Madam Rita kuja na kipindi cha TV ‘Rita Paulsen Show’
Mkurugenzi Mtendaji wa Benchmark Productions aliyejipatia umaarufu kwa kuanzisha mashindano ya Bongo Star Search, Rita Paulsen anatarajia kuja na kipindi chake cha runinga. Kipindi hicho kinaitwa ‘Rita Paulsen Show’. Rita ameshare habari hiyo njema kwenye akaunti yake ya Instagram na kwenye picha kuandika: The biggest revenge in this world is success#hard work.” Hadi sasa bado […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Jan
BSS haijafa, sasa kuja kivingine- Madam Rita Poulsen
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
RITA PAULSEN: Mjasiriamali asiyekata tamaa
LEO namzungumzia Rita Paulsen au Madam Rita, kama anavyofahamika kwa wengi. Huyu ni mwanamke mjasiriamali, aliyefanikiwa kwa kuanzia chini kabisa, hivyo ni mfano mzuri wa kuigwa na wale wanaotamani kuwa...
10 years ago
Bongo529 Jan
Rita Paulsen: Bongo Star Search inarudi kwa kishindo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akS33MZV7PVKSCZbB*2fd97wJGTpEpN-zwuMjLUbIlgzqAWUwrKIdFZp5Jga7PpX-puYU8I5OpPx-vKNIujSF7cR/MADAM.jpg)
MADAM RITA ATESEKA SIKU 365
9 years ago
GPLMADAM RITA AWAPIGA CHINI WANASIASA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3ZSopUVDgagl1IDu58ZKyGmpLZqSoCV8onxXCEy1tXs2X9-d2KhXUHw8iPlGSM7eCFha-HsdWOcmtrdzhQJ448R4uT0Kw-3/zaricopy.jpg?width=650)
KUMBE! ZARI, MADAM RITA NI NDUGU
10 years ago
Mtanzania02 Feb
Vannesa ammwagia sifa Madam Rita
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWIMBAJI wa muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee, amempa sifa Mkurugenzi wa Bench Mark Production, waandaji wa kipindi cha kuibua vipaji vya muziki cha Bongo Stars Search ‘BSS’, Rita Poulsen ‘Madam Rita’, kuwa ni mwanamke anayestahili kuigwa na wanawake wengi nchini.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Vanessa alisema sifa hizo amezitoa ikiwa ni siku ya kuzaliwa kwa Rita, ambaye kwa kiasi kikubwa ameweza kuibua vipaji vingi vya wasanii wachanga.
Vanessa alisema Rita...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUn1km1JBUe76RrL15G1jK0jJs9N3IwnX9Fi0nEY7b0ktzhrJLhhlcUQOe581pxV7pf8l6LgMBL*co7F7WFcF1G4/b.jpg)
BSS: MADAM RITA ALIA NA BASATA
9 years ago
Mtanzania12 Dec
KALLA JEREMIAH AMPA DARASA MADAM RITA
NA THERESIA GASPER
MIONGONI mwa wasanii ambao wametokea kukubalika katika miondoko ya Hip Hop ni Jeremiah KALA Masanja ‘Kala Jeremiah’ambaye anasumbua mbaya na ngoma zake kali zenye mashairi ya kiharakati.
Staa huyu ambaye ni zao la shindano la Bongo Star Search (BSS), msimu wa kwanza – mwaka 2007, anatamba na nyimbo kama Walewale, Wimbo wa Taifa, Waambieni na nyinginezo zikiwa zimetoa ujumbe mzuri kwa jamii na hasa kuwakumbusha wanasiasa ahadi walizotoa kwa wananchi wao.
Katika mahojiano...