Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi wapinga kuongezwa karo Kenya

Polisi mjini Nairobi wamepambana na wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma ambao walifanya maandamano kupinga mpango wa serikali kutaka kupandisha karo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi wapinga unyakuzi wa ardhi Kenya

Polisi nchini Kenya wamewafyatulia wanafunzi wa shule gesi ya kutoa machozi walipokuwa wakipinga unyakuzi wa ardhi waliyokuwa wakitumia kama kiwanja cha kuchezea

 

10 years ago

Michuzi

KITUO CHA YATIMA CHAMAZI CHAELEMEWA NA KARO ZA WANAFUNZI

Mwenyekiti wa Taasisi ya Save Vulnerable, Fredy Kayula (kulia) akimpatia Kiongozi wa kituo hicho, Mchungaji Amani Kayuni, (wa kwanza kushoto) msaada wa nguo, chakula na vifaa vingine kwa watoto wasiojiweza katika kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo eneo la Chamazi,Mbagala wilayani Temeke jijini Dar es Salaam.Sehemu ya Watoto wanaolelewa kwenye Kituo cha Watoto Yatima cha Chamazi Wilayani Temeke jijini Dar es Salaam.
---
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii.Kituo cha Watoto Yatima cha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zimbabwe:wanafunzi wapinga kuonewa

Wanafuzni chuo kikuu cha Zimbabwe wameshutumu kuwepo kwa sheria kandamizi dhidi yao, ikiwemo ya kutoruhusu kubusiana

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapinga 'kuvuliwa' nguo Kenya

Wanawake mjini Nairobi leo wameandamana kupinga kitendo cha mwanamke mmoja kuvuliwa nguo kwa madai kuwa alikuwa amevalia sketi fupi sana.

 

11 years ago

Habarileo

Mwanafunzi afia ndani ya karo la maji

MWANAFUNZI wa darasa la nne shule ya msingi Mji Mpya aliyetambuliwa kwa jina la Doris Samwel (10) amekutwa amekufa ndani ya karo la maji. Maiti ya mwanafunzi huyo ilikutwa jana saa 2:00 asubuhi maeneo ya Majohe Viwege, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Agizo kuhusu karo shule binafsi linatekelezeka?

Tunalazimika kuitahadharisha Serikali kuhusu agizo lake la hivi karibuni la kupiga marufuku shule binafsi kuongeza karo kwa mwaka ujao. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imetoa agizo hilo kwa madai kwamba imezingatia hali halisi ya uchumi inayowakabili wazazi na walezi wa watoto wanaosoma katika shule hizo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Zuma aahidi karo ya vyuo haitaongezwa Afrika Kusini

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ameahidi kuwa vyuo vikuu havitaongeza ada ya masomo mwaka ujao baada ya wanafunzi wa vyuo hivyo kuandamana kwa wiki moja.

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS WA ZANZIBAR AKAGUA KARO LA KUHIFADHI UCHAFU

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akifanya ziara ya kukagua maandalizi ya kazi za usafishaji wa karo zinazohudumia uhifadhi ya Uchafu katika Nyumba za Maendeleo zilizopo Mtaa wa Mtemani Mjini Wete Kisiwani Pemba. Kushoto ya Balozi Seif ni Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mh. Mar Khamis Othman.  Mkurugenzi wa Baraza la Mji wa Wete Kisiwani Pemba Ndugu Mgeni Othman Juma akitoa maelezo mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif juu ya hatua zilizochukuliwa katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi 20 washtakiwa na ulevi Kenya

Wanafunzi 20 wa shule za upili nchini Kenya wamepelekwa mahakamani na kushtakiwa kwa kuwa walevi na wenye tabia mbaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani