Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHINDANO LA MAMA MJASIRIAMALI BORA WA MWAKA 2013-2014 YAZINDULIWA LEO

Wadhamini na wandaaji wa shindano hilo katika picha ya pamoja ( kutoka kulia ni Afisa Masoko kutoka Global Publishers, Innocent Mafuru; katikati ni Mkurugenzi wa Tazama Intertainment ambao ndiyo waandaji wa shindano hilo, Maureen Manyele na kushoto ni Oscar Bwanakunu, Marketing Manager wa K- finance Limited). Baadhi ya washiriki wa shindano la mama mjasiriamali bora wakisikiliza kwa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SHINDANO LA MAMA MJASIRIAMALI BORA WA MWAKA 2013-2014 YAZINDULIWA

Kwa mara ya kwanza nchini, shindano la mama mjasiriamali bora wa mwaka 2013-2014 limezinduliwa rasmi jana katika ukumbi wa Hoteli ya Johannesburg iliyopo maeneo ya Sinza Mori jijini Dar. Shindano hilo lililodhaminiwa na Global Publishers ltd, K-finance limited na Tazama Intertainment, limewajumuisha akina mama wajasiriamali wajane wapatao 17 kutoka sehemu mbalimbali jijini hapa ambapo watafundishwa mbinu za ujasiriamali na...

 

11 years ago

GPL

USIKU WA UTOAJI TUZO YA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/2014

Dk. Maria Kamm akiwasii ndani ya Ukumbi wa African Dreams. Mama Magreth Sitta (kushoto) akisalimiana na baadhi ya wageni waalikwa alipowasili ukumbini.…

 

11 years ago

Habarileo

Shindano kumpata mjasiriamali bora

SHINDANO la kumtafuta mjasiriamali atakayeweza kufanya kazi kwa kuboresha maisha ya watoto waishio katika mazingira magumu linazinduliwa leo rasmi jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

RIPOTI YA HALI YA BIASHARA YA MAZAO YATOKANAYO NA BIOTEKNOLOJIA YA KISASA YA MWAKA 2014 YAZINDULIWA DAR ES SALAAM LEO

Naibu Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi (kushoto), akionesha Ripoti ya Hali ya Biashara ya Mazao yatokanayo na bioteknolojia ya kisasa ya mwaka 2014 baada ya kuizindua Dar es Salaam leo asubuhi. Kulia ni Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo wa wizara hiyo, Dk.Fidelis Myaka.
Naibu Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi (kulia), akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mhandisi Raphael Daluti Ripoti ya Hali ya Biashara ya Mazao yatokanayo na bioteknolojia ya...

 

11 years ago

GPL

VODACOM MWAJIRI BORA TANZANIA MWAKA 2013‏

Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal (wa pili kushoto) akikabidhi kwa Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim kombe la Mwajiri Bora wa Mwaka 2013 mara baada ya kampuni hiyo kutangazwa kuwa mwajiri bora wa mwaka 2013 iliyotolewa na Chama Cha Waajiri Tanzania (ATE). Nyuma ya Makamu wa Rais ni Makamu Mwenyekiti wa ATE Zuhura Sinare. Wengine pichani ni wafanyakazi wa Vodacom Tuzo hizo zimetolewa Wakati wa chakula cha usiku...

 

11 years ago

GPL

NJIA BORA YA KUTIMIZA MALENGO YALIYOKWAMA MWAKA 2013 - 2

MUNGU ni mwema maishani mwangu, hakika namshukuru kwa kila kitu akitendacho kwangu. Ahsante baba. Tunaendelea na mada yetu tuliyoanza nayo wiki iliyopita. Ni mada ambayo hakika imegusa wengi. Nimekuwa nikipokea simu mfululizo kutoka kwa wasomaji wakipongeza na kutaka kujifunza mengi. Kuna tuliobadilishana nao mawazo, nashukuru kuona kuwa mada iliwagusa. Ni kweli. Lazima kuwepo na nguvu au sababu inayokusukuma au kukushawishi...

 

11 years ago

Michuzi

TBL YAIBUKA MSHINDI WA PILI TUZO ZA MZALISHAJI BORA WA MWAKA 2013

Rais Jakaya Kikwete akikabidhi kombe  kwa mshindi wa pili wa tuzo wa mzalishaji bora wa mwaka 2013, kwa  Mkurugenzi wa Huduma ya Makampuni na Masuala ya Sheria wa kampuni ya Bia ya TBL, Stephen  Kilindo wakati wa hafla ya makabidhiano ya tuzo hizo yalifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine ni Mwenyekiti wa Chama Cha Wenye Viwanda Tanzania (CTI), Dk. Samwel Nyantahe ( wa pili kulia)  wakati wa kushoto ni Mwenyekiti Mstaafu wa CTI, Dk. Reginald Mengi ambaye ni Mwenyekiti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani