Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjasiriamali awavutia vijana Kenya

Martha Chumo ana umri wa miaka 20 na ni mwanzilishi wa chuo cha Dev School ambacho huwapa wanafunzi mafunzo vijana wenzake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

MJASIRIAMALI : Mazingira yanawezaje kumuathiri mjasiriamali?

Katika moja ya makala zangu za nyuma niliwahi kuandika juu ya umuhimu wa kuwa na mazingira mazuri ya kufanyia biashara. Katika makala haya ninaangazia athari za kuwa na mazingira mabovu ya kufanyia biashara kwa wajasiriamali.

 

9 years ago

Mtanzania

Dk. Magufuli awavutia pumzi wabadhirifu

Pg 1 magufuli*Awataka wezi wa fedha za wakulima waanze kutubu

Na Bakari Kimwanga, Sikonge

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amewaonya watu wanaofanya uwakala wa kuwaibia wakulima wa tumbaku na kuwataka waanze kutubu kabla hajaingia Ikulu.

Amesema watu hao, wamekuwa wakifanyakazi ya kujinufaisha wao, huku wakulima wa zao hilo wakibaki masikini wa kutupwa.

Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti jana  katika mikutano ya kampeni aliyoifanya katika wilaya za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Loga awavutia pumzi Simba

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Zradvic Logarusic, amesema hatorudi nchini hadi uchaguzi mkuu wa klabu hiyo wa Juni 29 utakapofanyika, hivyo kuwepo kwa uongozi wa kufanya nao mazungumzo. Kupitia...

 

9 years ago

Mtanzania

Samatta awavutia mawakala Ulaya

IMG_4679*Lowassa, Malinzi wammwagia pongezi

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

SASA ni wazi kuwa siku zinahesabika kwa mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta kuendelea kubaki kuichezea timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Wakati zikiwa zimesalia siku 53 dirisha dogo la usajili kufunguliwa barani Ulaya, juzi Samatta alimulikwa na mawakala wengi kutoka barani humo na hapa Afrika kwenye mchezo wa fainali ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya USM Alger ya Algeria.

Ukiondoa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Vijana Mombasa, Kenya

Zaidi ya vijana 100 kutoka Mombasa wanaodhaniwa kuhamia nchini Somalia kujiunga na kikundi cha Al Shabaab, hawajulikani walipo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vijana wajiunga na al-Shabab Kenya

Polisi nchini Kenya wamewalaumu viongozi watatu wa kiislamu kwa kuwashawishi vijana kujiunga na kundi la kiislamu la al-Shabab

 

10 years ago

BBCSwahili

Octopizzo anayetetea vijana Kenya

Octopizzo ni msanii wa miondoko ya hip hop, mwanaharakati na balozi wa vijana, mwenye jina la aina yake kutoka nchini Kenya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vijana wakumbatia kilimo Kenya

Ukulima kwa muda mrefu imekuwa ni shughuli ambayo vijana wengi hawapendi kuifanya huku wengi wakiiona kama kazi mtu anayoifanya baada ya kusataafu kazi za ofisini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vijana wa Kenya warejea kutoka Brazil

Timu ya vijana walio chini ya umri wa miaka 18 kutoka Kenya wamerejea nyumbani baada ya kushiriki mashindano ya Football For Hope

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani