Wapinga Makonda kuwa DC.
Wasomi, wanasiasa na wanaharakati nchini, wamepokea kwa hisia tofauti uteuzi alioufanya na Rais Jakaya Kikwete, wa wakuu wa wilaya wapya, huku baadhi wakikosoa uteuzi wa mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda na wengine wakiunga mkono.
Juzi Rais Kikwete aliteua wakuu wa wilaya wapya 27, akiwamo Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Uhamasishaji na Chipukizi, Makonda, kuwang’oa 19 na kuwahamisha 64.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na NIPASHE jana, badhi walisema Rais Kikwete...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Waandishi wadai kuwa Makonda anawasumbua
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IfTy5tV7J9k/VOtmI5vPKlI/AAAAAAAHFeU/zoPXEMkaTGg/s72-c/unnamed.jpg)
Paul Makonda aapishwa leo kuwa mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-IfTy5tV7J9k/VOtmI5vPKlI/AAAAAAAHFeU/zoPXEMkaTGg/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZfaa5wASNvBc6RzQ-5Rcl9Zj8eYZyZZNF*ldkZluYyTxnkr6KaVvfC1IHXi8zXc0BuGIzhwLXwjU2tOW9sj7Muy/1003405_651211694942828_1901901229_n.jpg?width=650)
MAKONDA: LOWASSA HAFAI KUWA RAIS WA TANZANIA WALA MWENYEKITI WA CCM!
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ZA_ISGweYXI/VaPgc8SujKI/AAAAAAABRo8/H3gEr69IJLU/s72-c/SAMIA%2BSULUHU.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rLVISgdqld0/VkLphBPskfI/AAAAAAADCG0/SJgF1_06ams/s72-c/MAKONDA.jpg)
PAUL MAKONDA KUWA MGENI RASMI UZINDUZI WA CHAMA CHA WAPISHI WA KEKI NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-rLVISgdqld0/VkLphBPskfI/AAAAAAADCG0/SJgF1_06ams/s400/MAKONDA.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari jijini DSM, mwenyekiti wa muda wa umoja huo PHILIP MBONDE amesema umoja huo utaweza kuwaunganisha wapishi wa keki na wanaojishughulisha na biashara ya cake nchini na kuweza kujumuika pamoja katika majukumu mbali mbali.
“ Hili ni jambo jipya hapa nchini, wapo wajasiriamali...
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Wapinzani wapinga hotuba ya JK
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Wapinga serikali tatu
KAMATI ya vijana wapenda amani na viongozi wa dini ya Kiislamu wametoa wito kwa vijana kupinga pendekezo la serikali tatu lililomo kwenye rasimu ya pili ya Katiba. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
Mtanzania24 Mar
Mawakili wa Kipumba wapinga
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WAKILI Peter Kibatala na wenzake wanaomtetea Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba na wenzake 30, amewasilisha pingamizi la awali kupinga mashtaka dhidi ya washtakiwa hao.
Pingamizi hiyo iliwasilishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu, Cyprian Mkeha.
Katika kesi hiyo, Profesa Lipumba na wenzake wanakabiliwa na mashtaka ya kula njama ya kutenda kosa, kufanya mkusanyiko usio halali na kufanya fujo baada ya kutolewa...