Vijana Mombasa, Kenya
Zaidi ya vijana 100 kutoka Mombasa wanaodhaniwa kuhamia nchini Somalia kujiunga na kikundi cha Al Shabaab, hawajulikani walipo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Vijana wawaua 4 mjini Mombasa Kenya
Watu wanne wameuawa kwa kudungwa visu na vijana waliokuwa wamejihami mjini Mombasa Pwani ya Kenya baada ya polisi kufanya msako miskitini mjini humo.
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Wanaharakati 8 washtakiwa Mombasa, Kenya
Wanaharakati wanane wamefunguliwa mashitaka mjini Mombasa Pwani ya Kenya wakituhumiwa kwa kuhusika na maandamano haramu.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76405000/jpg/_76405779_3439a734-dbca-46a0-bb38-348212547c49.jpg)
Gunmen in Kenya kill four in Mombasa
Two gunmen kill at least four people and injure several others in a shooting rampage in the Kenyan coastal city of Mombasa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg2AkSr8QP72kgiZv*z-MHlyenGPye*NqR11Wj1-SFZsyY8QSdYU84ZGYlCtqqKLn9FSrLbil0Asggzp9HGFIEyG/VURUGUMOMBASA12.jpg?width=650)
TASWIRA ZA VURUGU KATI YA POLISI NA VIJANA WALIOKUTWA MSIKITI WA MUSA , MOMBASA
Baadhi ya vijana waliokamatwa katika vurugu hizo wakiwa chini ya ulinzi.…
11 years ago
TheCitizen27 Mar
Violence in Mombasa — a Tanzanian’s opinion on what Kenya should do
Slowly, it seems the worst nightmare of the law-abiding citizens of Coastal Kenya – that their region could be blighted by extremists and terrorists – might be coming true.
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Afisa wa upelelezi auawa Mombasa Kenya
Afisa mmoja wa upelelezi amepigwa risasi na kuuwawa katika jiji la Mombasa nchini Kenya.
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
100 wakamatwa mjini Mombasa, Kenya
Watu 100 wamekamatwa mjini Mombasa Pwani ya Kenya kufuatia shambulizi lililofanywa ndani ya kanisa moja mjini humo na kuwaua watu 4.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8YskyMbZdInhplXf8OytOrwORi4tSkdXuPucTANLGcd3-gGu-rrxOFun4A4qKxptkyYUKdDzhR8zaiGaigo00KE/mombasa.jpg?width=650)
WANNE WAUAWA MJINI MOMBASA, KENYA
Vijana mjini Mombasa, Kenya. WATU wanne wameuawa kwa kuchomwa visu na vijana waliokuwa na silaha mjini Mombasa Pwani ya Kenya. Watu kadhaa pia walijeruhiwa katika shambulio hilo la usiku wa kuamkia leo kwenye vituo vya basi Kisauni.
Mwandishi wa BBC mjini humo Emmanuel Igunza amesema hali ya wasiwasi imetanda Mombasa huku maafisa wa polisi wakipiga doria mitaani. Walioshuhudia mashambulio hayo wanasema vijana waliokuwa...
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Shambulio laua tena Mombasa Kenya
Mtu mmoja ameuawa katika mapambano kati ya polisi na vijana mjini Mombasa, Kenya
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania