Kesi ya uchochezi Z’bar mahakama yataka vielelezo
MAHAKAMA Kuu ya Vuga mjini Zanzibar imeutaka upande wa mashtaka kuwasilisha vielelezo na maelezo ya ushahidi vitakavyotumika katika kesi inayowakabili viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na mihadhara ya Kiislamu. Watuhumiwa hao...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Sep
Ponda aomba kesi ya uchochezi isimamishwe
KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shehe Issa Ponda ameomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kusimamisha kesi ya uchochezi inayomkabili mkoani Morogoro.
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Makunga, Kibanda washinda kesi ya uchochezi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3vKQkh-Flok1D8F63cRDmkjGdDU0rP7OXY9RxCTgfNdMy7ToOesHle07WA4TttdqFRmaqPacJspWs7EAVw9Q3ObdJEEA9Vl0/beakingnews.gif)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_YB5pMRPrYw/XlPvcixJaYI/AAAAAAALfJg/D4TnGM42BSc4piAuVuyVKbqNTaUFqcXAwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B15.08.30.jpeg)
HUKUMU YA KESI YA UCHOCHEZI INAYOWAKABILI VIONGOZI CHADEMA KUTOLEWA MACHI 10, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-_YB5pMRPrYw/XlPvcixJaYI/AAAAAAALfJg/D4TnGM42BSc4piAuVuyVKbqNTaUFqcXAwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B15.08.30.jpeg)
MAHAKAMA Ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Machi 10, mwaka huu kutoa hukumu ya kesi ya uchochezi dhudi ya viongozi nane wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho,Dk.Vicent Mashinji ambaye hivi karibuni amehamia CCM.
Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba amesema sheria inaelekeza pande zote kufanya majumuisho ili kuisaidia mahakama kutoa uamuzi kwa kuangalia masuala ya kisheria yaliyoibuliwa wakati wa...
9 years ago
StarTV29 Dec
 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.
Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.
Baada ya uchaguzi mkuu...
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Mahakama yataka Rais wa Sudan akamatwe
JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI
MAHAKAMA Kuu yaAfrika Kusini imetoa amri ya muda ya kumzuia Rais wa Sudan, Omar al Bashir anayehudhuria kikao kilichoanza jana cha viongozi wa Umoja wa Afrika (AU) kutoondoka nchini humo.
Mahakama hiyo imemuagiza al-Bashir abakie hadi leo wakati itakaposikiliza kesi inayoitaka iiamrishe Serikali ya Afrika Kusini kumkamata kiongozi huyo i akajibu mashitaka yanayomkabili katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) ya mjini Hague, Uholanzi.
Mapema jana,...
10 years ago
Habarileo12 Dec
Mahakama sasa yacharuka, yataka ripoti ya Maranda
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashitaka kuandika barua kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa (MOI) kupata taarifa za maendeleo ya kiafya ya Kada wa CCM, Rajabu Maranda.
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Mufti Z’bar afunguka Mahakama ya Kadhi
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Wanasheria wapinga kufutwa kesi Z’bar