Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zimbabwe:wanafunzi wapinga kuonewa

Wanafuzni chuo kikuu cha Zimbabwe wameshutumu kuwepo kwa sheria kandamizi dhidi yao, ikiwemo ya kutoruhusu kubusiana

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi wapinga unyakuzi wa ardhi Kenya

Polisi nchini Kenya wamewafyatulia wanafunzi wa shule gesi ya kutoa machozi walipokuwa wakipinga unyakuzi wa ardhi waliyokuwa wakitumia kama kiwanja cha kuchezea

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi wapinga kuongezwa karo Kenya

Polisi mjini Nairobi wamepambana na wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma ambao walifanya maandamano kupinga mpango wa serikali kutaka kupandisha karo

 

10 years ago

Bongo5

Ni marufuku kwa wanafunzi kupigana busu kwenye chuo kikuu cha Zimbabwe

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Zimbabwe hawaruhisiwi kupigana mabusu. Hiyo ni moja ya sheria kali kwenye chuo hicho. Uongozi wa chuo hicho umedai kuwa wanafunzi watakaokutwa kwenye pozi la kimahaba watachukuliwa hatua za kinidhamu. “Katika umri huu kusema siruhusiwi kumbusu au kumkumbatia mtu.. haiingii akilini,” mwakilishi wa wanafunzi wa chuo hicho, Tsitsi Mazikana aliiambia BBC.

 

10 years ago

BBCSwahili

Madai ya rushwa Qatar: Najihisi kuonewa

Mfichua siri za tuhuma za rushwa kutolewa na Qatar anasema anajihisi kuonewa kila wakati na kujaa hofu

 

10 years ago

Vijimambo

5 years ago

Michuzi

ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI

Naibu Katibu Mkuu Tamisemi anayeshughulikia Elimu, Gerald Mweli akitoa ripoti ya kurejea shuleni kwa wanafunzi wa kidato cha sita.
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...

 

9 years ago

Michuzi

HAFLA YA JUMUIYA YA WANAFUNZI WA TANZANIA WUHAN-CHINA (WUTASA) KUWAKARIBISHA WANAFUNZI WAPYA MWAKA WA MASOMO 2015/16

1Picha ya pamoja ya wanafunzi wapya na wazamani. Walioketi mbele kutoka kushoto ni viongozi wa Wutasa, Gelas Rubakula (Naibu Katibu), Ally Salum (Katibu), Rajab Jafar (Makamu Mwenyekiti), Abel Masanja (Mwenyekiti) na Thomas Mtaki (Mwenyekiti Mstaafu).2Picha ya pamoja ya wanafunzi wapya. Walioketi mbele kutoka kushoto ni viongozi wa Wutasa, Gelas Rubakula (Naibu Katibu), Ally Salum (Katibu), Rajab Jafar (Makamu Mwenyekiti), Abel Masanja (Mwenyekiti) na Thomas Mtaki (Mwenyekiti Mstaafu).3

 

10 years ago

Vijimambo

Wapinga Makonda kuwa DC.

Wasomi, wanasiasa na wanaharakati nchini, wamepokea kwa hisia tofauti uteuzi alioufanya na Rais Jakaya Kikwete, wa wakuu wa wilaya wapya, huku baadhi wakikosoa uteuzi wa mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda na wengine wakiunga mkono.

Juzi Rais Kikwete aliteua wakuu wa wilaya wapya 27, akiwamo Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Uhamasishaji na Chipukizi, Makonda, kuwang’oa 19 na kuwahamisha 64.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti na NIPASHE jana, badhi walisema Rais Kikwete...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapinga kulazimishwa mafunzo

WANANCHI wa kijijiji cha Kicheba, wilayani Muheza wamemuomba Mkuu wa wilaya hiyo, Subira Mgalu, kufika kijijini hapi ili awapatie ufafanuzi kuhusu viongozi wao kuwakamata na kuwalazimisha kufanya mafunzo ya mgambo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani