Wanasheria wapinga kufutwa kesi Z’bar
>Siku tano tangu Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othmana Makungu afute kesi ya kuzama kwa Meli ya Mv Spice Islanders, wanasheria wameibuka na kusema haikuwa mwafaka kesi hiyo kufutwa kwa sababu ya hati ya mashtaka kutowasilisha kwa wakati mahakamani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Makamishna wapinga kufutwa kwa uchaguzi Zanzibar
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Kufutwa uchaguzi Z’bar kaa la moto
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
UAMUZI wa Serikali wa kutoa tamko la kufutwa kwa Uchaguzi wa Zanzibar umezua maswali kwa wananchi, huku Rais wa Chama cha Wanasheria Zanzibar (Zanzibar Law Society), Awadh Ali Said, akisema suala hilo ni la aibu kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Amesema hatua ya kushindwa kuainisha vifungu vya Katiba ya Zanzibar kuhusu kufutwa kwa matokeo kwa tamko la mwenyekiti kwa kutaja vifungu vya kisheria visivyohusika ni wazi Serikali imeshikwa pabaya.
Awadh aliyasema hayo...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Wanasheria wanauza kesi za Serikali — DC
MKUU wa Wilaya (DC) ya Nkasi, mkoani Rukwa, Iddy Kimanta, amewaonya wanasheria wa halmashauri za serikali za mitaa kuwa hawaisaidii serikali na ndiyo sababu ya kushindwa kwa kesi nyingi zinazofunguliwa...
9 years ago
Mwananchi18 Nov
Ukawa wapinga hotuba ya rais bila matokeo ya Z’bar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kqvjFhP5Y0k/XuNoxwOSCnI/AAAAAAALtiE/RR884UVQAXIO-SP_6NACekhiRj11bO7RwCLcBGAsYHQ/s72-c/01..jpeg)
BARUA ZAWASILISHWA KUTAKA KUFUTWA KESI ZA UDHALILISHAJI WANAWAKE NA WATOTO ZANZIBAR
10 years ago
Habarileo27 Sep
Wabunge wapinga kesi za rushwa kupitia kwa DPP
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, wametaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ipewe meno ya kushughulikia rushwa kubwa na wahujumu uchumi na wenyewe wapeleke watuhumiwa wao moja kwa moja kortini.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EG2I4ZmpqYM/VlK_qXWZqHI/AAAAAAAIH34/lzbjZkcQO9s/s72-c/IMG_20151120_115511.jpg)
MWAKALEBELA AKANUSHA KUFUTWA KWA KESI YAKE DHIDI YA MCHUNGAJI PETTER MSIGWA NA MKURUGEZI WA MANISPAA YA IRINGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EG2I4ZmpqYM/VlK_qXWZqHI/AAAAAAAIH34/lzbjZkcQO9s/s640/IMG_20151120_115511.jpg)
Katibu wa CCM wilaya ya Iringa mjini ELISHA MWAMPASHE amesema kuwa taarifa zilizosambaa sehemu mbalimbali sio za kweli.“Nimekuwa nikipigiwa simu nyingi toka jana nikipewa taarifa kuwa kesi yetu imetupiliwa mbali na imeenea sana kwenye mitandao ya kijamii na maeneo mbalimbali ukweli ni kwamba kesi ya...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Kesi ya uchochezi Z’bar mahakama yataka vielelezo
MAHAKAMA Kuu ya Vuga mjini Zanzibar imeutaka upande wa mashtaka kuwasilisha vielelezo na maelezo ya ushahidi vitakavyotumika katika kesi inayowakabili viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na mihadhara ya Kiislamu. Watuhumiwa hao...
10 years ago
Mwananchi05 Oct
DNA yakwamisha kesi ya mahuaji ya Wafaransa Z’bar