Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa wapinga hotuba ya rais bila matokeo ya Z’bar

Vyama vinavyounda Ukawa wamesema wamwandikia Spika wa Bunge, Job Ndugai barua kutaka kujua uhalali wa Rais John Magufuli kuhutubia Bunge bila matokeo Rais wa Zanzibar kujulikana. 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wapinzani wapinga hotuba ya JK

>Wenyeviti wa vyama vya Upinzani vya Chadema, Chama cha Wananchi (CUF) na Chama cha NCCR-Mageuzi, jana usiku walikutana ili kutoa kauli ya pamoja, kutokana na hotuba ya ufunguzi wa Bunge kwa maelezo kuwa tayari Rais amevuruga mchakato mzima wa kupata Katiba Mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanasheria wapinga kufutwa kesi Z’bar

>Siku tano tangu Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othmana Makungu afute kesi ya kuzama kwa Meli ya Mv Spice Islanders, wanasheria wameibuka na kusema haikuwa mwafaka kesi hiyo kufutwa kwa sababu ya hati ya mashtaka kutowasilisha kwa wakati mahakamani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani wapinga matokeo ya uchaguzi Guinea

Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Guinea amejiondoa katika uchaguzi uliofanyika nchini humo akisema kuwa kulikuwa na udanganyifu mkubwa

 

10 years ago

Mwananchi

NEC wataka JWTZ, Ukawa wapinga

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imetaka uboreshwaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura usimamiwe na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Watoto wa Lowasa’, UKAWA wapinga CWBK

UMOJA wa madereva wa Pikipiki za kubeba abiria maarufu kama ‘Bodaboda’ katika Manispaa ya Moshi,  umeutaka Uongozi wa chama cha wamiliki na madereva wa vyombo hivyo mkoani Kilimanjaro (CWBK) kuthibitisha...

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa wapinga ushindi wa CCM majimbo sita

Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa); NCCR – Mageuzi na Chadema vimefungua kesi mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge katika majimbo sita.

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba Ya Dr Asha - Rose Migiro Kukubali Matokeo Ya Mkutano Mkuu wa CCM 2015

Hotuba ya Mhe Dk. Asha-Rose Migiro akikubali matokeo ya mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ambao ulikuwa ukimchagua mgombea wa nafasi ya urais.
Dr Migiro alishika nafasi ya tatu katika uchaguzi huo nyuma ya mgombea wa chama Dr John Pombe Magufuli na Balozi Amina Salum Ali

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba Ya Balozi Amina Salum Ali Kukubali Matokeo Ya Mkutano Mkuu wa CCM 2015

Hotuba ya Mhe Balozi Amina Salum Ali akikubali matokeo ya mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ambao ulikuwa ukimchagua mgombea wa nafasi ya urais.
Balozi Amina alishika nafasi ya pili katika uchaguzi huo nyuma ya mgombea wa chama Dr John Pombe Magufuli na mbele ya Dr Asha-Rose Migiro

 

10 years ago

TheCitizen

Ukawa for clash in Z’bar presidency

Ukawa, a political outfit bringing together four political parties, is heading for a clash in Zanzibar following a decision by two of its member parties to show intention of nominating presidential candidates.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani