Mjasiriamali awavutia vijana Kenya
Martha Chumo ana umri wa miaka 20 na ni mwanzilishi wa chuo cha Dev School ambacho huwapa wanafunzi mafunzo vijana wenzake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Aug
MJASIRIAMALI : Mazingira yanawezaje kumuathiri mjasiriamali?
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Dk. Magufuli awavutia pumzi wabadhirifu
*Awataka wezi wa fedha za wakulima waanze kutubu
Na Bakari Kimwanga, Sikonge
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amewaonya watu wanaofanya uwakala wa kuwaibia wakulima wa tumbaku na kuwataka waanze kutubu kabla hajaingia Ikulu.
Amesema watu hao, wamekuwa wakifanyakazi ya kujinufaisha wao, huku wakulima wa zao hilo wakibaki masikini wa kutupwa.
Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti jana katika mikutano ya kampeni aliyoifanya katika wilaya za...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Loga awavutia pumzi Simba
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Zradvic Logarusic, amesema hatorudi nchini hadi uchaguzi mkuu wa klabu hiyo wa Juni 29 utakapofanyika, hivyo kuwepo kwa uongozi wa kufanya nao mazungumzo. Kupitia...
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Samatta awavutia mawakala Ulaya
*Lowassa, Malinzi wammwagia pongezi
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
SASA ni wazi kuwa siku zinahesabika kwa mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta kuendelea kubaki kuichezea timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Wakati zikiwa zimesalia siku 53 dirisha dogo la usajili kufunguliwa barani Ulaya, juzi Samatta alimulikwa na mawakala wengi kutoka barani humo na hapa Afrika kwenye mchezo wa fainali ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya USM Alger ya Algeria.
Ukiondoa...
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Vijana Mombasa, Kenya
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Vijana wajiunga na al-Shabab Kenya
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Octopizzo anayetetea vijana Kenya
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Vijana wakumbatia kilimo Kenya
11 years ago
BBCSwahili14 Jul
Vijana wa Kenya warejea kutoka Brazil