KITUO CHA YATIMA CHAMAZI CHAELEMEWA NA KARO ZA WANAFUNZI
Mwenyekiti wa Taasisi ya Save Vulnerable, Fredy Kayula (kulia) akimpatia Kiongozi wa kituo hicho, Mchungaji Amani Kayuni, (wa kwanza kushoto) msaada wa nguo, chakula na vifaa vingine kwa watoto wasiojiweza katika kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo eneo la Chamazi,Mbagala wilayani Temeke jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya Watoto wanaolelewa kwenye Kituo cha Watoto Yatima cha Chamazi Wilayani Temeke jijini Dar es Salaam.
---
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii.Kituo cha Watoto Yatima cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi04 Apr
TTCL yatoa msaada kituo cha watoto yatima Chamazi
![Meneja wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Mkoa wa Dar es Salaam Kusini, Adolf Matondo (kulia) akikabidhi sehemu ya msaada kwa kwa mmoja wa walezi wa watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund'.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0095.jpg)
![Baadhi ya watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund' wakibeba sehemu ya msaada uliyotolewa kwao na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwa kituo hicho ikiwa ni maandalizi ya Siku Kuu ya Pasaka.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_01341.jpg)
10 years ago
Vijimambo04 Apr
Kampuni ya TTCL yatoa msaada kituo cha watoto yatima Chamazi
![Baadhi ya watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund' wakibeba sehemu ya msaada uliyotolewa kwao na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwa kituo hicho ikiwa ni maandalizi ya Siku Kuu ya Pasaka.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0129.jpg)
![Meneja wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Mkoa wa Dar es Salaam Kusini, Adolf Matondo (kulia) akikabidhi sehemu ya msaada kwa kwa mmoja wa walezi wa watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund'.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0095.jpg)
10 years ago
MichuziKITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA AMANI ORPHANAGE CENTER CHA POKEA ZAWADI NA MSAADA WA MAANDALIZI YA KRISMASI KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF.
10 years ago
CloudsFM29 Dec
JOKATE ATOA MISAADA KITUO CHA KULEA YATIMA CHA EXTREME
Miss Tanzania namba mbili 2006, mwanamitindo na mcheza filamu, Jokate Mwegello, akicheza na mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Yatima cha Extrem cha Tandale kwa Bi Mwamvua Jumanne, alipotembelea kuwapa zawadi ya Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya. Zawadi alizotoa ni mchele, unga wa sembe, sabuni na ndala zenye nembo za Kidoti.
Jokate Mwegello, akicheza na mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Yatima cha Extrem cha Tandale kwa Bi Mwamvua Jumanne.
10 years ago
VijimamboCRDB TAWI LA MERU WATEMBELEA KITUO CHA YATIMA ST JOSEPH CHA MOSHONO ARUSHA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZGe1edfxJ5o/VZkU4AclMSI/AAAAAAAHnGQ/JAmt1nvUtW8/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
Wana Kariakoo watoa misaada katika kituo cha Yatima cha Al Madina Tandale leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZGe1edfxJ5o/VZkU4AclMSI/AAAAAAAHnGQ/JAmt1nvUtW8/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mq5uN8vnlUg/VZkU4I-jVTI/AAAAAAAHnGE/8aF_SImEDHg/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1LoQwdJwk5s/VZkU4POF68I/AAAAAAAHnGI/Z_GHyiWT4LY/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bJpdqsysa9Q/Xsta_d5GBJI/AAAAAAALrc4/ZmqWZK3oIZornlKss_dwsxJYBiLCqookwCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2B.jpg)
QNET YATOA MSAADA WA CHAKULA NA VITU VINGINE KWENYE KITUO CHA KULELEA YATIMA CHA MAZIZINI
· NI SEHEMU YA MPANGO WA KUSAIDIA JAMII KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
Tarehe 24, Mei 2020, Zanzibar QNET, kampuni ya mauzo ya moja kwa moja inayoongoza yenye asili ya Asia imetoa msaada wa magunia ya vyakula, galoni za mafuta ya kupikia, vifaa vya usafi, vinywaji baridi na vitakasa mikono (sanitizers) kwenye nyumba ya kulelea yatima ya Mazizini Zanzibar. Hizi ni jitihada za mwezi mtukufu wa ramadhani zenye lengo la kuboresha maisha ya walio wengi na inaendana na falsafa ya kampuni ya...
10 years ago
MichuziJokate Mwegelo atoa Zawadi za Krismas na Mwaka Mpya kwa Kituo cha Yatima cha Extrem, Tandare
Mrembo huyo ambaye pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Kidoti inayojihusisha na masuala ya urembo, alitoa msaada huo kama zawadi yake ya Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya kwa watoto hao kama sehemu ya kuwafariji ili nao kujiona wako sawa na...