvFeAPAKk*VG0zHKeW*JCZQA/RobinvanPersie.jpg?width=650)
HABARI MBAYA KWA MAN UNITED! ROBIN VAN PERSIE NJE, KUKOSA MECHI 8
5 years ago
Mirror Online09 Mar
Sir Alex Ferguson cannot hide his delight after Man Utd beat Man City
5 years ago
Mirror Online25 Mar
Man Utd and Liverpool among clubs in 'bid to stop Man City playing in Champions League'
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Kado kukosa mechi zilizosalia Ligi Kuu
KIPA mahiri wa timu ya Coastal Union ya Tanga, Shaaban Kado, atakosa mechi za Ligi Kuu Bara zilizobaki kutokana na kufungwa plasta ngumu (POP) mkono wake wa kushoto. Kado alipata...