Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wapinga kesi za rushwa kupitia kwa DPP

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, wametaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ipewe meno ya kushughulikia rushwa kubwa na wahujumu uchumi na wenyewe wapeleke watuhumiwa wao moja kwa moja kortini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wabunge wapinga ugawaji wa majimbo

Na Khamis Mkotya, Dodoma
BAADHI ya wabunge wamekosoa mchakato wa ugawaji wa majimbo ya uchaguzi huku baadhi yao wakisema Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC), imekurupuka katika jambo hilo.

Wakizungumza na MTANZANIA katika viwanja vya Bunge jana, wabunge hao walisema hawaoni sababu za tume kugawa majimbo katika kipindi hiki ikizingatiwa umebaki muda mfupi uchaguzi ufanyike.

Mbunge wa Karatu, Mchungaji Israel Natse (Chadema), alisema lengo la kugawa majimbo ni jambo jema, lakini tatizo ni muda na...

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wapinga Kiingereza shuleni

MJADALA kuhusu lugha ya kutumia kufundishia shuleni umepamba moto, ambapo baadhi ya wabunge wamejitokeza kupinga Kiingereza kutumika kufundishia shule za msingi mpaka vyuo vikuu. Wakati wabunge hao wakiwa na msimamo huo, jana Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome, alisema Serikali haijafikia uamuzi wa kuruhusu Kiingereza kutumkika kuanzia shule za msingi, na hivi sasa inashughulikia changamoto kubwa zaidi.

 

10 years ago

Habarileo

Maombi ya DPP kesi ya Lwakatare yatupwa

KESI ya ugaidi iliyowasilishwa katika Mahakama ya Rufaa na Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), kuomba marejeo ya hukumu ya Mahakama Kuu iliyompa ushindi Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare, imetupiliwa mbali kutokana na kuwepo kwa upungufu wa kisheria.

 

10 years ago

Habarileo

DPP aruhusu kesi ya Mvietnam kuendelea

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, imepata hati kutoka kwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), kuendelea kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili raia wa Vietnam, Lyan Dong.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia Nigeria wapinga posho za wabunge

Wananchi wa Nigeria wawapinga wabunge wao kwa kujinufaisha na fedha za umma kwa kujilipa posho ya maelfu ya dola

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Nigeria wapinga posho za wabunge

Raia wa Nigeria wametoa hisia zao za ghadhabu kufuatia ripoti kuwa wabunge kujipa mamilioni ya dola ikiwemo pesa ya mavazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanasheria wapinga kufutwa kesi Z’bar

>Siku tano tangu Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othmana Makungu afute kesi ya kuzama kwa Meli ya Mv Spice Islanders, wanasheria wameibuka na kusema haikuwa mwafaka kesi hiyo kufutwa kwa sababu ya hati ya mashtaka kutowasilisha kwa wakati mahakamani.

 

11 years ago

Habarileo

Madiwani wapinga kushiriki uchaguzi na wabunge, rais

Mwenyekiti wa Alat Taifa, Dk Didas MasaburiWAJUMBE wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (Alat), ambao wengi ni madiwani wamepinga utaratibu wa Uchaguzi Mkuu, kutumiwa na wananchi kuchagua rais, wabunge na madiwani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani