Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shindano kumpata mjasiriamali bora

SHINDANO la kumtafuta mjasiriamali atakayeweza kufanya kazi kwa kuboresha maisha ya watoto waishio katika mazingira magumu linazinduliwa leo rasmi jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SHINDANO LA MAMA MJASIRIAMALI BORA WA MWAKA 2013-2014 YAZINDULIWA

Kwa mara ya kwanza nchini, shindano la mama mjasiriamali bora wa mwaka 2013-2014 limezinduliwa rasmi jana katika ukumbi wa Hoteli ya Johannesburg iliyopo maeneo ya Sinza Mori jijini Dar. Shindano hilo lililodhaminiwa na Global Publishers ltd, K-finance limited na Tazama Intertainment, limewajumuisha akina mama wajasiriamali wajane wapatao 17 kutoka sehemu mbalimbali jijini hapa ambapo watafundishwa mbinu za ujasiriamali na...

 

11 years ago

GPL

SHINDANO LA MAMA MJASIRIAMALI BORA WA MWAKA 2013-2014 YAZINDULIWA LEO

Wadhamini na wandaaji wa shindano hilo katika picha ya pamoja ( kutoka kulia ni Afisa Masoko kutoka Global Publishers, Innocent Mafuru; katikati ni Mkurugenzi wa Tazama Intertainment ambao ndiyo waandaji wa shindano hilo, Maureen Manyele na kushoto ni Oscar Bwanakunu, Marketing Manager wa K- finance Limited). Baadhi ya washiriki wa shindano la mama mjasiriamali bora wakisikiliza kwa… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakifuata ramani ya Mwalimu kumpata mgombea urais bora hawa wamekwisha

Kuna kibao kiitwacho “Mtu chake apendacho” kilichoimbwa na DDC Mlimani Park miaka ya 1980. Hadi leo utawasikia watu wakiimba; “Mtu chake apendacho, hakina ila machoni, huridhika kuwa nacho, japo hakina thamani…”

 

9 years ago

Mwananchi

MJASIRIAMALI : Mazingira yanawezaje kumuathiri mjasiriamali?

Katika moja ya makala zangu za nyuma niliwahi kuandika juu ya umuhimu wa kuwa na mazingira mazuri ya kufanyia biashara. Katika makala haya ninaangazia athari za kuwa na mazingira mabovu ya kufanyia biashara kwa wajasiriamali.

 

10 years ago

GPL

10 BORA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) WAPATIKANA

Majaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) wakifuatilia Filamu fupi iliyochezwa na baadhi ya washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) wakati ilipokuwa ikionyeshwa kwenye runinga kubwa katika Ukumbi wa Makumbusho. Kutoka Kulia ni Single Mtambalike au Rich Rich katikati ni Vyonne Cherry au Monalisa na Kushoto ni Jaji Mkuu wa Shindano hilo Roy Sarungi.
 Mahosti wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT)...

 

9 years ago

Dewji Blog

Enhance Auto yakabidhi Gari kwa mshindi wa shindano la matumizi bora ya mitandao ya kijamii

Kamanda wa Kikosi Usalama barabarani, Mohamed Mpinga (kulia) akimkabidhi zawadi ya gari aina ya Toyota Surf, mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Jackson Kapongo aliyeshinda kupitia mchezo wa Matumizi bora ya Mitandao ya Kijamii iliyoendeshwa na Kampuni ya Enhance Auto ya Jijini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi wa Enhance Auto, Aatif Farooq Butt.(Picha na Father Kidevu Blog).

Mkurugenzi wa Enhance Auto, Aatif Farooq Butt akionesha stika za kuhamasisha usalama barabarani...

 

11 years ago

Dewji Blog

Washindi 3 Bora wa Shindano la kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania kwa kanda ya ziwa kupatikana leo

Majaji wa Shindano la Kusaka Vipaji vya Uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents, Single Mtambalike (kulia), Yvonne Chery (Katikati) na Roy Sarungi (Kushoto) wakipitia alama za washiriki kwaajili ya kuweza kuwatangaza washindi waliofanikiwa kuingia hatua ya tatu ambapo wanachukuliwa washiriki 30 kwaajili ya kupata mchujo wa washindi watatu bora ambao wataibuka na Kitita Cha Shilingi laki 5 kila Mmoja kwa Kanda ya Ziwa na baadae kujiunga na washindi wengine watatu...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yatangaza tano bora ya shindano la Airtel Trace Music Stars

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza majina ya washiriki walioingia 5 bora katika mashindano ya Airtel Trace Music Stars.Kulia ni Meneja Masoko wa Airtel,Anethy Muga.Meneja Masoko wa Airtel Tanzania,Anethy Muga akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza majina ya washiriki walioingia 5 bora katika mashindano ya Airtel Trace Music Stars.Kushoto ni Meneja Uhusiano wa...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yatangaza kumi bora wa wiki wa shindano la Airtel Trace Music Stars

Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando (kulia)  na Meneja masoko wa Airtel Tanzania, Bi. Aneth Muga (kushoto) wakiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa Airtel Trace Music Stars leo mara baada ya washiriki hao kuongea na waandishi wa habari kwaajili ya kuomba wananchi kuwapigia kura.Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipotangaza washiriki waliongia nafasi ya kumi bora katika mashindano ya Airtel Trace...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani