Wapinzani wapinga hotuba ya JK
>Wenyeviti wa vyama vya Upinzani vya Chadema, Chama cha Wananchi (CUF) na Chama cha NCCR-Mageuzi, jana usiku walikutana ili kutoa kauli ya pamoja, kutokana na hotuba ya ufunguzi wa Bunge kwa maelezo kuwa tayari Rais amevuruga mchakato mzima wa kupata Katiba Mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Wapinzani wapinga muhula wa 3 wa Kagame
11 years ago
GPLWAPINZANI WAIPINGA HOTUBA YA KIKWETE
9 years ago
Mwananchi18 Nov
Ukawa wapinga hotuba ya rais bila matokeo ya Z’bar
9 years ago
Vijimambo28 Aug
9 years ago
Dewji Blog04 Sep
Mwigulu Nchemba awashukia wapinzani wanaotumia hotuba za Baba wa Taifa kwa mtaji wa kisiasa
Mwigulu Nchemba akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Nkungi, wilayani Mkalama (Picha ya Maktaba yetu)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/4VsWZIs0BQg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo20 Feb
Wapinga Makonda kuwa DC.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Makonda-20Feb2015.jpg)
Juzi Rais Kikwete aliteua wakuu wa wilaya wapya 27, akiwamo Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Uhamasishaji na Chipukizi, Makonda, kuwang’oa 19 na kuwahamisha 64.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na NIPASHE jana, badhi walisema Rais Kikwete...
10 years ago
Mtanzania24 Mar
Mawakili wa Kipumba wapinga
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WAKILI Peter Kibatala na wenzake wanaomtetea Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba na wenzake 30, amewasilisha pingamizi la awali kupinga mashtaka dhidi ya washtakiwa hao.
Pingamizi hiyo iliwasilishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu, Cyprian Mkeha.
Katika kesi hiyo, Profesa Lipumba na wenzake wanakabiliwa na mashtaka ya kula njama ya kutenda kosa, kufanya mkusanyiko usio halali na kufanya fujo baada ya kutolewa...