Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Magufuli awavutia pumzi wabadhirifu

Pg 1 magufuli*Awataka wezi wa fedha za wakulima waanze kutubu

Na Bakari Kimwanga, Sikonge

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amewaonya watu wanaofanya uwakala wa kuwaibia wakulima wa tumbaku na kuwataka waanze kutubu kabla hajaingia Ikulu.

Amesema watu hao, wamekuwa wakifanyakazi ya kujinufaisha wao, huku wakulima wa zao hilo wakibaki masikini wa kutupwa.

Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti jana  katika mikutano ya kampeni aliyoifanya katika wilaya za...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Loga awavutia pumzi Simba

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Zradvic Logarusic, amesema hatorudi nchini hadi uchaguzi mkuu wa klabu hiyo wa Juni 29 utakapofanyika, hivyo kuwepo kwa uongozi wa kufanya nao mazungumzo. Kupitia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mjasiriamali awavutia vijana Kenya

Martha Chumo ana umri wa miaka 20 na ni mwanzilishi wa chuo cha Dev School ambacho huwapa wanafunzi mafunzo vijana wenzake.

 

9 years ago

Mtanzania

Samatta awavutia mawakala Ulaya

IMG_4679*Lowassa, Malinzi wammwagia pongezi

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

SASA ni wazi kuwa siku zinahesabika kwa mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta kuendelea kubaki kuichezea timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Wakati zikiwa zimesalia siku 53 dirisha dogo la usajili kufunguliwa barani Ulaya, juzi Samatta alimulikwa na mawakala wengi kutoka barani humo na hapa Afrika kwenye mchezo wa fainali ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya USM Alger ya Algeria.

Ukiondoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Pumzi ya mwisho Lowassa, Membe

Wakati makada wa CCM wakivuta pumzi ya mwisho kwa matarajio ya kuondolewa kifungo cha miezi 12 ili wajitose rasmi kuwania urais, Kamati Kuu ya chama hicho inakutana leo kukiwa na habari kuwa itatumia muda mwingi kujadili mwelekeo wa mchakato wa Kura ya Maoni na badala wa wanachama hao sita.

 

11 years ago

Mwananchi

RC Ruvuma kuwabana wabadhirifu

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu ameahidi kuwachukulia hatua watumishi na madiwani wa Halmashauri ya Mbinga ambao watabainika wamefanya ubadhirifu kwenye ununuzi na miradi ya maendeleo pindi atakapopewa ushahidi.

 

9 years ago

Mtanzania

Majaliwa: Tutawang’oa wabadhirifu

majaliwaNa Mwandishi Wetu, Lindi

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amewaonya watendaji wa halmashauri nchini  ambao watabainika kutumia vibaya fedha za Serikali na kusema kuwa watang’olewa kazini.

Kauli hiyo aliitoa jana mjini hapa, alipokuwa akizungumza na mamia ya wananchi waliofika kumsikiliza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa michezo wa Ilulu.

“Natoa onyo kwa watendaji wote wa halmashauri. Fedha ya Serikali itakayotumwa kwenu halafu mtu aifanyie ubadhirifu,  ole wake. Yeyote...

 

11 years ago

GPL

Mashabiki wamvamia Okwi apoteza pumzi

Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Na Richard Bukos, Tabora
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Emmanuel Okwi, juzi Jumamosi alikuwa katika wakati mgumu baada ya kuvamiwa na mashabiki wa soka kwenye Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mjini hapa, hali iliyosababisha ashindwe kupumua vizuri.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamani: Nitapambana na watumishi wabadhirifu

WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Titus Kamani, ameahidi kupambana na watumishi watakaojihusisha na ubadhirifu ndani ya wizara hiyo. Waziri Kamani alitoa tahadhari hiyo jana, jijini Dar es Salaama...

 

10 years ago

Mtanzania

Polisi wavuta pumzi tuhuma za mauaji ya Dk. Slaa

kovaJonas Mushi na Asifiwe George, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limesema linaendelea na uchunguzi wa tuhuma za mauaji dhidi ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema uchunguzi wa tuhuma hizo unaendelea na utakapokamilika taarifa kamili itatolewa kwa umma.
Kova ametoa kauli hiyo huku Watanzania wakiwa bado na shauku ya kujua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani