Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaharakati 8 washtakiwa Mombasa, Kenya

Wanaharakati wanane wamefunguliwa mashitaka mjini Mombasa Pwani ya Kenya wakituhumiwa kwa kuhusika na maandamano haramu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi 20 washtakiwa na ulevi Kenya

Wanafunzi 20 wa shule za upili nchini Kenya wamepelekwa mahakamani na kushtakiwa kwa kuwa walevi na wenye tabia mbaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mawaziri 2 washtakiwa na ufisadi Kenya

Waziri wa ardhi nchini Kenya aliyesimamishwa kazi Charity Ngilu amefikishwa mahakamani na kujibu mashtaka ya kuwazuia maafisa wa shirika la kupambana na ufisadi kuchunguza stakabadhi za ardhi moja ambayo umiliki wake una utata jijini Nairobi

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia 77 wa Uchina washtakiwa Kenya

Polisi nchini Kenya wamewafikisha mahakamani raia 77 wa Uchina kwa kushukiwa kushiriki udukuzi wa mawasiliano na ulanguzi wafedha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wa jinsia moja washtakiwa Kenya

Wanaume wawili katika eneo la Kwale Pwani ya Kenya wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Anglo Leasing:viongozi washtakiwa Kenya

Hatimaye viongozi waliokuwa mamlakani wakati wa kashfa ya kuchapisha pasipoti za wakenya wamefikishwa mahakamani leo

 

9 years ago

BBCSwahili

Wafugaji washtakiwa kwa kuua simba 2 Kenya

Wafugaji wawili wa mifugo wamefikishwa mahakamani nchi Kenya kujibu mashtaka ya kuweka sumu kwenye mzoga wa ng'ombe na kusababisha vifo vya simba 2

 

9 years ago

BBCSwahili

Vijana Mombasa, Kenya

Zaidi ya vijana 100 kutoka Mombasa wanaodhaniwa kuhamia nchini Somalia kujiunga na kikundi cha Al Shabaab, hawajulikani walipo.

 

11 years ago

BBC

Gunmen in Kenya kill four in Mombasa

Two gunmen kill at least four people and injure several others in a shooting rampage in the Kenyan coastal city of Mombasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kambi ya jeshi yavamiwa Mombasa,Kenya

Wanajeshi katika kambi ya jeshi ya Nyali iliopo mjini Mombasa pwani ya Kenya wamewaua kwa kuwapiga risasi watu 5

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani