RITA PAULSEN: Mjasiriamali asiyekata tamaa
LEO namzungumzia Rita Paulsen au Madam Rita, kama anavyofahamika kwa wengi. Huyu ni mwanamke mjasiriamali, aliyefanikiwa kwa kuanzia chini kabisa, hivyo ni mfano mzuri wa kuigwa na wale wanaotamani kuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Dec
Madam Rita kuja na kipindi cha TV ‘Rita Paulsen Show’
Mkurugenzi Mtendaji wa Benchmark Productions aliyejipatia umaarufu kwa kuanzisha mashindano ya Bongo Star Search, Rita Paulsen anatarajia kuja na kipindi chake cha runinga. Kipindi hicho kinaitwa ‘Rita Paulsen Show’. Rita ameshare habari hiyo njema kwenye akaunti yake ya Instagram na kwenye picha kuandika: The biggest revenge in this world is success#hard work.” Hadi sasa bado […]
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Dovutwa, mgombea urais asiyekata tamaa
Jina la Fahmi Dovutwa halivumi lakini katika duru za kisiasa limo. Huyu ni mwenyekiti wa chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP) ambacho tangu kuanzishwa kwake mwaka 1993, hakijawahi kutoa japo mbunge, mwakilishi au diwani.
10 years ago
Bongo529 Jan
Rita Paulsen: Bongo Star Search inarudi kwa kishindo
Mkurugenzi wa Kampuni ya Benchmark na Jaji kiongozi wa mashindano ya kusaka vipaji vya muziki, maarufu BSS, Rita Paulsen amewataka mashabiki na wapenda muziki kuondoa hofu akieleza kuwa mashindano hayo hayajafa. Mashindano ya BSS mwaka jana hayakufanyika na hali hiyo ilizua hofu miongoni mwa mashabiki kwamba huenda mashindano hayo yamekufa. Akizungumza na gazeti la Mwananchi […]
9 years ago
Mwananchi27 Aug
MJASIRIAMALI : Mazingira yanawezaje kumuathiri mjasiriamali?
Katika moja ya makala zangu za nyuma niliwahi kuandika juu ya umuhimu wa kuwa na mazingira mazuri ya kufanyia biashara. Katika makala haya ninaangazia athari za kuwa na mazingira mabovu ya kufanyia biashara kwa wajasiriamali.
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Kona ya mjasiriamali
Mimi ni msanii wa muziki na malengo yangu ni siku moja kuwa msanii bora ili niache kazi hii ya uchoraji ingawa nayo ni fani yangu.
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Ndoto ya mjasiriamali
Hii ni Makala ya mwisho katika mfululizo wa ndoto ya Africa,Makala ambayo ilikuwa ikiwaangazia wajasiriamali wa bara hili kwa muda wa wiki nane sasa.
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Mjasiriamali awavutia vijana Kenya
Martha Chumo ana umri wa miaka 20 na ni mwanzilishi wa chuo cha Dev School ambacho huwapa wanafunzi mafunzo vijana wenzake.
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Mjasiriamali anayepingana na kushindwa maishani
Ni mwanamama mwenye vipaji lukuki na ambaye kwa kauli yake anabainisha kuwa wanawake popote walipo wakikubali kushindwa ni lazima watashindwa tena vibaya sana, lakini wakiamua kupambana hakuna kushindwa.
11 years ago
Habarileo15 Jun
Shindano kumpata mjasiriamali bora
SHINDANO la kumtafuta mjasiriamali atakayeweza kufanya kazi kwa kuboresha maisha ya watoto waishio katika mazingira magumu linazinduliwa leo rasmi jijini Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania