Wanafunzi 20 washtakiwa na ulevi Kenya
Wanafunzi 20 wa shule za upili nchini Kenya wamepelekwa mahakamani na kushtakiwa kwa kuwa walevi na wenye tabia mbaya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Wanaharakati 8 washtakiwa Mombasa, Kenya
Wanaharakati wanane wamefunguliwa mashitaka mjini Mombasa Pwani ya Kenya wakituhumiwa kwa kuhusika na maandamano haramu.
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Raia 77 wa Uchina washtakiwa Kenya
Polisi nchini Kenya wamewafikisha mahakamani raia 77 wa Uchina kwa kushukiwa kushiriki udukuzi wa mawasiliano na ulanguzi wafedha.
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mawaziri 2 washtakiwa na ufisadi Kenya
Waziri wa ardhi nchini Kenya aliyesimamishwa kazi Charity Ngilu amefikishwa mahakamani na kujibu mashtaka ya kuwazuia maafisa wa shirika la kupambana na ufisadi kuchunguza stakabadhi za ardhi moja ambayo umiliki wake una utata jijini Nairobi
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Wapenzi wa jinsia moja washtakiwa Kenya
Wanaume wawili katika eneo la Kwale Pwani ya Kenya wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Anglo Leasing:viongozi washtakiwa Kenya
Hatimaye viongozi waliokuwa mamlakani wakati wa kashfa ya kuchapisha pasipoti za wakenya wamefikishwa mahakamani leo
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Wafugaji washtakiwa kwa kuua simba 2 Kenya
Wafugaji wawili wa mifugo wamefikishwa mahakamani nchi Kenya kujibu mashtaka ya kuweka sumu kwenye mzoga wa ng'ombe na kusababisha vifo vya simba 2
11 years ago
BBCSwahili20 May
Wanafunzi wapinga kuongezwa karo Kenya
Polisi mjini Nairobi wamepambana na wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma ambao walifanya maandamano kupinga mpango wa serikali kutaka kupandisha karo
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Waziri awaomba radhi wanafunzi Kenya
Waziri wa usalama nchini Kenya amewaomba radhi wanafunzi wa shule ya msingi waliofyatuliwa gesi ya kutoa machozi walipokuwa wakiandamana kupinga unyakuzi wa uwanja wao wa kuchezea.
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Upinzani wavalia sare za wanafunzi Kenya
Viongozi wa upinzani nchini Kenya wamevalia mavazi yanayofanana na sare za wanafunzi wakiitaka serikali kulipa walimu nyongeza ya mishahara.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania