Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RITA PAULSEN: Mjasiriamali asiyekata tamaa

LEO namzungumzia Rita Paulsen au Madam Rita, kama anavyofahamika kwa wengi. Huyu ni mwanamke mjasiriamali, aliyefanikiwa kwa kuanzia chini kabisa, hivyo ni mfano mzuri wa kuigwa na wale wanaotamani kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Madam Rita kuja na kipindi cha TV ‘Rita Paulsen Show’

Mkurugenzi Mtendaji wa Benchmark Productions aliyejipatia umaarufu kwa kuanzisha mashindano ya Bongo Star Search, Rita Paulsen anatarajia kuja na kipindi chake cha runinga. Kipindi hicho kinaitwa ‘Rita Paulsen Show’. Rita ameshare habari hiyo njema kwenye akaunti yake ya Instagram na kwenye picha kuandika: The biggest revenge in this world is success#hard work.” Hadi sasa bado […]

 

9 years ago

Mwananchi

Dovutwa, mgombea urais asiyekata tamaa

Jina la Fahmi Dovutwa halivumi lakini katika duru za kisiasa limo. Huyu ni mwenyekiti wa chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP) ambacho tangu kuanzishwa kwake mwaka 1993, hakijawahi kutoa japo mbunge, mwakilishi au diwani.

 

10 years ago

Bongo5

Rita Paulsen: Bongo Star Search inarudi kwa kishindo

Mkurugenzi wa Kampuni ya Benchmark na Jaji kiongozi wa mashindano ya kusaka vipaji vya muziki, maarufu BSS, Rita Paulsen amewataka mashabiki na wapenda muziki kuondoa hofu akieleza kuwa mashindano hayo hayajafa. Mashindano ya BSS mwaka jana hayakufanyika na hali hiyo ilizua hofu miongoni mwa mashabiki kwamba huenda mashindano hayo yamekufa. Akizungumza na gazeti la Mwananchi […]

 

9 years ago

Mwananchi

MJASIRIAMALI : Mazingira yanawezaje kumuathiri mjasiriamali?

Katika moja ya makala zangu za nyuma niliwahi kuandika juu ya umuhimu wa kuwa na mazingira mazuri ya kufanyia biashara. Katika makala haya ninaangazia athari za kuwa na mazingira mabovu ya kufanyia biashara kwa wajasiriamali.

 

10 years ago

Mwananchi

Kona ya mjasiriamali

Mimi ni msanii wa muziki na malengo yangu ni siku moja kuwa msanii bora ili niache kazi hii ya uchoraji ingawa nayo ni fani yangu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndoto ya mjasiriamali

Hii ni Makala ya mwisho katika mfululizo wa ndoto ya Africa,Makala ambayo ilikuwa ikiwaangazia wajasiriamali wa bara hili kwa muda wa wiki nane sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mjasiriamali awavutia vijana Kenya

Martha Chumo ana umri wa miaka 20 na ni mwanzilishi wa chuo cha Dev School ambacho huwapa wanafunzi mafunzo vijana wenzake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mjasiriamali anayepingana na kushindwa maishani

Ni mwanamama mwenye vipaji lukuki na ambaye kwa kauli yake anabainisha kuwa wanawake popote walipo wakikubali kushindwa ni lazima watashindwa tena vibaya sana, lakini wakiamua kupambana hakuna kushindwa.

 

11 years ago

Habarileo

Shindano kumpata mjasiriamali bora

SHINDANO la kumtafuta mjasiriamali atakayeweza kufanya kazi kwa kuboresha maisha ya watoto waishio katika mazingira magumu linazinduliwa leo rasmi jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani